Nashukuru nimemaliza hii kesi na wife - Vijana okoteni mpate kujifunza

Mimi nilimuambia ni fundi gari alikuwa anatumia kama rubber seal au O ring [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Muuza tikiti wa Ushirombo kazini kwao wana training za kujikinga na magonjwa [emoji12][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji38][emoji12][emoji12][emoji12][emoji38][emoji38][emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23]
 
Kesi yako ya kondom imeisha na mkeo, ila usisahau kutubu dhambi hyo ya kuapa bure kwa jina lá Mungu wako
 
Yaya
Tayari kashawaambia jamaa zake kibao na majibu kashapewa ya kuwa wanaume ndo walivyo
 
Mwanamke haombwi msamaha hata kama umekosea.
Mwanamke hawezi kukuacha kisa kuchepuka, ila baada ya hawa feminists kuwa groom wanawake hali imekua tofauti saivi.
Mimi wangu nilimuomba msamaha kwa kosa la kusahau kutupa ile kitu jalalani..😜
 
Mnamanipulate wanaume wehu sio sisi wachache wenye msimamo yetu
 
Wanaume wanaoteseka ndoani hawana nguvu ya kuvunja izo ndoa kisa dini na watoto na wengi wameshapoteza frame yao kwa wake zao.
Wanawake ni top tier manipulators, wabinafsi nk hizi ziko wazi kabisa.
 
Vijana wa skuizi wachukue nondo hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…