Nashindwa kuielewa tabia ya huyu dada kwangu mimi!

kwahiyo kukuchangamkia tu ndo ushajua anakutaka? acha umalaya mzee fata unachofuata mengine achana nayo.
 
Unataka msaada gani?
 
Kwa nini asionyeshe intereste kwa yoyote? Kama huyo kamkataa ana weza pick yoyote.
 
Kwa nini asionyeshe intereste kwa yoyote? Kama huyo kamkataa ana weza pick yoyote.

Si kashaeleza kwamba akionyesha interest kwa wengine yule Mke wa mtu anakasirika so ili kusiwe na makasiriko inabidi aplay fair ground na pia ajikite zaidi ya kilichompeleka kama kuna mambo yao nje ya kazi wakayafanyie mtaani na si ofisini wasije wakaharibu kazi.
 
Maisha hayako fair, pili huyo mke wa mtu amkasrikie mumuwe,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…