Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Nashukuru Chuo Kikuu changu bora Tanzania nzima cha 'SAUT Mwanza' ndicho hakina 'Upuuzi' huu

Sikiliza wewe graduate wa SAUT unaeyeficha cheti chako kila undapo interview watu wasijue umesoma huko kwa mapopoma (ni aibu kujitambulisha umesoma SAUT mbele ya watu)

Graduates wa UDSM, Mzumbe, SUA ndo hua wanakaa meza moja kunegotiate na kuwapa kazi hao wachina unaowasema.

Nyie mapopoma wa SAUT hua hamsogei popote watu wazima wenye IQ kubwa wanapojadili mambo ya nchi
Cc GENTAMYCINE
Mm nina Elimu za nchi nyingi siyo huo Ujinga wenu wa UDSM. Mhimbili na Ardhi ni Products za UDSM. Hivi hiyo hospitali ya Mhimbili ramani yake ili sanifiwa na nani kama siyo wajinga wa UDSM? Taja tangible products ya UDSM inayo weza kuwa market hapa Tz. Hivi tafiti ya kuwa na Panya (SUA) ni tafiti ya kujisifia karne ya 21 a Public Institution? Una tofauti gani na KIU?
UDSM ina jengewa hostels, ina lipiwa mishahara na serikali ina someshewa watumishi, tafiti ziko funded afu eti ina shindana na SAUT kutoa course za Certificate in Business! Real? Endelezeni ujinga akati Bombadier zote zimeharibika hakuna chuo cha kuzitengeneza.
 
Mm nina Elimu za nchi nyingi siyo huo Ujinga wenu wa UDSM. Mhimbili na Ardhi ni Products za UDSM. Hivi hiyo hospitali ya Mhimbili ramani yake ili sanifiwa na nani kama siyo wajinga wa UDSM? Taja tangible products ya UDSM inayo weza kuwa market hapa Tz. Hivi tafiti ya kuwa na Panya (SUA) ni tafiti ya kujisifia karne ya 21 a Public Institution? Una tofauti gani na KIU?
UDSM ina jengewa hostels, ina lipiwa mishahara na serikali ina someshewa watumishi, tafiti ziko funded afu eti ina shindana na SAUT kutoa course za Certificate in Business! Real? Endelezeni ujinga akati Bombadier zote zimeharibika hakuna chuo cha kuzitengeneza.
Mmh, usomi wako unatia mashaka. Hivi universities hazitowi certificates, diplomas, etc? Hiyo uliona wapi? University ni taasisi inayojitosheleza kutoa levels zote za taaluma, na sio degree tu; kuanzia certificate, diploma, bachelor, masters, PhD, and so on.
 
Mmh, usomi wako unatia mashaka. Hivi universities hazitowi certificates, diplomas, etc? Hiyo uliona wapi? University ni taasisi inayojitosheleza kutoa levels zote za taaluma, na sio degree tu; kuanzia certificate, diploma, bachelor, masters, PhD, and so on.
Kuna vyuo vya kati. Ndio kazi yao kutoa Certificates na Diploma.
 
SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.

Taarifa: habarileo_tz

Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.

Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.

Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
aliyekudanganya kuwa SAUT ni chuo kikuu bora ni nani? hata namba tatu bora tz hakipo. kuweni na heshima kwa UDSM, MZUMBE NA SUA kabla hamjaanza kuota ndoto za mchana.
 
SERIKALI imevitilia shaka baadhi ya vyuo vikuu ikisema vinatumia vibaya muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (GPA) ili vipate wanafunzi wengi.
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda alisema hayo kwenye sherehe za siku ya Chuo Kikuu cha Iringa (IUCo) zilizohusisha wadau wa sekta ya elimu.
-
“Tukicheza na ubora wa elimu tutaua nchi yetu, na hapa nchini vipo baadhi ya vyuo vya binafsi ambavyo ili viwe na wanafunzi wengi vinatoa GPA kubwa bila kujali ubora wa elimu wanayotoa na uwezo wa wahitimu wao,” alisema Profesa Mkenda.
-
Aliitaka Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iendelee kudhibiti ubora wa elimu katika ngazi ya vyuo vikuu ili kuhakikisha hakuna shinikizo la utoaji wa shahada zisizokidhi vigezo kwenye kazi za kitaaluma. “Tanzania sio kapu la kutoa digrii feki, hivyo ni jukumu letu sote kusimamia ubora wa elimu bila woga au presha ya watu wenye fedha au wanasiasa,” alisema Profesa Mkenda.

