Nashauri serikali ipige marufuku homework kwa watoto wa shule

Sasa mwanao ni geneous mpaka asipewe homework??
 
Jamaa aliyebuni homework duniani anasema lengo la homework ni kwa watoto vilaza ambao wameshindwa kuelewa wakati wa vipindi.
Mkuu unabishana na mbunifu wa homework ulimwenguni.
Hahaha
Huenda mwanao ni moja ya hao vilaza mkuu. Ndio mana teacher anampa homework na holiday package
 
Huenda mwanao ni moja ya hao vilaza mkuu. Ndio mana teacher anampa homework na holiday package
Hahaha kama muasisi anasema Homework ni kwa watoto vilaza wasioelewa wakati wa darasani. Basi tuwaachi vilaza na walimu vilaza wanaowabebesha watoto mizigo baada ya kushindwa kuelewekq darasani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…