makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Huyo mwanangu mwenyewe nina uhakika 100% atanichomoa kwenye huo msalam.Ushimen ni falla anaelewa haraka anaweza kukuokoa, unajua ukiwa na rafiki waruwaru atakufaa wakati sahihi🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwanangu mwenyewe nina uhakika 100% atanichomoa kwenye huo msalam.Ushimen ni falla anaelewa haraka anaweza kukuokoa, unajua ukiwa na rafiki waruwaru atakufaa wakati sahihi🤣🤣
Lazima tuwe na MBWINU 🤣Watu na maujuzi yenu...🤣
Heshma yako mtaalam...😜
Mkuu...Hukufanya vyema kutumia Biblia kudanganya! Sidhani kama umemaliza! Njia ya mwongo ni fupi sana! Nakuhakikishia utakamatwa! Badilika, acha uzinzi! mpende mkeo, mthamini, mjali, mlinde! Ungefanyiwa hivyo ungefurahi?
Umesharudia mara ngapi baada ya hapo🤸🤸🤸Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂
Haya vijana chukueni point hapo...😊
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂
Haya vijana chukueni point hapo...😊
Na sisi tunaomiliki magari alafu bado hatujaoa unatuweka wapi?🤔Points.
Usidanganye kabla hujapanga beki.
Tumia Imani ya opponent kudanganya.
Uongo unawafaa wenye magari.
Tujitahidi kurudi nyumbani kabla ya wake zetu.
Mwanamke akikupenda anavumilia hata kama anajua unamdanganya.
Kila mtu awe na gari lake kuepusha mizozo
Mkuu, nilimuachia kijana sim atumie naona ndio keshaleta tafrani hapa jamvini...🤨Bro yaan huyo mwanamke wako bwege kweli,,yaan eti umeachwa masaa kadhaa kabsa sasa utakosaje kutunga uongo??,,,yaan hapo ingekuwa wa kwangu yaan hata kazin hakuendekek anataka maelezo
Mzee mwenzangu naweza kukushirikisha baraka? makaveli10Huyo mwanangu mwenyewe nina uhakika 100% atanichomoa kwenye huo msalam.
kwaio umeona umdhiaki Mungu na viapo vyako na uongo via bible ili umfuraishe uyo mke wako..Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂
Haya vijana chukueni point hapo...😊
Minafikiri wewe ndio unauelewa mkubwa kwa kusoma na kuelewa content ya huu uzi...😊
😁😁ni roho ya kukata tamaa ndio itakuwa inatesaKibaya zaidi, ndoa huna na kibunda huna
Mkuu mbona ushirombo tena[emoji16]Muuza tikiti wa Ushirombo kazini kwao wana training za kujikinga na magonjwa [emoji12][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji38][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23]