Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Yashanitikea, yaani mtu anakuwish kwa brthday na mnarudiana,ila this time round nmekazaKumbuka na yeyehajafuta namba yangu lakini hatuongeleshani wote, Mara ya Kwanza birthday yangu ndo iliturudisha katika mahusiano, aliniwishi heri ya kuzaliwa nikamjibu na zawadi juu basi tukarudisha mawasiliano, Sasa ninaona karibia siku yangu inafika asije akatumia njia hiyo tujarudiana
Atajua apps zote za "kurudisha namba uliyoifuta kwenye simu".Jidanganye ufute utaifata kwamiguu mapenzi magum
Kahaba hawana mapenziIvi mapenz bado yapo sikuhiz maana ni kama nimesahau tunapendaje.Move on mom
Wee sema ukweli tuu kuwa jamaa anajua kuisasambua mbususu vizuri.M
Mimi ni ke
Fanya sana ngono utasahauNinafanya Mambo yangu na huu Ni mwezi wa tano, najatikbunkuwa na furaha Kama kuhave fun na rafiki zangu, but nikiwa tu mwenyewe mawazo juu yake yanarudi
Mbinu ni kupata mbadala wake chap, jitahidi awe mkali kumzidi huyo mkulungwa....Mm nimeshaamua kuachana, chakufanya nipe tu mbinu ya kumsahau, kutofuta namba Ni kigezo Cha kupendana?
mimi hapa nipo, nakupelekea moto mpaka utamsahau ex wakoBoyfriend namtafutaje mkuu, mm ke, labda useme nimkubali boyfriend
Wapo,Kwan hakuna wanaume wanakutongoza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basi
MhFanya sana ngono utasahau
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Mbinu ni kupata mjadala wake chap, jitahidi awe mkali kumzidi huyo mkulungwa....
Usisahau kumringishia, ubaya ubaya tu.
Unamiliki wapenzi wangapi?Ivi mapenz bado yapo sikuhiz maana ni kama nimesahau tunapendaje.Move on mom
Sidhan, na hauwezi jua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeshakujua[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basi
Kwanini nisiweze...au niibue nyuzi zako ndo utajua kuwa hujui?Sidhan, na hauwezi jua
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji119][emoji119][emoji119]Mbinu ni kupata mjadala wake chap, jitahidi awe mkali kumzidi huyo mkulungwa....
Usisahau kumringishia, ubaya ubaya tu.
Fanya hivyo if possible mkuuKwanini nisiweze...au niibue nyuzi zako ndo utajua kuwa hujui?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app