umetumia mda mwingi kuandika vitisho kuliko kuandika namna ya kushauri.

wewe ni walewale waliowahi kufaidika na utawala wa yule shetani.
 
kataarabu alikoachia mama jana kamemsagia kunguni vibaya mzee jobo
 
Hiyo asilimia 99 umeitoa wapi?
 
Jpm ndo chanzo cha matatizo yote haya, ipo siku watu watafunguka na kueleza mapungufu ya jpm yalivyopelekea kuua nchi, mengine tulishaandika kitambo hata kabla hajafa
 
umetumia mda mwingi kuandika vitisho kuliko kuandika namna ya kushauri.

wewe ni walewale waliowahi kufaidika na utawala wa yule shetani.
Mama hataki tu kusema ukweli ila haya matozo ni kwa sababu alikuta serikali ime filisika. Magu alitaka kufanya kila kitu kwa wakati mmoja, ujenge ikulu, uamie dodoma, ujenge reli, ujenge bwawa, ujenge busisi, ujenge uwanja wa ndege. Alikua abscess na mega structures
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu atakataa mikopo. Kubwa mikiopo inatumiaje? Ukisema JPM alikopa sana, ukaishia hapo, unakuwa ama mbumbumbu ama mnafiki. Nenda mbele zaidi alitumiaje hiyo mikopo? Linganisha na mikopo aliyokopa JK aliitumiaje?

Kukopa si tatizo, tatizo ni aina ya mikopo namatumizi yake.
 
umetumia mda mwingi kuandika vitisho kuliko kuandika namna ya kushauri.

wewe ni walewale waliowahi kufaidika na utawala wa yule shetani.
Utaweza mtishia raisi wa Tanzania kweli kama akili zako timamu, si dakika moja tu anakumaliza akiamua ata ungekuwa mkuu wa vyombo vya ulinzi.

Nonetheless based on recent events kuna watu wengi inaonekana awapendi hatua ambazo nchi inarudi nyuma na wamejipanga kupambana kuipeleka mbele na huu ni mwanzo tu.

Mambo hayako sawa tofauti na hadithi za serikali. Na kuna watu awataki tena kurudisha siasa za nyuma mambo ya mimi sijui nimekulia kwenye chama, wakati kuna katiba ya kuwaongoza.

Make no mistake baada ya kusikiliza speech ya tukio lote ya tukio it’s apparent speaker alishaonywa what is about to come; busara aende mbele awe mpole wakati watu wanajipanga.

Hapo tunazungumzia vita ya watu wenye nguvu serikalini ngoja tuone mwisho.

As for me kilatha sasa hivi nina black belt busara ni kwamba wamalizane wenyewe sio kutuingiza sisi JF contributors or else nitavunja viuongo vya watu kadhaa kwa wale watakao jaribu nisogelea.

Hii ni vita ya level nyingine, sasa tuelewane mapema wengine hatuna upande; for defence reasons nina black belt like I said I won’t hesitate using my skills if I have too.
 
Jpm ndo chanzo cha matatizo yote haya, ipo siku watu watafunguka na kueleza mapungufu ya jpm yalivyopelekea kuua nchi, mengine tulishaandika kitambo hata kabla hajafa
Yaani unamlaumu raisi bora nchi hii kuwahi kupata ndio tatizo la nonsense za leo; malalamiko mengine is beyond me.

Anyway muhimu tumuombee mama Samia mafanikio kwa njia zake.
 
Kule kwetu uswahilini tuna misemo yetu " BAADA YA DONDA, NAMSUMARI WA MOTO"
 
Wajiuzulu wote (Samia naye ajiuzulu)

Kamkamata Mbowe, halafu wengine (UAMSHO) anawaachia kama si uhuni ni nini!
 

Mchakato wa kumuondoa Spika hauwezi kufika mahali pa kuangalia katiba inasemaje
Uspika ni fadhila za CCM na kwa masilahi yake, sidhani kama watapenda mjadala Bungeni.

Mjadala wowote unaweza kumnyanyua Mh Ndugai kwasababu kimsingi ana hoja.
Tatizo ni usahaulifu kwamba alipaswa kusimamia anayoyasema Bungeni.
Na kwamba hata aliposema hakutakiwa kuomba msamaha kwa kile anachoamini

Ili kuepuka malumbano na kuwagawa CCM bungeni na kwingine , Chama hakitakwenda huko
Kuna 'option' rahisi sana. Chama kitamwita na kumtaka ajiuzulu au arudishe kadi yao.
Ndugai atakuwa na option pia, ajiuzulu abaki Mbunge na masilahi ya Uspika au akatae na kuzamisha meli na mzigo
 
Yaani sielewi kwa nini anachelewa kujiuzulu, maneno aliyotamka ndugai mh. Rais hawezi kuyavumilia, kwa kuwa aliomba radhi, na dhairi msamaha umekataliwa, hana sababu kuendelea kuwa spika.
Muda huu tulipaswa kujadili jinsi alivyojiuzuru.
Lakini hii yote inatokana na kiburi komaa, na tabia ya mazoea ya kutofuata sheria sheria na katiba.
Sehemu kubwa watu awampendi Ndugai jinsi alivyoliendesha bunge kipindi chake!
 
Amute tuu. Huu ni upepo utapita muda sio mrefu. But next time ajifunze kuwa na msimamo kama anayaamini mawazo na mtazamo anaoutoa kuhusiana na jambo ama hoja.....
 
Amute tuu. Huu ni upepo utapita muda sio mrefu. But next time ajifunze kuwa na msimamo kama anayaamini mawazo na mtazamo anaoutoa kuhusiana na jambo ama hoja.....
Yes ni ngumu sana kwa viongozi wa Afrika kuwajibika kwasababu ya utamu wa vyeo vyao

Tatizo linabaki pale pale, hivi inapohojiwa '' mtu mzima na akili zake..'' kimebaki nini tena?

Ni wazi amekwaza serikali yote iliyokuwepo Ikulu leo, anawakwaza wenzake sana tu

Ndugai ana hiari, hata hivyo ni vema akapima heshima yake leo, kesho na siku za baadaye

Wenzake leo wamemwacha 'kama alivyo'', sijui akikomaa joho litatosha kumsetiri.
 
Wameacha kwa makonda kumuandika ssa wamerudi wa ndugai tatzo la upinzani ndio hilo wana nata na biti tu hawana ajenda
 
The conflict has been too open, and uncovered, so it very difficult to hide it.
 
Siasa za kibong... zimejaa unaa tuu. Hivi unaweza kusingle-out who is 100% clean !!!!????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…