Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi mnacheka kwa kumdharau "je? hamjui kwamba karma ain't a bit*h?" Aliimba mwana mmoja kuwa mwana haramu hazaliwi ila hutengenezwa na dunia,,, huyu mtu aki ignore and overide " poor unfortunate souls" za watoto wenu, dada zenu, wadogo zenu wa kike zitalia kilio kikuu wakikutana na huyu mwamba when his beast and savage mode is on ,, wengi mnachofanya ni kumwambia dogo " eye for an eye" when it backfire kuna watu watajuta
Kanuni ni ile ile tu, toa kitu weka kitu kingine kikali zaidi[emoji23][emoji23][emoji12]
Umeisharogwa mkuu, shtukaKu move on sio kitu rahisi ndugu. She's perfect in every way ndio maana inakua ngumu kupenda mwingine.
Hujatulia tu na kuangalia vyema utagundua udwanzi wake mwingi, sema huuoni kwa jaili ya upofu ulio nao tu kwa sasa na kutoswa...jipe muda..Ku move on sio kitu rahisi ndugu. She's perfect in every way ndio maana inakua ngumu kupenda mwingine.