Taarifa: habarileo_tz

Wewe ukiona hadi GENTAMYCINE nimesoma SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) na nikasifia na nakipenda hivi jua ni Chuo Kikuu cha uhakika na sibahatishi.

Ukiwa Juha ( Fool) huwezi kusoma SAUT Mwanza na nashukuru 95% ya Product ya SAUT Mwanza inafanya vyema katika both Public and Private Sector.

Haya wale Vijana na Mabinti mnaotegemea Kujiunga na Vyuo Vikuu mwaka mpya huu wa Masomo 2022 / 2023 kama unataka kuwa 'Brainiac' kama GENTAMYCINE fanya haraka pakuwa Fomu yao Mtandaoni ili Ukikubaliwa kama umekidhi Vigezo ukasome hapo SAUT Mwanza na kamwe hutojutia kupata Taaluma yao kwani hakuna Elimu ya Mkatoliki inazalisha Majuha ( Fools ) duniani kote na ndiyo maana Watu wote makini wamepitia huko.
Maelezo ya juu yapo vizuri
Kwani nilishuudia walimu waliokuwa wanakamata "nyoka" karatasi za kuibia mtihani yaani nondo walikuwa wanapewa laki moja 100,000
Ukweli usingeweza kuibia "chabo" Mwaka 2013 2017.

"Lakini haukuwepo Ukatoliki wala ubudha"
Tulifungamana wote kina Juma,Abbdala, James, Tito Aisha, na joyce katika kupata madini ya kitaaluma.
 
Kuna vyuo vya kati. Ndio kazi yao kutoa Certificates na Diploma.
Kuwa na vyuo vya kati hakumaanishi universities visitoe level hiyo ya elimu. Tofauti kati ya universities na vyuo vya kati ni scope, vyuo vya kati vitaishia kutoa bachelors lakini universities zinatoa hadi PhDs, post doctoral, nk. Tukitumia lugha ya hesabu, tunaweza kusema university ni universal set, na vyuo vya kati ni subset.
 
Genta.....nilijuwa Ni mtu wa maana Sana [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ana degree ya SAUT ( hii inaleta picha kuwa alifeli form 6)

Kuwa na heshima na vyuo hivi

UDSM
SUA
MZUMBE
ARDHI
 
Hakuna chuo Tanzania acha kujifariji.... Kabudi alimaliza draft aliposema UDSM ni Jalalani. Afterall sina utoto wa kuanza bishania vyuo after my long civil service in Tanzania and regional level.

Kuwa fair tuu ni kwamba watoto wa sasa hawana kabisa content kichwani kuanzia hapo jalalani hadi huko kata unakokuongelea.

Ndio maana vile vizee vya ujamaa tangu tuliviacha pale hadi leo vinaamini havijatoka kimaisha... vinasifu na kuabudu vikiamini ipo siku failures walioko CCM watawakumbuka hata kwa ujumbe wa bodi.

Narudia tena na Kabudi alishagongelea msumari, UDSM ni jalala la failures wa CCM kuokota makapi yao ya kuwatupia mifupa.
Shahada za heshima zinatolewa kwa kuangalia uzito wa anayepewa na pia chama cha kisiasa. Huwezi kukuta kiongozi wa upinzani anapewa shahada ya heshima. Ina maana vyuo vikuu nchini havioni au kuthamini harakati za upinzani kwenye kupigania demokrasia nchini?

Vyuo vimekuwa kama shule za kata tu. Mzee Ulimwengu alikuwa sahihi alipotoa kauli ya kulinganisha UDSM na sekondari. Ni dalili nyingine ya kushuka kiwango cha elimu nchini.
 

Attachments

  • 5548538-9d92dbdb183f5a5b9d596202d57891ef (1).mp4
    7.7 MB
Genta.....nilijuwa Ni mtu wa maana Sana [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ana degree ya SAUT ( hii inaleta picha kuwa alifeli form 6)

Kuwa na heshima na vyuo hivi

UDSM
SUA
MZUMBE
ARDHI
Nani kakuambia udsm sahv kina hadhi

Ova
 
Back
Top Bottom