Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Mwanamke haombwi msamaha hata kama umekosea.
Mwanamke hawezi kukuacha kisa kuchepuka, ila baada ya hawa feminists kuwa groom wanawake hali imekua tofauti saivi.
Niamini hakunaga feminists hao ni wanawake wenye hamu zao wamekosa wa kuwatoa nyeg...unamsikia Joyce Kiria tena?
Harakati zimekwisha amepata mkojozaji
 
Huyo mkeo bado anakupenda,yaani aache timbwili hadi aende kazini ndio arudi kusubiria umpe uongo wa huo kitoto,
Anyway wanawake wanapenda kudangnywa.
 
Niamini hakunaga feminists hao ni wanawake wenye hamu zao wamekosa wa kuwatoa nyeg...unamsikia Joyce Kiria tena?
Harakati zimekwisha amepata mkojozaji
Kama Aliolewa Tena hongera zake.
Dida kapata mume wa Tano
 
Usijiaminishe hivyo, tena hasa Kwa wanawake wa Pwani, labda awe anakupenda sana....au Hana kipato anakutegemea Kwa kila kitu....la sivyo ukaachwa wewe na watoto wako, halafu anaolewa nyumba ya pili tu hapo 🤣🤣🤣
Yesu.....🙊
 
Mhhhhh......🤔
Shem isije ikawa amenishtakua kwako shemeji yangi...😑
Shemeji,sisi sera yetu ni Ile ushindi hauendi ugenini....Bora tujifanye tumeelewa ulizitumia kufundishia🤣🤣
 
Muuza tikiti wa Ushirombo kazini kwao wana training za kujikinga na magonjwa [emoji12][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji38][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23]
Huyu yupo ushilombo
 
🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Ukute huyu ndo mke wangu na hii ndo Id yake,dah
Kama ndio yeye mkuu, minaomba nikupe tu pole aiseeee....😜 maana mengine yoote yanajieleza...🤣
 
Back
Top Bottom