Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Ukisema wa chague wanafunzi..
Wanaingia form1 wakiwa na miaka 11_12 sikuhizi watawezaje kuwa na uwelewa wa kujua wanachokipenda au kukimudu??
 
Nakubaliana na wewe, hasa hasa kuanzia primary maana kuna cases mtoto unasikia kafaulu lakini kuandika na kusoma vizuri hajui... Angalia sasa hivi nguvu kubwa ni kujenga majengo lakini hatusikii maboresho ya walimu. Ilitakiwa wale waliofaulu vizuri Universities ndiyo wawe walimu na walipwe vizuri.
Siasa

Wanasiasa wanataka kufurahisha wananchi,

Wazazi

Hawa ndo tatizo, wamekataa chukua majukumu yao ya kuwalinda, kuwasomesha watoto, wameiachia serikali. Serikali haijali maana mtoto wa mtu akiwa mjinga haiwahusu wao. Inawahusu wazazi ma familia ya mtoto.

Jamii

Ikitokea matokeo yakawa mabaya, jamii hulalamika kuwa wameonewa,
Serikali kwa kutaka kura, inarekebisha matokeo


NB: Serikali ikubali lawama, kila mtu alipie gharama za shule kwa mtoto wake. Serikali iwekeze kwenye ubora wa wanafunzi hata ikipata wahitimu 100,000 bora kati ya 1,200,000 kwao si kesi. Hao 100,000 waendelezwe zaidi ili chuo wamalize angalau 30,000 walio bora

Kwa kufanya hivyo taifa letu litaendelea kuwepo, sababu kuna watu bora watakaoendeleza ubora.

Kila kitu kina gharama ila mwisho wa siku lazima tukubali kuwekeza kwenye ubora
 
Kwa uwelewa wangu mdogo naona mitaala ya masomo ya sayansi hasa physics iboreshe kuenda na na usasa zaidi na kufundishwa katika lugha raisi zaidi kwa hivi vidato vya chini, Mambo ni mengi sana kwa muda mchache huku kukiwa hakuna vifaa vya maabara kufanyia practical katika mashule zaidi imekuwa anayeweza kukariri zaidi ndiye mshindi huku wengine wakiwa hawaelewi....
Ili kuto wavunja moyo wanaotaka kuyachukua maana yakiogopwa sana tutakuwa na tatizo kubwa la wataalamu katika nyanja mbalimbali za sayansi.
Mimi ni mhanga wa Physics A level....Kuna vitu na maswali ya practical ndo nmekuja kuyaona kwa mara ya kwanza kwenye mtihani wa taifa.
Kwa siku za karibuni curriculum imehama sasahivi tupo kwenye competence based, Mwanafunzi anaelewa nini, hapo nadhani ndio kuzinguana kunaanza kwa maana mwalimu anakua na content ndogo ambayo haiwafikii wanafunzi vizuri pia wanafunzi wenyewe ni viazi hawako tayari kupokea, pia ulivyosema ni kweli madarasa ya chini wapunguziwe mambo labda wataanzs kuyapenda taratibu.
 
Nakubaliana na wewe, hasa hasa kuanzia primary maana kuna cases mtoto unasikia kafaulu lakini kuandika na kusoma vizuri hajui... Angalia sasa hivi nguvu kubwa ni kujenga majengo lakini hatusikii maboresho ya walimu. Ilitakiwa wale waliofaulu vizuri Universities ndiyo wawe walimu na walipwe vizuri.
Tunawapokea secondary wengi sana wasioweza hata kuandika majina yao kwa ufasaha, je huyu ataipenda physics na Mathematics?
 
Siasa

Wanasiasa wanataka kufurahisha wananchi,

Wazazi

Hawa ndo tatizo, wamekataa chukua majukumu yao ya kuwalinda, kuwasomesha watoto, wameiachia serikali. Serikali haijali maana mtoto wa mtu akiwa mjinga haiwahusu wao. Inawahusu wazazi ma familia ya mtoto.

Jamii

Ikitokea matokeo yakawa mabaya, jamii hulalamika kuwa wameonewa,
Serikali kwa kutaka kura, inarekebisha matokeo


NB: Serikali ikubali lawama, kila mtu alipie gharama za shule kwa mtoto wake. Serikali iwekeze kwenye ubora wa wanafunzi hata ikipata wahitimu 100,000 bora kati ya 1,200,000 kwao si kesi. Hao 100,000 waendelezwe zaidi ili chuo wamalize angalau 30,000 walio bora

Kwa kufanya hivyo taifa letu litaendelea kuwepo, sababu kuna watu bora watakaoendeleza ubora.

