GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #161
Naona leo unazitumia ID's zako zote kuweza Kukabiliana na Mimi Jeshi la Mtu Mmoja tu GENTAMYCINE. Pole na Poleni mno tu ila nitaendelea Kuwafundisheni jinsi ya Kufikiri kila niwapo hapa Jamiiforums sawa?hiyo Diploma ya jamaa ya LSE ni zaidi hata ya PHD ya hapo SAUT au UDSM labda kama LSE huijui.
tuache ushabiki, Elimu ya Tanzania ni changamoto sana na haizalishi watu kweli wenye uwezo ambao unaweza kusema huyu ana degree au Masters.
Ushauri: Kama una degree za kibongobongo jitahidi sana kutafuta hela ukasome hata proffesional diploma Ulaya au Masters degree Ulaya kwenye course zinazoeleweka.
Elimu yetu ni tia maji tia maji sana.
Hongera kwa kufanana nao Kiupumbavu.Wanasemaga et wanaosoma SAUT NI WALE WALIOKOSA UDSM AU MZUMBE JE NI KWELI?.. na wana uchungu/chuki sana na vyuo tajwa hapo juu
GENTAMYCINE Jeshi la Mtu Mmoja JF.We boya tu huna lolote una kazi ya kujisifia tu ukishindwa hoja unatukana mara ooh eti umebadili id nakushambulia hakuna chochote
Watu wanakuona mpuuzi tu we hujui tu fanya kuchunguza
Damn Fool.Sijasoma UDSM kwa sababu ya kukosa sifa ila ni the best University. Mtu kama huyu popoma ni kwamba kama ilivyokuwa kwa wengi wetu alifeli form six. Popoma kama ulifaulu sana ni div three. Huwezi pata One ukaacha UDSM ukaenda SAUT. Hiyo SAUT ni miongoni mwa vyuo hapa nchini vinavyopokea waliofeli. Nasomaga madini ya Malisa GJ ila nikikumbuka alisoma SAUT huwa stimu inakata vibaya. Kwa upande wangu kuliko nisome SAUT bora nijiunge tu VETA.
Ahsante[emoji112]Kwa anayekubandua.
Naona umepasua jiwe😂Kwenye habari na hoja mchanganyiko ndio penye vilaza memkwa wa kutupa..huwezi kuta jukwaa kama la tech , jf garage, kuna watu wa dizaini hio
Diploma ina shida gani?Katika CV yangu sina sehemu inayoanza na Diploma kama Juha ( Popoma ) Mmoja Uliyetukuka Wewe.
Hujaelewa wapi??Hujui Kiswahili?
Acha kunipotezea muda Mimi sijaanza na Diploma Kitaaluma kama Majuha ( Morons ) nyie sawa?Diploma ina shida gani?
Magufuli mliyekuwa mnamsifia ana akili naye kasoma diploma kabla hajaenda degree.
Nyerere naye pia alipitia mfumo huo huo.
Mama Samia naye alianza cheti, diploma na kuendelea
Sasa hao ni mifano michache ya viongozi wenye sifa walioanzia diploma na Bado walikuwa excellent kwenye elimu mpaka Uongozi.
Tambua mifumo ya elimu ilivyo na yote imedesigniwa Kutoa best of the best.
Wewe popoma uliyekalilishwa mfumo mmoja tu, Tena wengi wapitao mfumo huo kwa spoon feeding, mmelisaidia nini Taifa?
Kwenye Kiingereza ulichokitumia awali.Hujaelewa wapi??
That's why you're this damn Nut here!Mimi binafsi kwenye kuchagua vyuo nilijaza vitatu tu badala ya vitano,nilianza kama ifuatavyo:
1.udsm
2Mzumbe
3.Ardhi
Wamewahi kugundua chanjo gani? Au wame jenga daraja lipi hapa Tz? Au Uchumi ipi wameleta Tz toka 1960?Tanzania Chuo ni UDSM na MUHIMBILI
Hapa nitakujibu, Wasomi wa UDSM-COET wamejenga Madaraja yasiyohesabika Nchini!Au wame jenga daraja lipi hapa Tz?
Wamewahi kugundua chanjo gani? Au wame jenga daraja lipi hapa Tz? Au Uchumi ipi wameleta Tz toka 1960?Udsm,SUA,MZUMBE,ARU,All these were generated from Mother UDSM, Hivyo is the second best University in East and central Africa, second after Makerere!
Wamewahi kugundua chanjo gani? Au wame jenga daraja lipi hapa Tz? Au Uchumi ipi wameleta Tz toka 1960?kiujumla , mkuu kwani kwa hapo bongo chuo kipi ni bora
Wamewahi kugundua chanjo gani? Au wame jenga daraja lipi hapa Tz? Au Uchumi ipi wameleta Tz toka 1960?Hata kesho UDSM ndio Chuo Bora Hapa Nchini.
Mtu mwenyewe umesoma uhandishi wa habari sijui mass communication masomo ya vilaza ndio uwe na akili?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Acha kunipotezea muda Mimi sijaanza na Diploma Kitaaluma kama Majuha ( Morons ) nyie sawa?