Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Kuwa first choice hakumaanishi ndio bora... hata mwenye chongo huona bora ya kengeza.ila ni first choice kwa kila muombaji wa chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa first choice hakumaanishi ndio bora... hata mwenye chongo huona bora ya kengeza.ila ni first choice kwa kila muombaji wa chuo
ila ud ni bestKuwa first choice hakumaanishi ndio bora... hata mwenye chongo huona bora ya kengeza.
Best kwenye nini?ila ud ni best
kiujumla , mkuu kwani kwa hapo bongo chuo kipi ni boraBest kwenye nini?
Nimekuuliza UDSM ni bora kwenye nini? Nimekuuliza wewe ukiyesema ni bora.kiujumla , mkuu kwani kwa hapo bongo chuo kipi ni bora
kufundisha na mazingiraNimekuuliza UDSM ni bora kwenye nini? Nimekuuliza wewe ukiyesema ni bora.
Hutambui unachozungumza.. Hakuna chuo hapa nchini kinaweza compete na Mlimani. Hakuna kabisa.Unless ni teenager bado, kwa vyuo hilo sasa ni jalala.
Ahsanteeeee!!!!Tanzania Chuo ni UDSM na MUHIMBILI
Haipingwiiiiiii!!!!!Chuo ni UDSM, SUA na MUHAS.. Hivyo vingine vya kata.
Kuto kusoma UDSM ndo ulete hasira hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna chuo Tanzania acha kujifariji.... Kabudi alimaliza draft aliposema UDSM ni Jalalani. Afterall sina utoto wa kuanza bishania vyuo after my long civil service in Tanzania and regional level.
Kuwa fair tuu ni kwamba watoto wa sasa hawana kabisa content kichwani kuanzia hapo jalalani hadi huko kata unakokuongelea.
Ndio maana vile vizee vya ujamaa tangu tuliviacha pale hadi leo vinaamini havijatoka kimaisha... vinasifu na kuabudu vikiamini ipo siku failures walioko CCM watawakumbuka hata kwa ujumbe wa bodi.
Narudia tena na Kabudi alishagongelea msumari, UDSM ni jalala la failures wa CCM kuokota makapi yao ya kuwatupia mifupa.
No doubt!Tanzania Chuo ni UDSM na MUHIMBILI
1961 - 2004 tu.ila ud ni best
Hujui Kiswahili?Udsm,SUA,MZUMBE,ARU,All these were generated from Mother UDSM, Hivyo is the second best University in East and central Africa, second after Makerere!
Naiongelea SAUT Mwanza na siyo hii SAUT uliyoiandika Wewe Punguani hapa.SAUT ni sekondari kubwa
Huwa unalazimishwa Kuchangia huko? Sasa kama unajua Jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko kuna Vilaza wengi inakuwaje tena bado huwa Unasoma Mada za huko? Tukisema Wewe ndiyo Kilaza zaidi na Mwendawazimu utakataa?Kwenye habari na hoja mchanganyiko ndio penye vilaza memkwa wa kutupa..huwezi kuta jukwaa kama la tech , jf garage, kuna watu wa dizaini hio