Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Mimi nilimuambia ni fundi gari alikuwa anatumia kama rubber seal au O ring [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Muuza tikiti wa Ushirombo kazini kwao wana training za kujikinga na magonjwa [emoji12][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji38][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23]
 
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.

Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.

Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]

Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.

Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).

Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.

Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]

Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]

Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]

Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]
Kesi yako ya kondom imeisha na mkeo, ila usisahau kutubu dhambi hyo ya kuapa bure kwa jina lá Mungu wako
 
Yaya
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.

Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.

Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊

Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.

Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).

Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.

Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜

Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂

Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂

Haya vijana chukueni point hapo...😊
Tayari kashawaambia jamaa zake kibao na majibu kashapewa ya kuwa wanaume ndo walivyo
 
Mwanamke haombwi msamaha hata kama umekosea.
Mwanamke hawezi kukuacha kisa kuchepuka, ila baada ya hawa feminists kuwa groom wanawake hali imekua tofauti saivi.
Mimi wangu nilimuomba msamaha kwa kosa la kusahau kutupa ile kitu jalalani..😜
 
Huachwi Ila chamoto utakiona humo ndoani, usione wanaume wanashona mashati ya vitenge sare na wake zao ukajua ni mapenzi, au wanafokewa mbele ya watoto....wakati mwingine kuna adhabu za makosa Yao wanatumikia.....ogopa wanawake, we are good manipulators.
Mnamanipulate wanaume wehu sio sisi wachache wenye msimamo yetu
 
Huachwi Ila chamoto utakiona humo ndoani, usione wanaume wanashona mashati ya vitenge sare na wake zao ukajua ni mapenzi, au wanafokewa mbele ya watoto....wakati mwingine kuna adhabu za makosa Yao wanatumikia.....ogopa wanawake, we are good manipulators.
Wanaume wanaoteseka ndoani hawana nguvu ya kuvunja izo ndoa kisa dini na watoto na wengi wameshapoteza frame yao kwa wake zao.
Wanawake ni top tier manipulators, wabinafsi nk hizi ziko wazi kabisa.
 
Points.
Usidanganye kabla hujapanga beki.

Tumia Imani ya opponent kudanganya.

Uongo unawafaa wenye magari.

Tujitahidi kurudi nyumbani kabla ya wake zetu.

Mwanamke akikupenda anavumilia hata kama anajua unamdanganya.

Kila mtu awe na gari lake kuepusha mizozo
Vijana wa skuizi wachukue nondo hii...
 
Back
Top Bottom