Nashukuru Mungu mwaka 2023 nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Masaki japo ni chumba kimoja

Masaki ilikuwa zamani.......
 
Ni sawa lakini haipendezi kuishi kisela hivyo hata kama ni kutimiza ndoto Kuna uzee unakaribia..
Uzee unakaribia ni kweli ila sina mpango wa kuoa hivi karibuni,na muda mwingi siko dar
 
Ilikuwa masaki kweli ila kwa mipango miji mibovu ya jiji letu,bado ni the best place iliyo karibu na city centre
Kwa miaka hii...city center haina mashiko...huduma zapatikana popote....serikali Dodomya
 
Hapo segerea karibu na car wash kuna single maza yangu moja toto la kikurya na kihaya mtt wa mzee mniko uyo single maza ni super delicious...Black,tall,cute.

Niamini mimi aiseeee.
 
Hapo segerea karibu na car wash kuna single maza yangu moja toto la kikurya na kihaya mtt wa mzee mniko uyo single maza ni super delicious...Black,tall,cute.

Niamini mimi aiseeee.
Ngoja wamsake wahuni
 
Hongera
 
Dah, kumbe zile nyumba alizinunua yule Mama? Alikuwa anakuja sana home.

Sijafika huko kitambo sana.
Alizinunua kitambo wanaishi staff wa St Marrys Tabata,kiukweli Tabata kumenoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…