matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kwa mtazamo wangu, homework ni ushahidi kuwa walimu wameshindwa kutimiza wajibu wao. Mtoto akiwa shule anatakiwa amalize mambo ya shuleni hukohuko. Akirudi nyumbani awe na majukumu mengine ya nyumbani ili akili zake zitanuke katika vizio vyote.
Mbaya zaidi ni likizo. Likizo maana yake ni mapumziko. Sasa kuna ujanjaujanja wa wa shule za kisasa kumrundikia mtoto mafurushi ya vitini wanaita HOLIDAY PACKAGE. Hii ni ishara pia hwajiamini kama mtoto waliyomfundisha yamekaa. Mtoto aachwe arelax likizo ndio maana ya likizo. Hakuna tunakowahi.
Tuache amsalimie babu, ajichanganye na wenzake, ajifunze kupika, bustani,ujasiliamali kidogo na kazi za nyumbani.
Ni hayo tu.
Mbaya zaidi ni likizo. Likizo maana yake ni mapumziko. Sasa kuna ujanjaujanja wa wa shule za kisasa kumrundikia mtoto mafurushi ya vitini wanaita HOLIDAY PACKAGE. Hii ni ishara pia hwajiamini kama mtoto waliyomfundisha yamekaa. Mtoto aachwe arelax likizo ndio maana ya likizo. Hakuna tunakowahi.
Tuache amsalimie babu, ajichanganye na wenzake, ajifunze kupika, bustani,ujasiliamali kidogo na kazi za nyumbani.
Ni hayo tu.