Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Umeelewa vibaya, Mimi nawakumbusha kuishi na wake zenu Kwa akili, upendo na heshima....msiwadharau wake zenu, hakuna mwanamke mpumbavu....basi tu hufunika kombe mwanaharamu apite, watoto wakue.....Ila usimdharau mwanamke.
Sasa nani kasema anamdharau mwanamke? Hakuna anayetakiwa kudharauliwa, iwe mtoto mdogo, mzee, mwanaume, mwanamke nk. Kila mmoja ni wa thamani.
 
Karudie utafiti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanawake tunajua sana wanaume hampendi kelele, hayo makosa ya kukutwa na condom yanawekwa kwenye file....siku makelele yakianza hutaamini....utulivu unaondoka...ndiyo mnaanza kupata sukari na presha, muda huo umegombanishwa na watoto.
Mind you hakuna mchepuko wa kuziba pengo la familia, na miaka yako hamsini utawaza uzae mtoto mchanga tena?
Hauwekewi sumu, utauliwa na dhamiri yako mwenyewe.
Mmh! Mbona baba yangu mdogo amepigiwa mno kelele na bado anazeeka na mke wake? Halafu kama ni kelele miye nazipenda mno, mke akiwa hapigi kelele naona amepooza mno anaboa.

Hao wanaopata visukari no magonjwa yao tu wanasingizia kelele za wake zao. [emoji23]
 
Nenda Huko ustawi wa jamii uone Kati ya wanaume na Wanawake Nani wanalialia, au nenda Mahakamani utajua Nani wanalialia.

Kaulize Watoto watakuambia Kati ya Baba na Mama Nani analialia.

Unazungumzia mtandaoni ambapo Wanawake wengi hapa nchini TANZANIA Hawana smartphone.

Kuhusu DNA huoni kama ni kwamba inawadhalilisha Wanawake na kutoa tafsiri Mbaya kuwa siku hizi Wanawake ni Malaya, hivi kama Wanawake wasingekuwa Malaya kungekuwa na haja ya DNA?
Yafikirie mambo Kwa mapana yake.

Kijana hajamkuta Mkewe Bikra unategemea asipime DNA?
Labda aone mtoto wamefanana Kabisa. Lakini hata Mimi nawashauri Vijana, kama hawakukuta Bikra Kwa MKE ni Haki Yao kuchukua DNA Kwa Watoto hata kama hamshuku Mkewe.
Huko wanawake ni wengi Kwa sababu mfumo umejengwa kumsikiliza mwanamke zaidi....wanaume pia wangekuwa na pa kusikilizwa wangejazana.
Halafu mwanaume asiye bikra anadaije bikra Kwa mwamke? Bikra which Yani?
 
Huko wanawake ni wengi Kwa sababu mfumo umejengwa kumsikiliza mwanamke zaidi....wanaume pia wangekuwa na pa kusikilizwa wangejazana.
Halafu mwanaume asiye bikra anadaije bikra Kwa mwamke? Bikra which Yani?

Hakunaga mwanaume Bikra, huyo bado hajaumbwa.
Labda unazungumzia ushoga si ndio?
 
Yani mwanaume utindue wanawake wa kila aina halafu ukifika muda WA kuoa ukaze mishipa unadai bikra?🤣🤣🤣
Rejea kidogo kanuni ya equilibrium 🤣 Dunia lazima ibalance. Robert Heriel Mtibeli
 
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.

Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.

Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...🙊

Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..☺
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.

Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza😂).

Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.

Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...😜

Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...🙂

Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...😂

Haya vijana chukueni point hapo...😊
Ushawahi kukutwa na pakti ya comdom ambapo mbili zimetumika imebaki moja ?
Unaijibu vipi kesi hii?
 
Ushawahi kukutwa na pakti ya comdom ambapo mbili zimetumika imebaki moja ?
Unaijibu vipi kesi hii?
Ndio hicho kilicho tokea kwamba imekutwa moja na mbili zimetumika...😜
 
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.

Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.

Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]

Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.

Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).

Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.

Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]

Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]

Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]

Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]
Hahaha Mimi niliwahi chomoka kwenye kimeo kama hicho kwa kumpeleka kwa meneja wa waosha magari namlaumu kwanini vijana wake waache cd kwenye Gari Wakati aliomba kwenda kumchukua demu wake ndio aje aoshe gari?
 
Naogopa kuuza mafile yote Cute Wife 🤣🤣 Ila jua wanawake wanafinya kimya kimya....bila kelele, unafinywa na kusimulia huwezi....usione wajane wengi mtaani, wanaume wanaaga mashindano mapema mtanange hamuuwezi.

