Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Kuto kusoma UDSM ndo ulete hasira hapa.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Povu lote hili kisa hujasoma UDSM? Poleeeeeeeh.

My first degree nimesoma Makerere

MA. Nimesoma University of Denver

Nimefundisha UDSM from 1993-2001 nafikiri kwa muda huo wasted sperm za babako zilikua hazijakutotoa.
 
My first degree nimesoma Makerere

MA. Nimesoma University of Denver

Nimefundisha UDSM from 1993-2001 nafikiri kwa muda huo wasted sperm za babako zilikua hazijakutotoa.
Mimi kwa mtazamo jinsi nilivyochunguza elimu ya Tz kiujumla pamoja na hao watu tunaowaita wasomi naona tuko nyuma sana kielimu hakuna cha UD wala nini bado tunasafari ndefu mno mpaka kuja kujisifia kuwa tuna wasomi na vyuo bora.
 
Yaan mtu na akili zake timamu amefaulu vizuri kabisa let say div 1 kali au 2 anaweza kuomba SAUT??
Aisee kweli Duniani kila mmoja yuko na maono tofauti.

UDSM
SUA
MZUMBE.

Ukikosa hivyo vyo kwa kozi za kawaida basi bado hujapata elimu.

Vingine ni
MUHAS kwenye afya
ARDHI mambo ya Ardhi na michoro
Mkuu umemaliza.
Tuliopataga one zetu hatuwezi kuchagua chuo Cha saut mara zote ni hivyo vyuo ulivyotaja hapo juu ndo Huwa machaguo ya kwanza
 
Hakuna chuo Tanzania acha kujifariji.... Kabudi alimaliza draft aliposema UDSM ni Jalalani. Afterall sina utoto wa kuanza bishania vyuo after my long civil service in Tanzania and regional level.

Kuwa fair tuu ni kwamba watoto wa sasa hawana kabisa content kichwani kuanzia hapo jalalani hadi huko kata unakokuongelea.

Ndio maana vile vizee vya ujamaa tangu tuliviacha pale hadi leo vinaamini havijatoka kimaisha... vinasifu na kuabudu vikiamini ipo siku failures walioko CCM watawakumbuka hata kwa ujumbe wa bodi.

Narudia tena na Kabudi alishagongelea msumari, UDSM ni jalala la failures wa CCM kuokota makapi yao ya kuwatupia mifupa.
Yaani Kabudi mmoja awe sample ya wote waliomaliza UDSM toka kinaanza hadi leo..!! Tena kwa maneno ya kujikomba kwa Simba wa Yuda..!! You are not serious
 
My first degree nimesoma Makerere

MA. Nimesoma University of Denver

Nimefundisha UDSM from 1993-2001 nafikiri kwa muda huo wasted sperm za babako zilikua hazijakutotoa.
Kwa hiyo wewe uliyefundisha UDSM umezalisha majalala kama akina Kabudi?
 
Mkuu umemaliza.
Tuliopataga one zetu hatuwezi kuchagua chuo Cha saut mara zote ni hivyo vyuo ulivyotaja hapo juu ndo Huwa machaguo ya kwanza
Kwa mfano umepata Division I halafu unapenda Degree ya Mass Communication ambayo with no doubt kwa Tanzania nzima Chuo Kikuu Bora kwa Kozi hiyo ni SAUT Mwanza utaacha Kuomba au kwenda Kusoma huko?

Nikiwa nawadharau Kutwa hapa JamiiForums kuwa hamna Akili na ni Wapumbavu na huyo Mwenzako msiwe mnakataa au mnakasirika kwani kwa 100% huwa ninakuwa sahihi kabisa.

Cc: CARDLESS
 
Hakuna chuo Tanzania acha kujifariji.... Kabudi alimaliza draft aliposema UDSM ni Jalalani. Afterall sina utoto wa kuanza bishania vyuo after my long civil service in Tanzania and regional level.

Kuwa fair tuu ni kwamba watoto wa sasa hawana kabisa content kichwani kuanzia hapo jalalani hadi huko kata unakokuongelea.

Ndio maana vile vizee vya ujamaa tangu tuliviacha pale hadi leo vinaamini havijatoka kimaisha... vinasifu na kuabudu vikiamini ipo siku failures walioko CCM watawakumbuka hata kwa ujumbe wa bodi.

Narudia tena na Kabudi alishagongelea msumari, UDSM ni jalala la failures wa CCM kuokota makapi yao ya kuwatupia mifupa.
UDSM ndo mpango mzima.
 
Kwa mfano umepata Division I halafu unapenda Degree ya Mass Communication ambayo with no doubt kwa Tanzania nzima Chuo Kikuu Bora kwa Kozi hiyo ni SAUT Mwanza utaacha Kuomba au kwenda Kusoma huko?

Nikiwa nawadharau Kutwa hapa JamiiForums kuwa hamna Akili na ni Wapumbavu na huyo Mwenzako msiwe mnakataa au mnakasirika kwani kwa 100% huwa ninakuwa sahihi kabisa.

Cc: CARDLESS
Na chuo kinachotoa Engineering course bora hapa TZ ni kipi?
 
Kwa hiyo wewe uliyefundisha UDSM umezalisha majalala kama akina Kabudi?
Tena angekuwa na Akili wala asingejianika na Kujimwambafai hivyo kwani ndiyo ameharibu na Kujichoresha zaidi kwa tunaomzidi IQ hata kama hatuna hiyo Masters na Doctorate kama yake.
 
Haya mavyuo yenu kuuutwa yanashindana kuachia connection duh, hatari sana kimsingi tumepigwa sana na kitu kizito kichwani watanzania.
 
Tena angekuwa na Akili wala asingejianika na Kujimwambafai hivyo kwani ndiyo ameharibu na Kujichoresha zaidi kwa tunaomzidi IQ hata kama hatuna hiyo Masters na Doctorate yake.
Kaharibu kabisa bwana madigrii Lusungo ..!! Yaani hawana tofauti na yule waziri wa Mbeya ambaye anaamini hakuna mtu wa LY 7B anayeza kumshauri yeye mwenye madigriii manne
 
Back
Top Bottom