smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
umetumia mda mwingi kuandika vitisho kuliko kuandika namna ya kushauri.Mama moto auko mbali you’are chasing the dragon.
Hakuna mkosoaji anaetaka mama ashindwe; the woman needs to revert back quickly to how things were under JPM.
Jumba linawaka hilo soon kwa sisi tunaoweza analyse mambo. Dah mpaka namuhurumia huyu mama wengine ukosoaji wetu sio wa chuki bali kurekebisha aipeleke nchi sawa.
Moto waja soon, kwanini watu wenye tamaa wamemuingiza huyu mama mkenge kwa kutoridhika kwao.
Watch this space tupo pabaya. Dah again kuna watu wana roho mbaya why are they exploiting this woman.
Very sad, sina tabia ya kuongopa; nawaambia kwa kumsikiliza Mama Samia mwishoni kabla ya kumuwakia speaker kinachofuata ni mshtuko wa mushroom bomb, na tatizo sio yeye bali wahuni.
Not trying to be the prophecy of doom but watch what’s next. It’s a pity to mama.
wewe ni walewale waliowahi kufaidika na utawala wa yule shetani.