sseni
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 202
- 229
Mzee alikua anakula na vipofu wake bila kuwashika mkono alikuwa anawasogezea nyama ye anakula ubwabwa anashiba wenye uchu wa nyama nao wanalumbua lumbuaHuyu hajakosowa, bali mgao sasa hivi hapewi ametengwa, hizo ni hasira za kunyang'anywa tonge.
Ndio sababu ya mapovu yote hayo.