The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
- #41
Tatizo letu tumeharibiwa na ufuasi wa vyama hata mahali pasipowezekana kabisa ilimradi ni mrengo wa chama unacokishabikia unaona inawezekana.Huwezi kuwaacha CCM ambao ndio chanzo cha upinzani kudidimia, halafu unataka viundwe vyama vipya vya upinzani viendelee kuwepo na CCM, navyo vitakuja kuwa havina maana iko siku utarudi hapa utake vifutwe tena.
Kwenye andiko langu nimesema ccm ni tatizo lakini limekuwa tatizo zaidi pale ambapo aina ya upinzani tulionao ni kama unafanya kazi kwa manufaa ya ccm, ilimradi dunia ione nchi yetu ina upinzani wakati uhalisia haipo hivyo.