Kila kitu kina gharama ila mwisho wa siku lazima tukubali kuwekeza kwenye ubora
Sahii.
 
Mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri kamwe hawezi kushindwa Hesabu, na anayefaulu Hesabu basi na masomo mengine ya sayansi hufaulu.

kila siku watu wanalalamika kwamba mbona wasomi ni wengi lakini wanaonekana kutokuwa na impact kubwa kwenye jamii?!.

Jibu ni kwamba wengi wa wasomi hao wanapuuzia Hesabu, hivyo wengi ni wasomi wanaokariri tu, hawaumizi vichwa vyao sana katika kuchimba na kutafuta ukweli wa mambo ambapo tabia ya kufanya hivyo huambatana na kupenda Hesabu.

Hesabu ni maisha, hivyo uwekwe mkakati wa kuwalazimisha wanafunzi kupenda Hesabu.
Unataka kusema hesabu ni ngumu kuliko physics?
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? [emoji16][emoji16]
Nasubiri komment ya mwalimu wetu mpwayungu village

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana na wewe, hasa hasa kuanzia primary maana kuna cases mtoto unasikia kafaulu lakini kuandika na kusoma vizuri hajui... Angalia sasa hivi nguvu kubwa ni kujenga majengo lakini hatusikii maboresho ya walimu. Ilitakiwa wale waliofaulu vizuri Universities ndiyo wawe walimu na walipwe vizuri.
Hiyo ndio system inayotumiwa na wenzetu walioendelea. Mtu anayefaulu vizuri ndio anakuwa mwalimu wa secondary, halafu anaendelea na masomo ya juu na hatimaye anakuwa lecturer wa university.
 
Mimi sio mwalimu ila nahisi shida ipo Kwa walimu sunajua wanaenda kusomea ualimu wakishafeli, sasa unafundishwa na mtu alopata four advance unategemea nini
Nilikuwa nasubili comment yako haya ya kwanza umekuja kama nilivyokuwa nafikiria [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo waondoe Physics na Maths wanabakishe somo la vishazi huru na tegemezi na lile la Mfekane war? Ushauri wako haufai kabisa kwenye nchi inayopambana kujikwamua. Wababe wote wa hii dunia wamefika walipofika kupitia sayansi na teknolojia... msingi wa hayo yote ni hiyo Physics na Maths. Naona waache hivyohivyo hata kama atafaulu mmoja.
 
Mimi sio mwalimu ila nahisi shida ipo Kwa walimu sunajua wanaenda kusomea ualimu wakishafeli, sasa unafundishwa na mtu alopata four advance unategemea nini
Shida ni Serikali ya CCM maana yenyewe ndo ilitunga sheria na policy ya Division 4.28 kusomea Ualimu

Mabadiliko ya Elimu yatatokea kama Serikali ikiamua acha siasa na wanasiasa waendeshe elimu yetu.

Tofauti na hapo Mungu alete kizazi kipya
 
Soma
Kwa hiyo waondoe Physics na Maths wanabakishe somo la vishazi huru na tegemezi na lile la Mfekane war? Ushauri wako haufai kabisa kwenye nchi inayopambana kujikwamua. Wababe wote wa hii dunia wamefika walipofika kupitia sayansi na teknolojia... msingi wa hayo yote ni hiyo Physics na Maths. Naona waache hivyohivyo hata kama atafaulu mmoja.
Soma uelewe Mkuu, hatujasema lifutwe lakini liwe option tuangalie quality sio quantity
 
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?

Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.

1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)

2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35% (8,532)
C - 4.84% (30,674)
D - 8.41% (53,246)
F - 83.44% (528,344)

Tatizo ni nini?
Je nani alaumiwe? Serikali? Wazazi? Walimu?..

Mwanafunzi anaingia form one huku uwezo wake ukiwa mdogo sometimes hata kusoma hajui, tukianza kuwashushia zigo walimu wa primary kwamba hawaandai watoto vizuri wanaweza kuja na hoja chanya nyingi tu juu ya kwanini watoto wanapandishwa wakiwa na uwezo mdogo.

