Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Pia ni rahisi sana kusamehewa kama unamiliki gari.

Ukiwa huna gari hata uwe na pointi 100 we ni msaliti tu na haufai kupewa nafasi ya pili.

Kama una maisha ya kumfanya mkeo awe na option ya kuamua kutumia aina gani ya gari itayomfaa kwa mtoko wa siku hiyo, basi hauhitaji kuwa makini kwenye vitu ambavyo mkeo akiona atajua umem cheat.

Ukisahau ndomu kwenye dashboard ya gari ni simple sana wife kukuelewa kuwa ni bahati mbaya kuliko ukisahau ndom kwenye kiti cha baiskeli.
Pumba
 
Ndio maana hata mimi nawaza kuongeza wake wa3 nikishatoboa mambo yakikaa vizuri.

uksishatoboa mke hawezi kuumia na uke wenza wakati umemuwekea nyumba kali na gari yenye kiyoyozi.

Shida unapiga uke wenza alafu mke kula anapapasia gengeni,ataua kwa hasira [emoji1][emoji1]
Ni kweli atakuua kwa hasira kutokana na ujinga na u simp wako... changamka acha ulofa
 
Wengine ukitufumania tunakufukuza. Huo muda wa revenge utaufanya ukiwa nje ya mchezo. Yaani ukiwa umepewa Kadi nyekundu.

Hapo ndio utajua kuwa sumu haionjwi na kuna Wanaume ni zaidi ya mashetani.
Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife 🤣🤣 Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.

Ushauri, heshimu mkeo.
 
Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife 🤣🤣 Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.

Ushauri, heshimu mkeo.

Sisi ndio tunaowafinya, hiyo sio Siri.
 
Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife [emoji1787][emoji1787] Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.

Ushauri, heshimu mkeo.
Na wagane tunaowaona vipi? Una la kusema? Binafsi nawaona wagane wengi mno hasa kwa hapa Dar...! Ni kwamba wake zao wanafinywa kimya kimya na kuaga mashindano au?
 
Vijana chukueni hii ..

1:Mwanamke haombwi msamaha kamwe

2: Mwanaume hupaswi kujitetea mbele ya mwanamke

3: Mwanamke anapewa maelekezo na anapaswa atii na sii vinginevyo
 
Sisi ndio tunaowafinya, hiyo sio Siri.
Kwa kauli yake, amethibitisha kuwa kitu kikubwa zaidi anachojivunia mke akiudhiwa na mumewe pakubwa, ni kumuua aidha kwa sumu na kimya kimya, akitumia nafasi ya kuwa msiri wa mumewe kwenye kumpikia, kumfulia na kadhalika.

Mentality yake hii imelenga kuwafanya wanaume wajue kuwa hawapo salama kwa wake zao, hivyo WANYENYEKEE. Hii ni aina nyingine ya UTUMWA.

Kwamba mwanaume awe mtumwa ndani ya nyumba yake, kwa mkewe.

"Nincompoopness"
 
Kwa kauli yake, amethibitisha kuwa kitu kikubwa zaidi anachojivunia mke akiudhiwa na mumewe pakubwa, ni kumuua aidha kwa sumu na kimya kimya, akitumia nafasi ya kuwa msiri wa mumewe kwenye kumpikia, kumfulia na kadhalika.

Mentality yake hii imelenga kuwafanya wanaume wajue kuwa hawapo salama kwa wake zao, hivyo WANYENYEKEE. Hii ni aina nyingine ya UTUMWA.

Kwamba mwanaume awe mtumwa ndani ya nyumba yake, kwa mkewe.

"Nincompoopness"
Umeelewa vibaya, Mimi nawakumbusha kuishi na wake zenu Kwa akili, upendo na heshima....msiwadharau wake zenu, hakuna mwanamke mpumbavu....basi tu hufunika kombe mwanaharamu apite, watoto wakue.....Ila usimdharau mwanamke.
 
Msingekuwa mnalialia na DNA....wanawake maneno kidogo, vitendo vingi🤣🤣🤣

Nenda Huko ustawi wa jamii uone Kati ya wanaume na Wanawake Nani wanalialia, au nenda Mahakamani utajua Nani wanalialia.

Kaulize Watoto watakuambia Kati ya Baba na Mama Nani analialia.

Unazungumzia mtandaoni ambapo Wanawake wengi hapa nchini TANZANIA Hawana smartphone.

Kuhusu DNA huoni kama ni kwamba inawadhalilisha Wanawake na kutoa tafsiri Mbaya kuwa siku hizi Wanawake ni Malaya, hivi kama Wanawake wasingekuwa Malaya kungekuwa na haja ya DNA?
Yafikirie mambo Kwa mapana yake.

Kijana hajamkuta Mkewe Bikra unategemea asipime DNA?
Labda aone mtoto wamefanana Kabisa. Lakini hata Mimi nawashauri Vijana, kama hawakukuta Bikra Kwa MKE ni Haki Yao kuchukua DNA Kwa Watoto hata kama hamshuku Mkewe.
 
Na wagane tunaowaona vipi? Una la kusema? Binafsi nawaona wagane wengi mno hasa kwa hapa Dar...! Ni kwamba wake zao wanafinywa kimya kimya na kuaga mashindano au?
Karudie utafiti🤣🤣🤣
Wanawake tunajua sana wanaume hampendi kelele, hayo makosa ya kukutwa na condom yanawekwa kwenye file....siku makelele yakianza hutaamini....utulivu unaondoka...ndiyo mnaanza kupata sukari na presha, muda huo umegombanishwa na watoto.
Mind you hakuna mchepuko wa kuziba pengo la familia, na miaka yako hamsini utawaza uzae mtoto mchanga tena?
Hauwekewi sumu, utauliwa na dhamiri yako mwenyewe.
 
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.

Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.

Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊

Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.

Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).

Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.

Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜

Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂

Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂

Haya vijana chukueni point hapo...😊
Siwezi kujitetea hivyo mwanamke ni mtoto sijitesi hataki asepe
 
Back
Top Bottom