Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Kwamba Magu alimpiga chini Makonda? Lini and how?Huyu jamaa sio kabisa kila anapokwenda anazua mambo.
No wonder Magu alimpiga chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Magu alimpiga chini Makonda? Lini and how?Huyu jamaa sio kabisa kila anapokwenda anazua mambo.
No wonder Magu alimpiga chini.
Wapambe wa gambo mshaanza kulia liaJoto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana
! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !
Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?
Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Wewe ni chawa wa Gambo?Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana
! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !
Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?
Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
unajidanganya makonda ananyota ya kupendwa, arusha huwaambii kitu kwa makondaMakonda ni ZERO BRAIN.
Aendelee kuwepo kwenye uongozi hii itaisaidia sana kupunguza kura za CCM kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025
Wewe umezaliwa jana??Kwamba Magu alimpiga chini Makonda? Lini and how?
Utashangaa ataendelea kupewa vyeo.Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana
! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !
Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?
Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Kwanini tuwe na double standard? Gambo alipokuwa RC alikuwa na msuguano mkali na aliyekuwa Mbunge Lema. Kwanini Gambo hakuhamishwa ili amuache Lema aliyekuwa amechaguliwa na wananchi?Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana
! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !
Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?
Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Natamani Sana Sana wauwane Tu, amani haiji Ila kwa ncha ya upanga...Joto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana
! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !
Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?
Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
NDIO maana natamani Sana wauwane Tu. Tutazika au tutasafirisha itajulikana BaadaeKwanini tuwe na double standard? Gambo alipokuwa RC alikuwa na msuguano mkali na aliyekuwa Mbunge Lema. Kwanini Gambo hakuhamishwa ili amuache Lema aliyekuwa amechaguliwa na wananchi?
Usahihi wake ni upi? Anaishi kama digidigi, hapandi Gari ya RC, anabadilisha Gari akiwa njiani..... yaani gari ya RC ina bendera Kabisa lakini yeye anapanda land cruiser na msafara wenye ving'oraKwa ARUSHA makonda ni mkuu wa Mkoa sahihi.
Kumtoa kwa kipindi hiki haitakua sawa.
Mmoja ni Mwenyekiti wa Usalama Mkoani humo mwingine ni mwakilishi wa wananchi wilayani humo.Mafahari Hawa mmoja aondoke....
Acha upotoshaji, Magu hakumpiga chini, bali aliacha ukuu wa mkoa ili akagombee ubunge. Bahati mbaya alishindwa na RIP Ndugulile.Huyu jamaa sio kabisa kila anapokwenda anazua mambo.
No wonder Magu alimpiga chini.