dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
KIDUMU CHAMA CHA KUKWEA MNAZIcku ukibadili username nitalia sana lijendari mwamnyeto kaputen wa chama
ADUMU MWAMNYETO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIDUMU CHAMA CHA KUKWEA MNAZIcku ukibadili username nitalia sana lijendari mwamnyeto kaputen wa chama
Ndo maana miye siku hizi,sinaga kuremba na wanawake,Wanaume wanaoteseka ndoani hawana nguvu ya kuvunja izo ndoa kisa dini na watoto na wengi wameshapoteza frame yao kwa wake zao.
Wanawake ni top tier manipulators, wabinafsi nk hizi ziko wazi kabisa.
Unaoa au kuolewa Ili upate mnafiki mwenzako mnafikiane huku mnapunguziana upwiru hadi pale mtapomaliza siku zenu za kuishi duniani, manake humo ndani ya ndoa utakuta huyu anachepuka, huyu anajenga kwao kisirisiri, huyu anambambikia mwenzie watoto...basi unafiki mtupukwanini uoe wakati cheating is inevitable?
eti mzee wangu
chama cha kujitolea hukumu bila mwendesha mashtaka wala hakimu yaan jaj mwenyewe mwendesha mashtaka mwenyewe mshtakiwa mwenyewe shahidi mwenyewe kwa kweriKIDUMU CHAMA CHA KUKWEA MNAZI
ADUMU MWAMNYETO
Hiii ndo kauli nzuri toka asubuhi ukiacha Ile ya MsigwaUnaoa au kuolewa Ili upate mnafiki mwenzako mnafikiane huku mnapunguziana upwiru hadi pale mtapomaliza siku zenu za kuishi duniani, manake humo ndani ya ndoa utakuta huyu anachepuka, huyu anajenga kwao kisirisiri, huyu anambambikia mwenzie watoto...basi unafiki mtupu
Pia ni rahisi sana kusamehewa kama unamiliki gari.Points.
Usidanganye kabla hujapanga beki.
Tumia Imani ya opponent kudanganya.
Uongo unawafaa wenye magari.
Tujitahidi kurudi nyumbani kabla ya wake zetu.
Mwanamke akikupenda anavumilia hata kama anajua unamdanganya.
Kila mtu awe na gari lake kuepusha mizozo
Mhhhh,umegusa wengiWanaume wanaoteseka ndoani hawana nguvu ya kuvunja izo ndoa kisa dini na watoto na wengi wameshapoteza frame yao kwa wake zao.
Wanawake ni top tier manipulators, wabinafsi nk hizi ziko wazi kabisa.
Unachosema ni sahihi sana tunawala sana wake za watu. NDOA NI UTAPELIUnaoa au kuolewa Ili upate mnafiki mwenzako mnafikiane huku mnapunguziana upwiru hadi pale mtapomaliza siku zenu za kuishi duniani, manake humo ndani ya ndoa utakuta huyu anachepuka, huyu anajenga kwao kisirisiri, huyu anambambikia mwenzie watoto...basi unafiki mtupu
HahaaaaaaPia ni rahisi sana kusamehewa kama unamiliki gari.
Ukiwa huna gari hata uwe na pointi 100 we ni msaliti tu na haufai kupewa nafasi ya pili.
Kama una maisha ya kumfanya mkeo awe na option ya kuamua kutumia aina gani ya gari itayomfaa kwa mtoko wa siku hiyo, basi hauhitaji kuwa makini kwenye vitu ambavyo mkeo akiona atajua umem cheat.
Ukisahau ndomu kwenye dashboard ya gari ni simple sana wife kukuelewe kuwa ni bahati mbaya kuliko ukisahau ndom kwenye kiti cha baiskeli.
uzuri ukiwa chamani, K og unaona mabwawa wala hukojoi tenachama cha kujitolea hukumu bila mwendesha mashtaka wala hakimu yaan jaj mwenyewe mwendesha mashtaka mwenyewe mshtakiwa mwenyewe shahidi mwenyewe kwa kweri
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Pia ni rahisi sana kusamehewa kama unamiliki gari.
Ukiwa huna gari hata uwe na pointi 100 we ni msaliti tu na haufai kupewa nafasi ya pili.
Kama una maisha ya kumfanya mkeo awe na option ya kuamua kutumia aina gani ya gari itayomfaa kwa mtoko wa siku hiyo, basi hauhitaji kuwa makini kwenye vitu ambavyo mkeo akiona atajua umem cheat.
Ukisahau ndomu kwenye dashboard ya gari ni simple sana wife kukuelewe kuwa ni bahati mbaya kuliko ukisahau ndom kwenye kiti cha baiskeli.
Mkuu punguza hiyo michezo,nyeto inalegeza spring za kiunouzuri ukiwa chamani, K og unaona mabwawa wala hukojoi tena
unazidi baki chamani na kuokoa kibunda
ASANTE BAKARI
SITAKIMkuu punguza hiyo michezo,nyeto inalegeza spring za kiuno
Huachwi Ila chamoto utakiona humo ndoani, usione wanaume wanashona mashati ya vitenge sare na wake zao ukajua ni mapenzi, au wanafokewa mbele ya watoto....wakati mwingine kuna adhabu za makosa Yao wanatumikia.....ogopa wanawake, we are good manipulators.