Ushauri, heshimu mkeo.
Hajui na wala usimshtue shogare, asiyejua maana usimpe. Na ss hiv tuna mkakati mzito km chama tumejipanga vzr 😂😂😂😂😂
 
Katika harakati za mambo mbalimbali, juzi nilijisahau ikasalia kipande moja ya kondom kwenye droo ya gari.

Bahati mbaya zaidi wife alikua atumie the same car kwenda job the next morning.

Sasa asubuhi alipoingia kwenye chuma akaikuta hiyo kipande moja, ikabidi arudi ndani chap huku akiwa ameishikilia mkononi na akiwa mwenye hasira and seriously akataka kujua kwanini nimemfanyia vile na dharau ya ainagani nimeonyesha kwake.... Lahaulla...[emoji87]

Ikabidi kwanza nimshushe presha na hakua amekubali wala nimkumbatie... Dahhh..[emoji5]
Akili ikaanza kuzunguka kwa haraka ikifanya kazi ya ziada chap nikamwambia kipenzi changu aende job na akirudi jioni tutalizungumza kwasababu sazile nilikua namuona akiwa mwingi wa hasira.

Huku nikijitetea kwamba siwezi kufanya hivyo (wakati moyoni sina jibu) nikamwambia kwa msisitizo kwamba awe na amani na akirudi nitamueleza ukweli maana yeye ni mke wangu mpenzi na siwezi kumsaliti kamwe (hapo ikabidi niape kwanza[emoji23]).

Jioni alipo rudi kwanza alinikuta nimeshikilia bible najisomea, nikaiweka pembeni (nami nikawa nimesha pata jibu kwa kutumia mbinu za kimedani) kisha nikaanza kwa kumuelezea huku nikimkumbusha namna job kwangu tunavyo sisitizwa mambo ya kujikinga na magojwa ya kuambukiza pamoja na kucontrol magonjwa mengine hasa malaria.

Then nika ongea kwa msisitizo zaidi kwamba hiyo siku tulipewa/tuligaiwa kila mmoja kipande kimoja ya kondoms ili tukiwa kwenye training/refresher kila mmoja atafanya demonstration ili mwalimu/trainer aone kama wanafunzi wake wameelewa...[emoji12]

Baada ya kumwambia hayo huku nikisisitiza upendo na heshma kwake, akatabasam kidogo kisha nikamuimba msamaha kwa kosa la kujisahau na kuiweka kwenye gari badala ya kuitupa jalalani...[emoji846]

Kesi imeisha na tupo njema kabisa maisha yanaendelea kama kawaida...[emoji23]

Haya vijana chukueni point hapo...[emoji4]

Mimi sipendi kujua mtu kakosea ila ushahidi au utetezi wake anachomoa japo deep down najua hapa nimedanganywa
Na hamjui kuomba msamaha aisee[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Huachwi Ila chamoto utakiona humo ndoani, usione wanaume wanashona mashati ya vitenge sare na wake zao ukajua ni mapenzi, au wanafokewa mbele ya watoto....wakati mwingine kuna adhabu za makosa Yao wanatumikia.....ogopa wanawake, we are good manipulators.

[emoji28][emoji28][emoji28]kweli kabisa ni kheri uombe msamaha yaishe chap ila ukileta hadithi za ujanja utateseka sana
Kuna kesi ilitokea January ila sijaiachia hadi juzi kaongea kwa uchungu anaomba nisiongelee tena nisamehe 7x70 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]maana kaona nimemkalia kooni kwa style tunacheka ila nikipata upenyo nambuluza na hilo kosa lake
Hakuwahi kuomba msamaha alinikazia sana Ila juzi kakubali yaishe
 
Hua namuambia mwanangu.

Ukinidanganya, tumia akili. Ili nione umeniheshimu na hujanidanganya kizembe kwa kuhisi mi ni mjinga.

Nafikiri ma mdogo ndicho alichoapply hapa.
 
Na wewe umeamini wife alienda kazini? [emoji1787][emoji1787] Ukute alienda Kwa bebi wake wa akiba kupunguza hasira, hapo karudi anakuchora tu, watoto wa mjini tunasema both teams to score[emoji1787][emoji1787][emoji1787], wahenga walisema mla huliwa[emoji1787][emoji1787]
Nakazi[emoji119]
 
Back
Top Bottom