Mzee alikua anakula na vipofu wake bila kuwashika mkono alikuwa anawasogezea nyama ye anakula ubwabwa anashiba wenye uchu wa nyama nao wanalumbua lumbuaHuyu hajakosowa, bali mgao sasa hivi hapewi ametengwa, hizo ni hasira za kunyang'anywa tonge.
Ndio sababu ya mapovu yote hayo.
Ni kujiuzulu tu mana ndio haendani na sera ya mama, automatically ndugai ninkujiuzulu tuNdugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Huyu hajakosowa, bali mgao sasa hivi hapewi ametengwa, hizo ni hasira za kunyang'anywa tonge.
Ndio sababu ya mapovu yote hayo.
You made it clear, Hii ni mihimili miwili ambayo haitakiwi kuingiliana mmoja uuburuze mwingine japo wanatakiwa kwenda sambamba kuleta maendeleo, sio lazima wawe na mtazamo sawa!. Na Spika ana uhuru wa kutoa maoni yake.Shida mmoja kubwa kwa Watanzania wengi hawajui jinsi siasa zinavyotakiwa kuwa,Ndugai na Samia ni viongozi wa Mihimili 2 tofauti ni washirika wa maendeleo ya Nchi lakini sio kwamba wanatakiwa wawe na mtazamo sawa, tulipokuwa tunazungumza kuwa Bunge halipaswi kuwa rubber stamp ya Serikali ndio maana yake hii.
Sasa muonavyo taka Ndugai aendelee kuwa kiraka wa Serikali- stupid Tanzanians.
Hujui kitu wewe, spika ni mjumbe wa kamati kuu ya ccm CC, hivyo kanuni za chama zinatamka kutowa hoja zake na ushauri kwenye vikao rasmi vya chama.You made it clear, Hii ni mihimili miwili ambayo haitakiwi kuingiliana mmoja uuburuze mwingine japo wanatakiwa kwenda sambamba kuleta maendeleo, sio lazima wawe na mtazamo sawa!. Na Spika ana uhuru wa kutoa maoni yake.
Shida ni kwamba watu tunapelekwa na mihemko sana, kila jambo Mkuu akikosolewa huonekana hujuma na chuki.
Ni kweli ajiuzulu tuNdugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Spika wa Marekani(Nancy Pelosi) alikiwa Chama tofauti na Rais aliyepo Madarakani (Trump)Uswahilini kuna watu wanaamini kiongozi hatakiwi kuwa na mawazo binafsi
Akiunga mkono Rais anaitwa Zuzu, akitofautiana mawazo ajiuzulu
Spika kule Marekan alichana hadharan Hotuba ya Rais baada ya kuisha hotuba, ingekuwa huku ingeombwa apigwe kombora
Umejuaje kama Samia hana uchungu na Tanzania?. Wewe unaijua Tanzania kuliko RIP John Magufuli rais wa awamu ya tano aliyempa umakamu?.Wengi tu, wewe na akili yako timamu unampa nchi mtu asiye uchungu na matatizo yako. Familia yako Anakubali kila ujinga kisa haimuhusu watoto wake. Ndugu zake.
Wewe umepewa nafasi kuitetea serikali hii, sio maslahi ya Watanzania. Fanya kazi yako yako.
Umejuaje kama Samia hana uchungu na Tanzania?. Wewe unaijua Tanzania kuliko RIP John Magufuli rais wa awamu ya tano aliyempa umakamu?.
Umejuaje kama Samia haguswi na yanayotokea huku Bara?. Mbona anafanya kazi usiku na mchana kwa mapenzi makubwa kwa faida ya Bara ambayo ina eneo kubwa kuliko Unguja na Pemba?.
Wewe kuwa mwenyeji wa huku bara haikupi kibali cha utakatifu ukajiona upo bora sana kuliko mwenyeji wa kizimkazi Zanzibar.
Muda wetu duniani ni mfupi sana kiasi cha kuishi na chuki, nongwa na visasi.Well, Well Mzazinbari ni Mtanganyika asiyejielewa. Wewe siku zote utakuwa chini kisa ngozi yako.
Haguswi sababu ya poison, damu fulani, ,udini. Watu hawajieli leo.
Muda wetu ni mfupi sana kujenga vzazi vinavyokuja. Wajiamini, Watembea kifua mbele. Hii nchi hi tajiri sana alisema JPM.Muda wetu duniani ni mfupi sana kiasi cha kuishi na chuki, nongwa na visasi.
Utajiri wa kwenye karatasi tu. Uhalisia wa mambo ni tofauti na kujazana jeuri ya mdomoni.Muda wetu ni mfupi sana kujenga vzazi vinavyokuja. Wajiamini, Watembea kifua mbele. Hii nchi hi tajiri sana alisema JPM.
PumbavuNdugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee