Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Analishwa na shemeji Mkuu msameheWatu wanajadili mambo yanayowagusa wananchi bila kujali itikadi zao, unabaki kuongelea mavyama yenu hayo. Yaani unaona ni vizuri sana, utoto mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analishwa na shemeji Mkuu msameheWatu wanajadili mambo yanayowagusa wananchi bila kujali itikadi zao, unabaki kuongelea mavyama yenu hayo. Yaani unaona ni vizuri sana, utoto mtupu.
UongoUmeme una bei sana, hata ulaya wanalipia bei sana umeme. Ni sawa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
VOETSEK MAN....!!!!JPM aliposema anawatumikia wanannchi mlisema hakuna maskini
USSR
Unit moja inauzwa Euro zaidi ya 30. Utalinganiasha na Tz?Uongo
Nchi ambayo haina rais inaitwaje kitaalamu?😎😎😎
Hao kwan wanatumia vingamuzi bila umem??Kodi ni muhimu kwa maendeleo ya taifa letu. Kuna maeneo bado yamesahaulika. Wakubwa tupieni jicho kwenye ving"amuzi vya runinga! Kila mwezi na wao wachangie kidogo kujenga taifa!
Autonomous --- it leads itself automatically.
Hamia urundiLUKU
54150429402
990032123218222765
50.6KWH
6738 2900 6264 6766 3732
Cost 14,754.10
VAT 18% 2,655.74
EWURA 1% 147.54
REA 3% 442.62
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 20,000.00
Sio mtaalamu wa uchumi, ana Ph.D ya uchumi tu.Hivi haya mambo kwanini yamekua shida zaid baada ya kuingia mtaalamu wa uchumi Mwigulu???
Mkuu acha uongo tafadhali, unaijua euro 30 kweli? umekaa nchi gani hiyo ya ulaya? tumeishi huko na unapikia umeme wakati wa winter lazima uwashe heater muda mwingi ukiwa ndani, bado friji, microwave, washing machine n.k. Please acha uongo. Kule mbali ya per capital income yao kuwa juu kwa nchi nyingi bado umeme ni bei rahisi kulinganisha na huku kwetu. Yaani unaongelea unit moja sawa na takribani Tsh 70,000. Mungu anakuona mkuuUnit moja inauzwa Euro zaidi ya 30. Utalinganiasha na Tz?
Usibishe kitu ambacho hujui, uliza.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Haki nammiss huyu mzee na anisamehe kwa mawazo yangu mabaya kwake[emoji22][emoji22]Marehemu Magufuli akiwa hai alikuwa anasema anawapigania wanyonge, mkawa mnamcheka na kumdharau huku mkimkebehi kwa kila namna.
Alipoapishwa huyo Madam wenu mkaanza kushangilia na kumsifia kila siku. Sasa hivi amefikisha miezi 5 tu mmeanza kuisoma namba na bado ana miaka 4 na miezi 7 ya kukaa Ikulu.
Magufuli aliwaambia "mtamkumbuka".
Au nasema uongo ndugu zangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haUnaingia barabarani huna hata 2000 ya Deni la nyumba ,chakula huna unagongwa virungu hata bima huna
USSR
Asee[emoji16][emoji16]Mtu anakaa kwa shemeji atajuwa nini zaidi ya kujamba jamba...