Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
ajali ya singida imetokea asubuhi,
ajali ya lindi asubuhi.
hsyo ya usiku ajali we ni ipi
Ndio maana tunasema safari za usiku sio tatizo bali madereva wa kuendesha kwa kuchukua tahadhari ndio shida kuwapata katika Nchi hii !!Kuruhusu basi zitembee masaa 24 kiukweli ni hatari sana hasa majira ya usiku.
Oya we wahuni wa mabasi usiku wanamwaga moto siyo poa wale jamaa niliwahi kuzishuhudia gari za mwanza Dar hasa zikiwa zinaenda mwanza majira ya usiku bus inapita kasi hata jina la ubavuni huwezi kulisoma, kweye kuovertake anaweza kukaa kulia na akazikata hata gari 10 bila tahadhari, alafu huwa hawarudi kushoto wanatembea na mstari wa kati
Je zile ajali kibao za mchana kweupee una maoni ganiKwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Ni kweli service huwa ina ratiba(schedule)Gari lingekua lako ungefanya service ukifika dar na ukifika moro unafanya ungeweza. Mbona unaongea vitu vya ajabu sana.
Gari hizo zina ratba yake ya service sio kila siku. Unadhani service ni kuweka mafuta. Unajua ifike mahali wana jf kama hujui uliza.. Gari hujawahi miliki unaanza leta stry za service every return day. Daah
Uko Sahihi 💯 kuendesha gari usiku kunaitaji uzoefu mkubwa na umakini Kwa Sababu usiku sio mchana sababu zilizopelekea kuruhusu safari hizi ni za kibiashara Zaidi sio kiusalama wewe fuatilia maeneo mengi kama utaona trafick usiku au tochi usiku ni uhuru wa manyani TU.Kwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii Sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna Oolisi. Malori nayo ndio mida yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda Dar es Salaam, kufika Morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu ana overtake pia hamna Polisi barabarani.
Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka Dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale Mbezi saa kumi na moja alfajiri gari halikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale Mbezi na sisi tunapanda sababu hawana muda wa service.
Chonde chonde Serikali sitisheni hizi safari.
NB: Hata ajali mchana zinatokea lakini chanzo hasa ni madereva kuendesha magari usiku so wanachoka wanakosa focus ya kuendesha mchana na kupelekea kupata ajali
Kwahiyo Mkuu gari imetembea Kilometres 1,000 ikifika hamna kuikagua ngoma isambe, ndio hiki unachojaribu kutuambia wewe unayemiliki gari?Bado kuna uzembe katika usimamiaji,inaweza kuwa ni kweli kuna udhaifu kwa madereva lakini pia inaweza kuwa kuna uzembe kwenye mamlaka za usimamizi....
🤭Mi sio rout ndefu km zako ,dodoma -iringa,dar-iringa, Arusha -iringaShida tu dadangu, lkn sikufikii wewe
Chai hii. Mbona hao Frester hawana ruti ya Mwanza - dar. Hiyo ruti ilianza lini?Mwezi wa kumi mwaka 2023
Ya kahama hiyo nilipandia nzegaChai hii. Mbona hao Frester hawana ruti ya Mwanza - dar. Hiyo ruti ilianza lini?
Natamani pamoja na hoja yako hi usleze kidogo kuhusu mambo yafuatayo;Karibia nchi zote usafiri ni masaa 24. TUAMKE