Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Bado nadhani hujaelewa chochote. Please do your research. Ukiniona mjuaji sawa , ila kuna vitu huvielewi. Sio kwasababu ni bongo basi unaona maafisa wetu au viongozi wetu ni machizi tu.. mambo yanaenda wanavyotaka, Hapana, swala hilo limekaa bila shida.Usijifanye mjuaji mkuu service hazifanyiki za kueleweka yaani service ifanyike morogoro, wakijitahidi ni dakika kumi maana wanawashusha abiria ili wakachimbe dawa
Kabisa hajui gari inakuwa na chart ya service na inaonekana hajawai miliki gari, mfano hata yeye angekuwa na gari je angekuwa akitoka mfano dar akifika Arusha anafikia garage? Hakuna tajiri anayependa kupata hasara hivyo anajali gari lake kuliko hata wewe abiria kama ulikuwa hujui, pia kifupi makampuni mengi safari za usiku wamewapa wale madereva wanaowaamini na gari mpya wanazoziamini ndio zimepewa safari hizo na gari tia maji tia maji ndio zipo mchana, kingine gari zinazotoka usiku hazikimbii maana hakuna abiria anayependa kufika usiku mfano unamfikisha mbeya mtu saa tisa usiku inamaana Gani? Tokea safari za usiku zianze hakuna ajari ya kutisha iliowahi kutokeaHizi fani na ni kazi za watu na huwezi kuwa unajua kila kitu. Hata dakika 2 zinatosha kufanya unachoita service. Inategemea ni kitu gani kinafanyika. Pia gari alifanywi service kila siku
serikali ya kufanya tathmini ukaiamini ni hii hii ya akina tulia ya ccm au unazungumzia serikali nyingine!!!Inaonekana huna uelewa au hujui unachokiandika mpaka serikali imeruhusu safari za usiku walishafanya tathmini maaskari wa usalama wapo barabarani kama kawa madereva wanafuata sheria hizo lori unazosema zinakimbia mbona hatupewi taarifa kila siku kwamba zimepata ajali? Mwezi huu kna ajali ngapi umzisikia za usiku?
Ww kama huna harakati zinazohitaji kusafiri usiku tulia tu mkuu watu wamepata nafuu sana Kwa safari z usiku ndio maana unaona bado mabasi yanafanya kazi mbali na hapo ajali haina kinga inatokea muda wowote
Karibia nchi zote usafiri ni masaa 24. TUAMKEserikali ya kufanya tathmini ukaiamini ni hii hii ya akina tulia ya ccm au unazungumzia serikali nyingine!!!
siasa zinatumika juu ya vichwa vya wajinga kuamua hatma ya maisha yao.
wadau wa usalama barabarani wanapendekeza gari za abiria zisitembee usiku,anakuja mtu aliyeacha kupanda bus miaka 15 iliyopita anakwambia sio uamuzi salama kiuchumi,uchumi wa ugoko!!!
wenzenu wanapotaja uchumi wanataja na barabara 6 zinazotenganishwa na ukuta 3/3,nyie moja mpaka chokaa katika [emoji29][emoji29]
gari ni mashine mkuu,inapofanya kazi masaa zaidi ya mawili ikiwa na mzigo inahitajika service wacha ujuaji sana.Kabisa hajui gari inakuwa na chart ya service na inaonekana hajawai miliki gari, mfano hata yeye angekuwa na gari je angekuwa akitoka mfano dar akifika Arusha anafikia garage? Hakuna tajiri anayependa kupata hasara hivyo anajali gari lake kuliko hata wewe abiria kama ulikuwa hujui, pia kifupi makampuni mengi safari za usiku wamewapa wale madereva wanaowaamini na gari mpya wanazoziamini ndio zimepewa safari hizo na gari tia maji tia maji ndio zipo mchana, kingine gari zinazotoka usiku hazikimbii maana hakuna abiria anayependa kufika usiku mfano unamfikisha mbeya mtu saa tisa usiku inamaana Gani? Tokea safari za usiku zianze hakuna ajari ya kutisha iliowahi kutokea
Ila kwetu inahitaji uangalizi na mafunzo ya hali ya juu kwa maderevaKaribia nchi zote usafiri ni masaa 24. TUAMKE
Acha woga weweKwema wakuu?
