Nashukuru Mchumba wangu Amenisamehe baada ya Kumfumania

Si mara zote watu huachana kwasababu upendo umeisha 🥴
 
Mkuu nna mashaka kwamba kwa mishe zako kwa siku utakuwa unalipwa aftatu[emoji23][emoji23] maana sio kwa ubwege huo.
 
Huyu mwandishi wa hii habari ametuongopea hahahaaaa......... chai chai tu
 
Unatumia aina gani ya kilevi, bangi, ugoro, pombe au ngada? Akili yako mbofu mbofu. Ufumanie wewe halafu uangukie wewe?
 
Yaani we fala sana, unafumania unapigwa mkwara alafu unaomba msamaha? Nani kaolewa hapo? Yaani utachapiwa mpaka kuzalishiwa, pambafu sana unaleta mada ya kujidhalilisha
 
Yaani nyie ndo wale wanaume akina Bushoke, rubbish square.
 
wewe sio komeo la chuma, bali ni plastiki tena ile laini ikipigwa na jua kidogo linayeyuka. Nenda kajifunze kitu kinaitwa emotional manipulation na jinsi wanawake wanavyoitumia kuwacontrol wanaume kama zezeta. sorry to say so.
 
Hizi story za kubalehe na kufikirika(imagination) ziondolewe hapa.
 
Laa wewe kajinge haraka na LGBTQ wahi nafasi
 
Katika kila wa Tanzania kumi, watatu wanatatizo la afya ya Kili!!
Sio maneno yangu ni watafiti!!
Nasema uongo ndugu zangu?
 
Mnamdiss Mwamba skilizeni hii Ngoma ya I-octane inaitwa we found love( rising sun riddim),hasa verse ya pili inaelezea scenario kama ya jamaa yetu huyu!

Upendo ni Kitu cha ajabu sana! Biblia inasema Upendo unanguvu kuliko maji mengi.
Yeeeaaah hasa pale Mathayo 5:32
 
Kweli wanaume wameisha, kwahiyo unataka wote muolewe na huyu kaka uliemfumania.
 
Chizi kalogwa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…