Nashindwa kuielewa tabia ya huyu dada kwangu mimi!

Kila ishara Ina lake jambo, huwezi jua labda wadangaji, watumia dawa, wake za watu pia, last but not least ushindani wa kike na ana mvuto kwa wateja, na kamisheni kama ipo ushindani wa kuhudumia wateja closing the deal means something.
 
asee huyo muhudumu atakuwa na tatizo...lakini kwa kuwa ni mwanamke jaribu kumdadisi utajua tatizo lake ..kwanini akiombwa namba aseme yeye ni mke wa mtu..anajua wewe shida yako ni kugusa unyevu tu na inawezekana ameshakutamani
 


Uwezo wako na tafsiri zako zina shida, huyo Dada kwa kifupi hana time na wewe hata kidogo, wewe ndo una kiherehere, fanya kazi na mambo yanayokupeleka hapo.
 
mkuu King Kong III busara yako pia hapa naomba

Heshimu maamuzi yake kama amekwambia mke wa tu achana naye ,wewe ukienda ofisini kwao fuata ulichokifata ,ongea nao wote peaceful including huyo mke wa mtu ,usionyeshe interest kwa yeyote kati ya hao wanawake.

Mwanamke akishakwambia hivyo(2 Times) ukinga'ang'ania hapo kifuatacho ITV hautokaa kuamaini.
 
asee huyo muhudumu atakuwa na tatizo...lakini kwa kuwa ni mwanamke jaribu kumdadisi utajua tatizo lake ..kwanini akiombwa namba aseme yeye ni mke wa mtu..anajua wewe shida yako ni kugusa unyevu tu na inawezekana ameshakutamani
Yes, inawezekana ameshanitamani na anajua naomba namba kwaajili ya kugusa unyevu
 
Thanks mkuu King Kong III kwa ushauri wako, kweli hakuna haja ya kung'ang'ania
 
Hii story umeiweka kama yeye ni predator na wewe ni victim. Si uKubali tu kuwa wewe ndiye unamtaka zaidi ndio maana vitendo vyake flani vinakuathiri kiasi cha kumuanzishia thread. Usingemuelewa asingekuhangaisha na kingine kuwa na kiasi, kama ni mke wa mtu achana nae

Usije kuwa sababu ya anguko la ndoa yake maana yawezekana AMEKUTAMANI Ila bado nafsi inamsuta. Msaidie kwa kukaa mbali
 
Busara kubwa sana hii Eyce
 
sio kila kitu kina umuhim mpaka utake kuvielewa.Mengine unapiga kimya unaachana nayo
 
Akijipendekeza acha aliwe tuu..si ni mtu mzima
 
Umalaya umetokea wapi hapo? Kuomba namba ni umalaya KENZY ?
Si ashakuambia ni mke wa mtu two times!!!
Ulivyo hasidi gaidi husikii umeendekeza tamaa mbele mauti nyuma,ile binamu nyama ya hamu naona inakutoa ufahamu shauri yako.. endelea kusema huuoni umalaya hapo utakuja kuonyeshwa ukiwa umeshachelewa!...😂
 
Siku zote nikiona hili jina huwa nadhani ni mdada kumbe ni mwanaume
Utandawazi oyee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…