Nashauri Spika Ndugai ajiuzulu
Kulinganisha nchi zilizo endelea zidi ya nchi maskini kama Tanzania katika kukopa si sawa.

Maskin kapuku amuige bakhresa namna anavyokopa? Huyo Maskin hataishia kufirisiwa tu bali ataishia jera [emoji108]

Madeni ni noma @ Mwana!
 
Wewe nyie ni wapuuzi sana. Inaweza kuuza nchi..

Ndugai ni Mzalendo, jibu hoja zake.
Hana hoja yoyote ya maana, kaficha unafiki sawasawa na Polepole. Ni watu waliozoea mav8 na ving'ora na taratibu nyingi za tabaka la watu wa juu.

Wanachoshindwa kuelewa maisha ni gwaride, ukisikia nyuma geuka wa kwanza anakuwa wa mwisho.
 
Unaongea ubaguzi mkuu. Kwa hiyo weww mtanganyika ndiye mwenye uchungu na nchi hii?.

Kuna wapumbavu wangapi wameiuza hii nchi na wana passport ya kitanz
Wengi tu, wewe na akili yako timamu unampa nchi mtu asiye uchungu na matatizo yako. Familia yako Anakubali kila ujinga kisa haimuhusu watoto wake. Ndugu zake.

Wewe umepewa nafasi kuitetea serikali hii, sio maslahi ya Watanzania. Fanya kazi yako yako.
 
Exactly,Samia apige chini mabaki yote Ya dikteta magufuli, hawana ujanja nje ya serikali Wala nje ya Chama hao wapuuzi kina nduugay
Yeye Samia ni baki la nani?

[emoji23][emoji23][emoji23]Nyie ni [emoji205][emoji205][emoji205]kabisa
 
Ulitaka aanzishe michache ili iweje, unakipimo utuambie ni miradi mingapi kwa mwaka serikali inatakiwa kuanzisha.Miradi Ile kila mmoja una source of fund ulitaka afanye nini!!!!
Ona kwanza mtu mwenyewe unaemjibu mkuu!
Screenshot_20211116-153331.jpg
 
HUYU JAMAA SIYO MWENZETU TENA MKIAMUA KUMFUGA MFUGENI TU LAKINI SIYO MWENZETU TENA AMEKENGEUKA MANGULA AITISHE KIKAO MARA MOJA AVULIWE UANACHAMA, SISI WANA CCM TUNAAMINI AMEYAFANYA HAYA SI KWA BAHATI MBAYA LA HASHA AMEKUSUDIA, PIA UCHAGUZI UITWISHWE HARAKA JIMBONI KWAKE, BAADA YA KUVULIWA UANACHAMA WAKE.
 
Hana hoja yoyote ya maana, kaficha unafiki sawasawa na Polepole. Ni watu waliozoea mav8 na ving'ora na taratibu nyingi za tabaka la watu wa juu.

Wanachoshindwa kuelewa maisha ni gwaride, ukisikia nyuma geuka wa kwanza anakuwa wa mwisho.

Wewe upo sasa hivi kwenye utawala, lengo lako ni kuendeleza utawala wowote wa CCM.

Kupata kipato
 
Shida mmoja kubwa kwa Watanzania wengi hawajui jinsi siasa zinavyotakiwa kuwa,Ndugai na Samia ni viongozi wa Mihimili 2 tofauti ni washirika wa maendeleo ya Nchi lakini sio kwamba wanatakiwa wawe na mtazamo sawa, tulipokuwa tunazungumza kuwa Bunge halipaswi kuwa rubber stamp ya Serikali ndio maana yake hii.

Sasa muonavyo taka Ndugai aendelee kuwa kiraka wa Serikali- stupid Tanzanians.
 
Ndugu zangu wa JF

Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo

Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha

Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi

Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili

Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha

Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!

Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM

Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena

Tumpe ushirikiano Rais Samia

KaziIendelee

Nashauri ndugai aazishe chama kingine, Agombea kuwa Rais.
 
Anzisha chama chako Utaungwa mkono na Watanganyika, Watanzania wengi.
 
Back
Top Bottom