Kwa Hali ilivyo usalama barabarani nyakati za usiku ni mdogo madereva hawazingatii sheria barabarani wakati wa usiku maana hamna polisi. Malori nayo ndio mida Yao ya kukimbia so ajali ni nyingi mno. Madereva pia usiku wanasinzia barabarani sababu ya uchovu.
Kuna siku nimesafiri na basi la Frester kwenda dar es salaam kufika morogoro usiku kama saa nane, dereva anataka kugonga semi za mafuta sababu anaovetake pia hamna polisi barabarani.Hivyo hivyo gari la Abood juzi tumetoka dar dereva anaendesha kwa kasi pia tulilipanda pale mbezi saa kumi na moja alfajiri gari haikufanyiwa service maana ilikuwa inatoka mkoani na watu wanashuka pale mbezi na sisi tunapanda sababu hawana mda wa service.
Chonde chonde serikali sitisheni hizi safari
hamna shida amkeni tu,ila msisahau barabara zenu ni vichochoro,hata taa hakuna.Karibia nchi zote usafiri ni masaa 24. TUAMKE
muulize mkuu wa traffic tanzania.Kama hakuna data zinazoonesha ajali za usiku ni nyingi kuliko za mchana basi, hii hoja haina mashiko.
Tupende kutafuta data kwanza. Huu ni uchumi,kazi za watu.
Ni kweli mkuu! Makampuni ya mabasi yamejitahidi kuweka gari zao za usiku ambazo hazijachoka.Kabisa hajui gari inakuwa na chart ya service na inaonekana hajawai miliki gari, mfano hata yeye angekuwa na gari je angekuwa akitoka mfano dar akifika Arusha anafikia garage? Hakuna tajiri anayependa kupata hasara hivyo anajali gari lake kuliko hata wewe abiria kama ulikuwa hujui, pia kifupi makampuni mengi safari za usiku wamewapa wale madereva wanaowaamini na gari mpya wanazoziamini ndio zimepewa safari hizo na gari tia maji tia maji ndio zipo mchana, kingine gari zinazotoka usiku hazikimbii maana hakuna abiria anayependa kufika usiku mfano unamfikisha mbeya mtu saa tisa usiku inamaana Gani? Tokea safari za usiku zianze hakuna ajari ya kutisha iliowahi kutokea
mtu anafanya kosa bongo analipishwa 30kπππ.Ila kwetu inahitaji uangalizi na mafunzo ya hali ya juu kwa madereva
Ulaya kupata license ya bus au lorry sio mchezo inaweza kufika mpaka 12m ya bongo
Mimi nilichukua kwa 10m ya kitanzania na nilisoma haswa
Maswali 900 lazima ukariri
Mtihani maswali ni 100 kutoka hayo 900 na lazima upasi zaidi ya 70 %
Unatoka umenolewa haswa
Sawasawa πGari lingekua lako ungefanya service ukifika dar na ukifika moro unafanya ungeweza. Mbona unaongea vitu vya ajabu sana.
Gari hizo zina ratba yake ya service sio kila siku. Unadhani service ni kuweka mafuta.
Unajua ifike mahali wana jf kama hujui uliza.. Gari hujawahi miliki unaanza leta stry za service every return day. Daah
Inawezekana kabisaNi kweli mkuu! Makampuni ya mabasi yamejitahidi kuweka gari zao za usiku ambazo hazijachoka.
Pia wako makini tofauti na mtoa mada anavyoongea. Ajali ni masaa yote huwa inatokea. Kwa tuliopitia kidogo maswala ya udereva masaa ya kuanzia saa 7 mchana hadi saa 9 walikuwa wanatuambia tuwe makini.
Wanasema nyakati hizo ukisha kula mwili hushindwa kujizuia unajisikia kausingizi kanakosababishwa na chakula ulichokula.
kama uliambiwa saa 7-8 unasinzia sababu ya kuvimbiwa,vipi usiku ambao kiasili ni muda wa kulala kabisa!!!Ni kweli mkuu! Makampuni ya mabasi yamejitahidi kuweka gari zao za usiku ambazo hazijachoka.
Pia wako makini tofauti na mtoa mada anavyoongea. Ajali ni masaa yote huwa inatokea. Kwa tuliopitia kidogo maswala ya udereva masaa ya kuanzia saa 7 mchana hadi saa 9 walikuwa wanatuambia tuwe makini.
Wanasema nyakati hizo ukisha kula mwili hushindwa kujizuia unajisikia kausingizi kanakosababishwa na chakula ulichokula.