ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Uzuri na nyie mtaoa tu mkuu😀😀Pesa ni ngumu kaka wake za watu hawana gharama tunaponea humo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri na nyie mtaoa tu mkuu😀😀Pesa ni ngumu kaka wake za watu hawana gharama tunaponea humo
Mimi nishajiandaa kisaikolojia kuwa lazima nigongewe 😅Uzuri na nyie mtaoa tu mkuu😀😀
ongezea kwa wenye vibundaNAKAZIA
Bila shaka mzee mwenzangu.Mzee mwenzangu naweza kukushirikisha baraka? makaveli10
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huachwi Ila chamoto utakiona humo ndoani, usione wanaume wanashona mashati ya vitenge sare na wake zao ukajua ni mapenzi, au wanafokewa mbele ya watoto....wakati mwingine kuna adhabu za makosa Yao wanatumikia.....ogopa wanawake, we are good manipulators.
Nimeku pm mkuuBila shaka mzee mwenzangu.
Hiyo yako cha mtoto mkuu.Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]
Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]
Hoja ya muhimu sana hii mkuu, nimekupa saluti komredi......🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo yako cha mtoto mkuu.
Mimi nilikazagamua kadem kangu ka chuo kwenye parking maeneo flani ya katikati ya jiji, baada ya kumaliza tendo nikaifunga ile condom ili manii zisimwagike, kwa bahati mbaya nikaisahau hiyo condom kwenye back seat.
Asubuhi nikamuomba wife anipelekee briefcase kwenye gari mimi nikiwa nyuma yake, ile anafungua mlango wa nyuma anakutana na condom, akaiachilia ile briefcase kwa mshtuko! Ile nachungulia naiona ile condom, wakati anataka tu kuishika akili ikapiga hesabu za haraka, nika-shout, "mke wangu usishike hiyo condom utaharibu ushahidi", mwanamke akashtuka akaiacha. Nikamwambia nina kesi Mahakamani na hicho ni kielelezo (exhibit), angekishika basi 'fingerprint' isingeonekana ni ya yule mgoni aliyefumaniwa.
Mwanamke akashuka, akaniambia "samahani mume wangu". Kiukweli kilichonisaidia ni kazi yangu ya Uwakili [emoji28]
Sasa wewe umekamatwa na condom tena haijafunguliwa unakuja kulialia humu [emoji23][emoji23]
Ngoja kesi ianze upya, ujue yumo humu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]
Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]
Tatizo wanaume mnatuchukuliaga hatuna akili, ujue wanawake tunajua sana wanaume mnacheat, Ila hatutarajii mcheat hadi tuwakamate....tukiwakamata upepo unageuka, mnatufungulia mlango wa revenge....
Mnamanipulate wanaume wehu sio sisi wachache wenye msimamo yetu
Endelea kujidanganya 😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
... UMEWEKWA KIPORO!Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂
Haya vijana chukueni point hapo...😊
Good manipulators kwa wajinga[emoji23] hakuna loloteHuachwi Ila chamoto utakiona humo ndoani, usione wanaume wanashona mashati ya vitenge sare na wake zao ukajua ni mapenzi, au wanafokewa mbele ya watoto....wakati mwingine kuna adhabu za makosa Yao wanatumikia.....ogopa wanawake, we are good manipulators.
Kesi yako ya kondom imeisha na mkeo, ila usisahau kutubu dhambi hyo ya kuapa bure kwa jina la Mungu wako