Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Heri yako wewemimi nlikutwa na mafuta ya bunduki nimeweka sehemu ya jack...mziki ulikua si wakitoto mwisho wa siku yakaisha nikamkana kabla jogooo hajawika
 
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Unapoteza akili nguvu na uhai wako kujitetea ktk haki yako...
 

Na ulimpa NDIZI siku hiyo?
 
we usijione mwamba ukasema eti imeisha hiyo....we jichanganye kwa vyoyote vile siku ingine kama hilo suala la kondomu halitaibuliwa uniite mimi nyoko!...hao wanawake ni viumbe vina gubu hatari mkuu...gubu laweza kaa moyoni miaka elfu na moja lakini anakuchekea
 
Na siku ukipata magonjwa umfiche mpaka utakapokufu
 
Ushawahi kukutwa na pakti ya comdom ambapo mbili zimetumika imebaki moja ?
Unaijibu vipi kesi hii?
Duh lilinikuta hili aisee, aisee nilijaribu mpaka kuita fire kuzima moto huo ila fire walifika na maji hawakuwa nao...ilikua mtiti siku hiyo, kifupi niliishia kulala uwani kwenye gari....nyumba ilifungwa milango yote aloijenga asiingie....hapo ndio utajua kuna mwenye jengo na mwenye nyumba!!....wanawake nyoso ...mtu mzima ikibidi niwe mdogo aisee ....ila ilisaidia...
 
Apia....🀨
 
Na vyake huliwa zaidii!!![emoji38][emoji38][emoji38]
 

Huyu ni Ushimen OGπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Salam kwa wifi
 
Huyu ni Ushimen OGπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Salam kwa wifi
Tupo njema kabisa aunt, wapwa zako pia hawajambo na Mungu amekua muaminifu sana hapa nyumbani kwetu..☺
 
Tupo njema kabisa aunt, wapwa zako pia hawajambo na Mungu amekua muaminifu sana hapa nyumbani kwetu..☺

Hahaha watu kama wewe ni wale mmebarikiwa baraka za agano mlilo nalo na Mungu

Hata kwenye mapungufu Mungu anakumbuka agano na kuwafanyia wepesi

Vijana wakiuiga bila kujua hilo wataumiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahaha watu kama wewe ni wale mmebarikiwa baraka za agano mlilo nalo na Mungu

Hata kwenye mapungufu Mungu anakumbuka agano na kuwafanyia wepesi

Vijana wakiuiga bila kujua hilo wataumiaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Amen....πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…