Nashauri Rais Samia ambadilishie kituo cha kazi Paul Makonda. Arusha inatosha, aende mahali pengine

Kwa hiyo ukuu wa mkoa atakaa nao milele
 
Wale sio wa kubadilika zile ni tabia ambazo huenda hata ziko kwenye damu,ushamba mwingi na kupenda sifa.Wataalam wa kuigiza hawa,huwezi kuwafahamu kama sio mchunguzi
Kamanda Paul
 
Sasa huko anapokwenda kwani napo hakuna hakuna wabunge?
 
Ukute ni m*gambo ndo katoa hoja
 
Sio tu kwamba ana matatizo. Lakini hata anayemteua MAKONDA pia ana matatizo makubwa kichwani mwake.
Makonda ni mkuu wa mkoa asiyejuaa lilote kuhusu UONGOZI na UTAWALA
 
Tatizo la huyu jamaa ni hilo kujijenga mwenyewe na kupuuza wengine na kudharau wengine,kipindi cha Magu aliwadharau mpaka mawaziri.Nafkri kuna kitu hakiko sawa,na atajitambua kwa kuchelewa.
Kama wapo Wazee walidhalilishwa naye akihusika kwa namna moja au nyingine basi Ngoma hiyo sio ya kitoto !
Mauza uza yake yatakuwa mengi 😳 !
KARMA !
Ujue watu wengine ni Chosen people by the GOD !
Watu hao ukiwaonea ujue umetafuta ugomvi na The Universe ! πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…