Mtoto anapandishwa secondary baada ya kupiga chabo akifika anakuta mambo ni tofauti na magumu mnoo,

Nyie ni wazazi mnaweza kutoa ushuhuda humu, kwa waliomaliza form four before 2010, je ulianza kutumia simu lini? Sasa hivi wanafunzi wote wana simu tena wengine Kali kuliko walimu wao, suala la sex ndio usipime vijana wa siku hizi wameanza mapenzi primary ubongo umeshavurugika saana.

Turudi kwenye mada husika,

Kiukweli physics au Mathematics is not for everybody nitapinga saaana labda uje na hoja nzito sana inafaa mtu atulize akili aweze kuyamudu na kufaulu haya masomo.

Naiona juhudi ya serikali kuajiri walimu wa masomo hayo tena hao walimu wakiwa bora sana, lakini wanakuta nature ya watoto husika imeshabadilika mentality ya kusoma na kuyapenda hayo masomo hamna, ukisema uwachape serikali nayo inakuja juu.

O-level nimesoma tuition ya physcs na mathematics kwa mwalimu mmoja maarufu pale mwanza Michael mnyama pale ubungo secondary, jamaa alikua anapiga fimbo vibaya mno usipofanya kazi aliyoiacha ndio kilichonijenga nikaiva kidogo.

Nashauri serikali haya masomo mwanafunzi apewe choice ya kuchagua kuyasoma tokea akiwa form one, ili wale wanaojitambua wachache wapate fursa ya kuyaeelewa na kufanya vizuri, kuliko kujaza darasa wanafunzi 200 na wengine wakiyakataa kabisa hayo masomo wanasubiri form three wayakimbie. Kwanini yasiwe option kuanzia form one?
Imagine mwalimu wa mathematics au physcs akichukua wanafunzi wake 30 form one mpaka form four hakika hutokuja kuona matokeo mabovu ya Mathematics au Physics.

Ndio maana walimu wa chemistry na physics form four wanafaulisha sana kwa sababu form two wameshajichuja.

Nilikua naona matokeo ya st Francis waliofanya mtihani ni 92, miaka yote wako hivyo hivyo hawapungui wala hawaongezeki unadhani kwanini? Pale interview wanafanya hata 1500 but wanataka cream yao 92 tu, hakuna slow learner anaesoma pale.

mpwayungu village unaonaje wewe? Au wewe ni mwalimu wa history na language? 😁😁
Physics nayoiona katika mfumo wa elimu ya Tanzania 🇹🇿 sioni msaada wake ktk kumtengeneza kijana.

Sio rahisi kuitumia hii Physics kwakua haina uhalisia , tukichukulia mfano wa mada moja ya ELECTRONICS si rahisi mwanafunzi kua Competent kwan mwanafunzi yupo ki nadharia zaid wala si kwa vitendo , unasoma kuhusu chaji paspo hata kujua ktk uhalisia chaji ni kitu gani na kinaopareti vp,


Ili walau tufike robo ya ndoto za vijana wetu ni lazima serikali ione umuhimu wa kuwekeza ktk elimu, tunahitaji kubadili mfumo wa elimu, tuachane na haya ma theory twende ktk vitendo, hii itasaidia vijana kua na uwezo wa kujiajili kulingana na taaluma zao.
 
Shida ni Serikali ya CCM maana yenyewe ndo ilitunga sheria na policy ya Division 4.28 kusomea Ualimu

Mabadiliko ya Elimu yatatokea kama Serikali ikiamua acha siasa na wanasiasa waendeshe elimu yetu.

Tofauti na hapo Mungu alete kizazi kipya
Hujui hata unachokipigania,

Vp hata walimu wa vyuo wana div 4?

Unadhani tatizo la huko juu halipo ktk ngazi za msingi na SEKONDARI?
 
Ukweli physics na Mathematics sio masomo ya kila mtu hata kama kuna walimu wazuri kiasi gani . Wanaofaulu physics au hesabu ukiachana na msaada wa tuition au mwalimu mzuri lakini mwanafunzi ana uwezo wa kujisomea baadhi ya topic mwenyewe bila msaada wa mwalimu. Hapo zamani kidogo tulijisomea baadhi ya topic na kuzimaliza na kuanza kusolve maswali bila hata kufundishwa na mwalimu.

Sasa kama ni slow learner ni ngumu kuanza kujisomea topic na kuielewa. Ni ukweli kabisa Physics na Mathematics sio ya kila mtu.
 
Back
Top Bottom