Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ulianzia Diploma, ndo maanaDiploma in economic diplomacy
LSE london
BA. Economics
Makerere University
BA. International Relations
University of witwatersrand
MA. Economics
University of Denver
PhD economics
University of Cape town.
Karibu.
hahaha daaah ! Kwahiyo sie wa 2000's hamna kitu mkuu.1961 - 2004 tu.
Kwani chuo ni nn?Kwakuwa kwa Ujuha wako hujawahi kufika Chuo Kikuu au?
Dollar 13238 hivi, ni hela nyingi sana.Sina utajiri ila najivunia elimu niliyoipata kuniondolea ujinga pia naishi maisha ninayoyapenda.
Huku nilipo now baada ya makato yote napabakiwa na 96,000 DKK hii inanitosha sana kutembea ninapotaka na kula nipendacho.
Kwake ni ndogo.... hawa madogo wanaonaga tunalingana kwakua tupo anonymityDollar 13238 hivi, ni hela nyingi sana.
Kuna wanafunzi vilaza niliwafundisha wakafelu na kukosa nafasi vyuo vingine walienda kusoma SAUT,Kuna mwingine alipata kashifa za usagazi hapo hapo SAUT.SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.
Taarifa: habarileo_tz
Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.
Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.
Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
Kabudi siyo authority ya kufanya reference.Kuna maprof wa maana wanaojitambuaHakuna chuo Tanzania acha kujifariji.... Kabudi alimaliza draft aliposema UDSM ni Jalalani. Afterall sina utoto wa kuanza bishania vyuo after my long civil service in Tanzania and regional level.
Kuwa fair tuu ni kwamba watoto wa sasa hawana kabisa content kichwani kuanzia hapo jalalani hadi huko kata unakokuongelea.
Ndio maana vile vizee vya ujamaa tangu tuliviacha pale hadi leo vinaamini havijatoka kimaisha... vinasifu na kuabudu vikiamini ipo siku failures walioko CCM watawakumbuka hata kwa ujumbe wa bodi.
Narudia tena na Kabudi alishagongelea msumari, UDSM ni jalala la failures wa CCM kuokota makapi yao ya kuwatupia mifupa.
Hivi huwa tunaangalia variables zipi kutathmini uzuri wa mtu kielimu?Naiongelea SAUT Mwanza na siyo hii SAUT uliyoiandika Wewe Punguani hapa.
Kuanza Kwako tu na Diploma ni Jibu tosha kuwa hukuwa na huna Akili period.Unaijua LSE lakini au unaharisha hapa? Hahahaha kwa elimu yako majinuni ya SAUT ukajua nilianza na Diploma teh teh teh muulize Rostam LSE alienda soma nini.
Hahahaha mwanafunzi wa SAUT hajui thamani ya hatq certificate ya LSE haahahahahahq
Siwezi kuipata hiyo Hela kama unayoipata huko kwa Wazungu uliko kwakuwa Mwenzangu umekubali Kunyabeliwa ( Kubenjuliwa ) nao Kibaikolojia.Ungekua na akili angalau hata za jalalani UD ungetambua hiyo hela niliyoandika hapo ni ya wapi teh teh teh nyie mavi mavi tuuu.
Katika CV yangu sina sehemu inayoanza na Diploma kama Juha ( Popoma ) Mmoja Uliyetukuka Wewe.Teh teh teh mtoto wa SAUT huna ulijualo we punguani sana hata LSE huijui? Kwahiyo we ukiona diploma unaona ni kilaza mwenzio wa dividion 3 ya HKL? 😂😂
Jalalani University.Kama UDSM alumni niseme tu kwamba... kwa level ya Tanzania, UDSM ni ndoto ya kila mtanzania kwa sababu kubwa ya historia ya kile chuo. Yaani kuna hali fulani mi mpaka sasa naifeel kusoma kile chuo.
Siwez ongelea sana issue ya ubora wa graduates wa UDSM kwasababu hiyo kitu ipo subjective, na wala hamna guarantee kwamba aliyesoma pale atakuwa na maajabu yeyote kwenye maisha tofauti na vyuo vingine.
Ila ambacho nna uhakika nacho, UDSM always utawakuta vipanga wa taifa. Na hiyo ndo raha ya kusoma pale. Mfano mdogo tu mimi darasa langu nilisoma na mtu Tanzania one form 4 na form 6 just imagine ile feelings ilivokuwa..
Tuacheni ubishi.. Generally UDSM ni bora kwa Tanzania ila sio kwamba kusoma UDSM ndo ticket ya ku win life.. Life is another thing... ila kwa elimu, UDSM is the best... Ile atmosphere ya pale sio ya kitoto.. Yaani hata nikipita ile barabara ya UDSM ka moyo kanafurahi
Rubbish.Nimeona kwenye trending sijui latest mke wangu kufungua naona ni upuuzi kucheki pale juú naona imepostiwa kwenye habari na hoja
Tuliza bichwa hilo
Variables za Upumbavu wako.Hivi huwa tunaangalia variables zipi kutathmini uzuri wa mtu kielimu?
Jinga Kweli hilo Jamaa. Yaani hata Aibu halina linaweka wazi Kwetu kabisa kuwa alianza kusoma Diploma ndiyo akabahatika Kusoma hizo Levels zingine. Ni Uthibitisho tosha kuwa alikuwa na yuko Mpumbavu ( Popoma ) Kiasili.Kumbe ulianzia Diploma, ndo maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh.
Unauliza Nyege Gesti?hahaha daaah ! Kwahiyo sie wa 2000's hamna kitu mkuu.