Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Yaani mtu apate div 1 au 2 aende SAUT
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


MACHAGUO HAPO NI
UDISM
MUHAS
SUA
ARU


sasa jiulize kama chuo chako ni bora kama unavyokisifia mbona kwenye machagua ya vijana wakimaliza since begining up to now

Hakipo chuo chako?
Katahiriwe kwanza Akili ambazo huna.
 
Kwake ni ndogo.... hawa madogo wanaonaga tunalingana kwakua tupo anonymity
Wenye Hela huwa wanajitapa Kipumbavu hivi kama Wewe? Yaani Elimu yako ya awali iwe hiyo ya kuanzia na Diploma ndiyo hao Wazungu wakupe hizo Pesa? Hivi hujishtukii tu tunavyokuchora na Kukusanifu hapa?

Kama ni kwa Kunyabeliwa ( Kubenjuliwa ) huko na Wazungu hasa Kibaikolojia ndiyo unaipata hiyo Hela hapo nitakubaliana nawe na Pole pia kwa hiyo Shughuli yao.
 
Kuna wanafunzi vilaza niliwafundisha wakafelu na kukosa nafasi vyuo vingine walienda kusoma SAUT,Kuna mwingine alipata kashifa za usagazi hapo hapo SAUT.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mpumbavu ( Fool ) anaweza kuwa Mwalimu na Kufundisha? Acheni tu niendelee Kuwadharau hapa JamiiForums sawa?
 
SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.

Taarifa: habarileo_tz

Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.

Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.

Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
Of course unaenda SAUT kama umekosa kabisa chuo,yaani huna choice.Mnajitutumua tu lakini mnajitambua nyie wenyewe tu.
 
Wewe akili ndio huna jibu swali acha kutukana
Mtu unajiita akili kubwa huwezi kujibu hoja hivi pathetic

inaonyesha jinsi gani chuo

Wenye Hela huwa wanajitapa Kipumbavu hivi kama Wewe? Yaani Elimu yako ya awali iwe hiyo ya kuanzia na Diploma ndiyo hao Wazungu wakupe hizo Pesa? Hivi hujishtukii tu tunavyokuchora na Kukusanifu hapa?

Kama ni kwa Kunyabeliwa ( Kubenjuliwa ) huko na Wazungu hasa Kibaikolojia ndiyo unaipata hiyo Hela hapo nitakubaliana nawe na Pole pia kwa hiyo Shughuli yao.
Hahahahahaha unajua wenye akili wakikusoma unaonekana taahira mtoto? Kwahiyo PhD holder akianza na diploma atalipwa mshahara wa nini? Hivi unaijua Ulaya and how people get paid? Teh teh teh
 
Of course unaenda SAUT kama umekosa kabisa chuo,yaani huna choice.Mnajitutumua tu lakini mnajitambua nyie wenyewe tu.
Hapo ana ka division three kake ka HKL kaenda degree ya education huko kata anajiona ana akili 😂😂😂🙌
 
Hahahahaha ungeijua hiyo Diploma in economic diplomacy usingeleta huu ujinga wako hapa.
Utasema yote ila kitendo cha Kutuambia kuwa umeanza na Diploma tayari kumetuthibitishia kuwa you're very weak Mentally hivyo acha Kujitutumua.
 
Hahahahaha ungeijua hiyo Diploma in economic diplomacy usingeleta huu ujinga wako hapa.
Utajitutumua sana kwa Kujitetea na kuitetea hiyo Diploma yako ila ukweli utabaki pale pale kuwa Wewe ni Mpumbavu Kiasili na kama ungekuwa na Akili ungeanza na Degree moja kwa moja kwa Kozi hii.

Leo nina Wewe kwenye hili la Diploma hadi usalimu Amri Mpuuzi Mmoja Wewe.
 
Hahahahahaha unajua wenye akili wakikusoma unaonekana taahira mtoto? Kwahiyo PhD holder akianza na diploma atalipwa mshahara wa nini? Hivi unaijua Ulaya and how people get paid? Teh teh teh
Najua kuwa unaandika hivi kwa Kujitutumua ila Moyoni una Aibu sana baada ya kutuambia kuwa kumbe katika Elimu yako ulianza Kwanza na Diploma. Yaani nimekudharau kuliko Maelezo na hapa Nakusanifu tu huku Nikikupanikisha pia kwa Makusudi.

Utasema yote ila wenye Akili za Kitaaluma huwa hawaanzii na Diploma na ukiona Mtu ameanza na Diploma hasa Kielimu jua alifeli au hana Msingi mzuri wa Kimasomo lakini pia kuna uwezekano hata uwezo wake wa Akili ni Mdogo ( wa Kusuasua ) kama ulionao Wewe.
 
Hapo ana ka division three kake ka HKL kaenda degree ya education huko kata anajiona ana akili 😂😂😂🙌
Ndiyo nina Akili kwakuwa sijaanza na Diploma Kitaaluma kama Mpumbavu Wewe.
 
Hahahahahaha unajua wenye akili wakikusoma unaonekana taahira mtoto? Kwahiyo PhD holder akianza na diploma atalipwa mshahara wa nini? Hivi unaijua Ulaya and how people get paid? Teh teh teh
Huyu jamaa hana hoja za msingi zaidi ya kutukana
 
Gesti ndo nini we mtoto wa haramu?
Kwani huko Ulaya ulipo Wazungu wakiwa wanaenda 'Kukubenjua' hasa Kibaikolojia ili wakupe huo Mshahara wako unaojimwambafai nao hapa huwa wanakupeleka wapi? au 'hukubenjulia' katika Magari yao na Stoo?
 
Utasema yote ila kitendo cha Kutuambia kuwa umeanza na Diploma tayari kumetuthibitishia kuwa you're very weak Mentally hivyo acha Kujitutumua.
Kuna kijana alipata Daraja la Pili kidato cha nne akaenda kusoma certificate ya miaka mitatu. Kwa Sasa ana degree ya juu kabisa na anafundisha CHUO kikuu mahali alipoanzia kazi kama "tutorial Assistant"( nimekosa kiswahili chake).

Unaangusha level Mkuu.
 
Back
Top Bottom