Joseph Kasa-Vubu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 356
- 550
mwandiko wa morega mongate
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah maisha ya bweni yanahitaji mtu awe namna hii, bila hivyo utajikuta unawekewa nusu na robo ya kikombe cha wali😂😂😂... Kwahiyo ili utoboe inabidi uwe na kauchawa fulani na ndugu kiongoziUbabe sina Niko very kinda Ila ujanja mwingi
By then nilikuwa na rafiki kiongozi wa chakula sikuwah ona impact yoyote aseeh zaidi sana nilijiongeza mapema ko nikawini 😂😂........
Kuna vijana wako na uthubutu mkuu, halafu kijana kama huyo baadae anakua mwana siasa anaenda zake jimboni kuomba kura😂😂😂😂... Hamtachomoa wananchi mbele ya uongo wake.Huo mhuri sio wa kufoji kweli,maana siamini headmaster kuidhinisha upuuzi kama huo
Hahaha yaani bila hivyo ngumu kwetu ilikuwa ni mnakula kwa table dish, hakuna kupanga foleni sasa! Inabidi upate special case ule mapema maak muda huo msosi ni direct jikoni.... so far i was enjoying ubwabwa na top layer 😂 ama pilauYeah maisha ya bweni yanahitaji mtu awe namna hii, bila hivyo utajikuta unawekewa nusu na robo ya kikombe cha wali😂😂😂... Kwahiyo ili utoboe inabidi uwe na kauchawa fulani na ndugu kiongozi
Ukute dogo alitumwa ofisini akaiba muhuliHizo janja janja tu za vijana... Ukoko ni mwingi kwahiyo unaachiwa jungu baada ya wenzako wote kupewa kikombe kimoja cha wali, ila alichonishangaza ni namna alivyomshawishi huyo mkuu wa shule hadi kumpa hiko kibali😂😂😂
Hatari, sema yalikua maisha fulani hivi ya hovyo ila matamu kimtindo maana stress ni za kufeli tu zaidi ya hapo hamna zingine 😅😅😅Hahaha yaani bila hivyo ngumu kwetu ilikuwa ni mnakula kwa table dish, hakuna kupanga foleni sasa! Inabidi upate special case ule mapema maak muda huo msosi ni direct jikoni.... so far i was enjoying ubwabwa na top layer 😂 ama pilau
Vijana wa aina hiyo ni kupambana wakitaka kuwa wana siasa wasiende kwenye upande uliopo madarakani kwa maana strategy hizo hizo wataendelea kuzitumia kwenye sanduku la kura😂😂😂😂Ukute dogo alitumwa ofisini akaiba muhuli
Mjanja yeyote huwa hakurupuki juu juu kuanzisha project yake.Hizo janja janja tu za vijana... Ukoko ni mwingi kwahiyo unaachiwa jungu baada ya wenzako wote kupewa kikombe kimoja cha wali, ila alichonishangaza ni namna alivyomshawishi huyo mkuu wa shule hadi kumpa hiko kibali😂😂😂
Sikuwah fikiria kufeli kabisa 😂Hatari, sema yalikua maisha fulani hivi ya hovyo ila matamu kimtindo maana stress ni za kufeli tu zaidi ya hapo hamna zingine 😅😅😅
uleni kulikuwa na zamu ya kusaga, kukoboa makande na kubeba sijawahi fanya hizo kazi hata mara moja!Mjanja yeyote huwa hakurupuki juu juu kuanzisha project yake.
Hapo ni ama aliripoti shule akiwa na makaratasi tokea huko alikotoka, ama seke seke hilo ni kuanzia siku ya kwanza ya kuripoti.
Mtu kama huyo ana uwezo wa kuvumilia kutokula wali wa kawaida kama akikuta ukoko umelowekwa maji.
Mimi niliigiza sana huo ujinga.
Ilikuwa kwenye kazi ngumu nakamatwa na kipanda uso cha mchongo na kuanza kuvuja damu puani.
Ukinikuta naigiza utanihurumia.
Mpaka namaliza nilikuwa siguswi kwenye kazi yoyote ngumu ya nje.
Hongera yako hukuwa na hizo stress ila Mimi zilinikuta hizo, kuna syndrome nilikua nayo coz nilipofika shule niliona jamaa wengi walishapiga pre form five ila Mimi sikupiga kwahiyo Kila kitu nilikua nakiona kipya.Na
Sikuwah fikiria kufeli kabisa 😂
Nimemaliza fom six ndo nakuja fikiria Pepa ya chem nasema hivi mbn ntazngua
Nawaza nikizngua home watanielewa vipi ? Na wana niamini kinoma!
Nipo depo nawaza matokeo sijui itakuaje! Yanatoka nimefanya vzr!
Toka hapo mm na course za sayansi nikapiga chini mzee......
Kwa ujumla shule hasa boarding schools zina raha yake, mkiwa bwenin, kupigania msosi, preps muda wa kutongoza, kuoga ile ya pamoja 😂 😂....... saa hz unaoga mwenyw hutaki hata uonekane miguu......
Ila was amazing life aseeh....
Sikuwah soma pre fom five wala heka heka zao hazikunishtua......Hongera yako hukuwa na hizo stress ila Mimi zilinikuta hizo, kuna syndrome nilikua nayo coz nilipofika shule niliona jamaa wengi walishapiga pre form five ila Mimi sikupiga kwahiyo Kila kitu nilikua nakiona kipya.
Nikapataga bro pale pale alinikimbizia pure ndani ya wiki mbili kama sio tatu tukawa tumeiua, ila cha ajabu bado nilitoka kapa kwa maana Kila nilivyokua najaribu kusolve maswali kwa concept za jamaa naenda op.
Hadi niliporudi mchikichini kwa marehemu Mudi physics na Man chippa ndio maajabu yalifanyika😅😅😅.
Sisi kutongoza ilikua hadi twende shule za girls au joint mass, vinginevyo ni sabuni😂😂😂
You have to fight, You Know 😂Mzungu kasoma kibali kajibu Africa is not for the weak
Wewe kipaji kutoka moyoni mkuu😂😂😂... Songea girls, GS wao alikua mwamba sana hawa nyakati ambazo Mimi nilikua nasoma kule... Kuna kashule Nako kalikua kanaitwa London girls kalikua na warembo sana😅😅😅.Sikuwah soma pre fom five wala heka heka zao hazikunishtua......
Nilikuwa busy na wanangu wa hgk huko!! 😂
Au nikifika prep ni kusoma mafema na magazeti tuu.....
Uboyzn mzee.....
Nimepokea sana vimemo kutoka machame galz, na songea galz 😂
Splash To monetary doctor 😂😍
Kipaji Tena vipi kaka,Wewe kipaji kutoka moyoni mkuu😂😂😂... Songea girls, GS wao alikua mwamba sana hawa nyakati ambazo Mimi nilikua nasoma kule... Kuna kashule Nako kalikua kanaitwa London girls kalikua na warembo sana😅😅😅.
Hawa wakulindwa ndio huwa wanasumbua sana wakifikaga chuo, wanakua moto sana coz wanataka kufidia ule muda wa kubanwa😂😂Kipaji Tena vipi kaka,
Yule dogo saa hz tuna view tuu status japo tunapigana tafu inapobidi.....
Namwona ana furahia life so poa......
Kuna hao mademu wa weruweru walivyo kuwa wanalindwa utadhani ni bk😂
😅😅😅😅Ana bast