Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwenye level ya bachelor?VETA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye level ya bachelor?VETA.
Miaka ile watoto walikua na akili acha hizi za kukaririshwa siku hizi... imagine unamwita mwanafunzi aliyehitimu Masters chuo chochote including UD hawezi hata elezea Research Methodology ni kitu gani achilia mbali introduction.Kwa hiyo wewe uliyefundisha UDSM umezalisha majalala kama akina Kabudi?
Wizi ni tabia, si kwamba usiposoma basi automatically unakuwa mwizi..!! Bwana Renegade umeanza kuchemkaNdio moja ya sababu ya ufisadi na kutoendelea zaidi ya miaka 50 baada ya Uhuru.
Hadi Doctorate.Kwenye level ya bachelor?
UDSM ninayoiheshimu Mimi ni ile ya 1961 mpaka 2004 tu, ila UDSM ya kuanzia 2005 hadi sasa ( leo ) inazalisha 'Lumpen Proletariats' tupu.Miaka ile watoto walikua na akili acha hizi za kukaririshwa siku hizi... imagine unamwita mwanafunzi aliyehitimu Masters chuo chochote including UD hawezi hata elezea Research Methodology ni kitu gani achilia mbali introduction.
Kiukweli elimu yetu nchini imeshuka sana no wonder mwaka huu hatuna chuo kilichoingia top 20 ya universities hata kwa Afrika tu.
Ukweli utabaki kuwa ukweli... tena hizo takataka nyingine sijui SAUT ndo kabisaa wanagawa GPA kama karanga.Kaharibu kabisa bwana madigrii Lusungo ..!! Yaani hawana tofauti na yule waziri wa Mbeya ambaye anaamini hakuna mtu wa LY 7B anayeza kumshauri yeye mwenye madigriii manne
UDSM ina nafuu ukilinganisha na takataka kama SAUT na uchafu mwingine.UDSM ninayoiheshimu Mimi ni ile ya 1961 mpaka 2004 tu, ila UDSM ya kuanzia 2005 hadi sasa ( leo ) inazalisha 'Lumpen Proletariats' tupu.
Naona umeamua rasmi kutuanikia Ujuha wako Mkuu. Hongera sana na inapendeza pia.Ukweli utabaki kuwa ukweli... tena hizo takataka nyingine sijui SAUT ndo kabisaa wanagawa GPA kama karanga.
Kitanda chako Milembe Mental Hospital ( Hospitali ya Vichaa ) Mkoani Dodoma umemuachia nani akilalie kwa muda kabla hujarejea huko soon?UDSM ina nafuu ukilinganisha na takataka kama SAUT na uchafu mwingine.
SAUT na vyuo wenza ni kokoro la kubeba kila uchafu unaoachwa na akina UDSM...Kitanda chako Milembe Mental Hospital ( Hospitali ya Vichaa ) Mkoani Dodoma umemuachia nani akilalie kwa muda kabla hujarejea huko soon?
Hebu nitolee Upuuzi wako hapa Oky?Itoshe kusema AMINA
Umekumbuka Kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili ulionao Asubuhi hii ya leo?SAUT na vyuo wenza ni kokoro la kubeba kila uchafu unaoachwa na akina UDSM...
Miaka yetu ukikosa Makerere ndo unaenda UD
Diploma in economic diplomacyUmekumbuka Kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili ulionao Asubuhi hii ya leo?
Naamini ungepata nafasi ya kupita pale jalalani hii JF isingetosha.Hebu nitolee Upuuzi wako hapa Oky?
Haya tuanikie pia hapa na Utajiri wako unaitokana na Elimu zako zote hizi tafadhali.Diploma in economic diplomacy
LSK london
BA. Economics
Makerere University
BA. International Relations
University of witwatersrand
MA. Economic
University of Denver
PhD economics
University of Cape town.
Karibu.
Umeshameza Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili mkubwa ulionao au bado?Naamini ungepata nafasi ya kupita pale jalalani hii JF isingetosha.
Sina utajiri ila najivunia elimu niliyoipata kuniondolea ujinga pia naishi maisha ninayoyapenda.Haya tuanikie pia hapa na Utajiri wako unaitokana na Elimu zako zote hizi tafadhali.
Ukimaliza wahi Kanywe Kidonge chako cha Ugonjwa wako mkubwa wa Akili ulionao sawa?