Nashauri Rais Samia ambadilishie kituo cha kazi Paul Makonda. Arusha inatosha, aende mahali pengine

Nashauri Rais Samia ambadilishie kituo cha kazi Paul Makonda. Arusha inatosha, aende mahali pengine

Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Hapo kuna mtu anafuatwa na KARMA kila aendapo !
Ngoja Tusubiri tuone 😳🙄 !
 
Nakubaliana nawe kuwa Bw. Makonda abadilishiwe kituo cha kazi ila pia nakupa kazi udadisi kiini cha ugomvi wa Makonda na Gambo naamini utapata taswira mpya kichwani mwako.
Kuna wakati Makonda alipotea Ikasemekana kuwa alipelekwa nje ya nchi kwa matibabu baada ya kulishwa simu!! Mtu aliyeshukiwa kufanya tendo hilo ni mbunge wa Arusha mjini!!
Kwa Mazingira kama hayo Samia kufumbia macho ugonvi wa Hawa chawa wako utakuwa una hatarisha usalama wao!! Chukua hatua haraka kuepusha balaa.
 
Hivi kwa nini cheo cha mkuu wa mkoa kisingefutwa kabisa!!!

Ikabaki, ukiwa mbunge ndio unakua mkuu wa mkoa(kwanza itasaidia hata wabunge wawe wanakaa mikoani huko).
 
Gambo pia alikuwa akifanya hikihiki enzi za ubunge wa Lema.

Kwa nini Makonda hakumfanyia hivi Ndugulile ilhali alilihitaji jimbo la Kigamboni akiwa RC Dar?
 
Acha upotoshaji, Magu hakumpiga chini, bali aliacha ukuu wa mkoa ili akagombee ubunge. Bahati mbaya alishindwa na RIP Ndugulile.
Aliposhindwa ubunge Jiwe akamuweka kando! Ndio akaanza utapeli wa kuwafuata matajiri na ku waambia eti ametumwa na Magu wamjengee nyumba!! Kama mtakumbuka Makonda alikuwa na kesi ya kiwanja na wamanga fulani alitaka kuwadhulumu kiwanja!
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Ampeleke Kigoma akachangamshe Waha shemeji zetu
 
Nyasi zinaumia mkuu
Vita vya panzi ni furaha ya kunguru !
Sasa ni wakati wa mavuno kwa mashabiki wao na wapiga debe wao !
Hapo sasa ni mwendo wa kumwaga pesa ili akubalike zaidi ya mwenzie !

Hakuna kulaza Damu mpaka kieleweke tuone kama kweli ngoma ya kitoto haikeshi 😅👍🙏 !
Mkono mtupu haulambwi !
Ngoja Tusubiri tuone 😳!
 
Gambo pia alikuwa akifanya hikihiki enzi za ubunge wa Lema.

Kwa nini Makonda hakumfanyia hivi Ndugulile ilhali alilihitaji jimbo la Kigamboni akiwa RC Dar?
Ngoja Tusubiri tuone KARMA inavyofanya kazi zake !
Wazee walio dhalilishwa wanaendelea kufanya maombi yao kwa Mungu !
Law of the Universe !
Nature and other spiritual stuff 😳🙌 !
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Ningefurahi kama angemleta kigoma matatizo yangu nayawengine yangeisha makonda sio mbabaishaji
 
Hao naona waandaliwe pambano wanyukane, zaidi ya sifa za kijinga hakuna lolote..!!
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Makonda bado yupo yupo sana Arusha
 
Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana

! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !

Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?

Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Makonda bado yupo yupo sana Arusha
 
🤔🤔🤔 ivi kwl unamkumbuka gambo akiwa mkuu wa mkoa enz ya magufuli au unaongea tu malipo n hapa hapa usichukulie poa gambo alikuwa anabalaa lake sasa na yy kimempata ubaya ubwela
Hao wote ni wahuni. Makonda ni mhuni na kibaka, Gambo nae ni mhuni na kibaka. Ni vibaka toka enzi na enzi.
 
Back
Top Bottom