Ndugu wakigombana shika jembe ukalime
 

Si tulishakubaliana kila mtu kushinda mechi zake? Si mbaya pia kukumbuka sisi siyo sambarau.

1. Minyukano ndani ya CCM haitusaidii kwenye madai yetu ya katiba mpya.
2. Mwendazake hayupo tena, makando kando yake tuhangaike nayo kwenye "haki na maridhiano" baada ya katiba mpya.
3. Agenda zetu ni za kudumu si marafiki.


Basi habari ndiyo hiyo.

Mambo yenu wala hayatuhusu.
 
Kuna sambarau hapo Chief? Kibatala naye anataka ianze tume huru ya uchaguzi, is he a sambarau?
 
Awajibishwe kwa kusema ukweli!?.. Shida ya vijana wa siku hizi ni unafiki na uzandiki. Hii mihimili miwili tofauti ambayo inatakiwa kuwa huru kwa vyovyote lakini ihakikishe utawala bora na ustawi unapatikana. Sasa maoni ya muhimili mwingine inaonekana chuki kwa rais. Shida ni mazoea ya muhimili mmoja kuubaka mwingine sasa inapotokea haya inaonekana chuki ambapo ingetakiwa kuwa hivi. JPM alikuwa anasema hadharani mikopo sio mizuri tushughulike na fedha za ndani mlikuwa mnapiga makofi. Sasa mama kaja na moja ya sera za mikopo mnapiga makofi as if kipindi cha JPM hamkuwa ninyi mlioshabikia..
UNAFIKI NA UZANDIKI TU. . Ipo siku tutapata atakaesema tuziuze mbuga za wanyama na migodi ili tupate fedha nae mtampigia makofi na kuunga mkono agenda.
 
Kibatala ni mtu ana maoni yake binafsi pia

Na maoni yake binafsi sio eti ndio msimamo wa CDM kama chama au ndio msimamo wa wanachadema wote

Relax man
Relaxed, ishu inaboa ni haka katabia anyone akiwa anatofautiana mawazo na CDM basi ni sambarau au kijani. That's silly.
 
Hata spika ni nembo ya nchi maana ni mkuu wa mhimili mmoja wa dola. Hivyo spika pia amedhihirisha jinsi watz tulivyo-wanafiki wa kutupwa. Unatunga sheria kisha unatoka nje unaanza kubwatuka.

Ndugai is a pure representation ya kufeli kwa ccm
 
Kwa hiyo kipi kianze? Katiba mpya or tume huru? Maana naona mnagongana lugha tu
 
Wewe utakuwa ni agent provocateur. Rais wenu mlimchagua lini?
Let them finish-up each other. Atapatikana mwingine Kwa kuwa Katiba imetoa njia nyingi za kimpata Rais wa muda, hata pandikizi.
 
Unatakiwa kutii sheria au amri halali, nje ya hapo utatii kwa kushurutishwa. Serikali ya awamu ya tano iliingia madarakani bila ridhaa ya wananchi kwa kuendesha uchaguzi usio huru na haki. Aliepo ni zao la serikali hiyo, mioyoni mwa waliodhurumiwa usitegemee utii wa hiari.
 
Kwani hujui kuwa Ndugai ni chizi. Kale kaugonjwa kake sasa kamepanda kutoka vidoleni mpaka kichwani. Na mwili unaanza kuvimba kama puto!!!. Spika hovyoo tangu tupate uhuru.
uchizi labda mambo mengine Ila kwa alichoongea siyo chizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…