Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hunie ukapike alaaDaaah!!!una mineno mikali sana 🤦🤦🤦
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hunie ukapike alaaDaaah!!!una mineno mikali sana 🤦🤦🤦
Daah hasa mliooa Wazaramo shikamooniKule ukioa nisawa na umehamishia taliban nyumbani kwako🤣🤣
Nishaivisha,kinangoja mlaji😁😁😁Hunie ukapike alaa
Wanajichukulia sheria mkononi, wakati wakifanya mauaji kwa kutumia jamaa soap...😜🤣Kuna watu watajibu mauaji ya halaiki mbinguni dronedrake 🤣🤣🤣
ANdaa na kile chakula pendwaNishaivisha,kinangoja mlaji😁😁😁
Kapige NYETO sasa SUCCUBUS anakusubiri umpe hizo maniiKATAA NDOA,
TUNZA KIBUNDA CHAKO!!
Jinga sanaWanajichukulia sheria mkononi, wakati wakifanya mauaji kwa kutumia jamaa soap...😜🤣
Vyote tayari😁ANdaa na kile chakula pendwa
UmetishaKatika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]
Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]
Men forget but they never forgiveKatika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.
Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.
Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]
Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.
Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).
Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.
Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]
Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]
Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]
Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]
Sasa anakojozwa....unamsikia Joyce Kiria tena?
Harakati zimekwisha amepata mkojozaji
Haya vijana chukueni point hapo...😊
Basi mwamba kajiona amewin sana[emoji1787]Na wewe umeamini wife alienda kazini? [emoji1787][emoji1787] Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score[emoji1787][emoji1787][emoji1787], wahenga walisema mla huliwa[emoji1787][emoji1787]
Ndio maana hata mimi nawaza kuongeza wake wa3 nikishatoboa mambo yakikaa vizuri.Pia ni rahisi sana kusamehewa kama unamiliki gari.
Ukiwa huna gari hata uwe na pointi 100 we ni msaliti tu na haufai kupewa nafasi ya pili.
Kama una maisha ya kumfanya mkeo awe na option ya kuamua kutumia aina gani ya gari itayomfaa kwa mtoko wa siku hiyo, basi hauhitaji kuwa makini kwenye vitu ambavyo mkeo akiona atajua umem cheat.
Ukisahau ndomu kwenye dashboard ya gari ni simple sana wife kukuelewe kuwa ni bahati mbaya kuliko ukisahau ndom kwenye kiti cha baiskeli.
NAKAZIA
Qummke bila bila.... Mpaka sasa ubao unasoma 1-1Na wewe umeamini wife alienda kazini? 🤣🤣 Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score🤣🤣🤣, wahenga walisema mla huliwa🤣🤣