Nasikia ushawishi wa kutaka kujiua

Mkuu unaongea pointi
 
Oky mkuu
 
Kweli mkuu
 
Mbona Kama unanisema mimi[emoji29] Yani Ni kujiua kabisaa
 
Biashara ikigoma jiue. I agree with that 100%.
Girlfriend wako amesema hakutaki,usijiue.
Au kama wengine wanavyopenda kufanya; wanamuua girlfriend,halafu wanajiua wenyewe.
Sasa,nataka kumwona huyu Nabii Giordani. Nasikia mtoto wake alijiua. Na huyu mtoto biashara zake zilikuwa hazijagoma.
Sasa,nimekwenda kule asubuhi,lakini yaelekea nilifika mapema sana. Sasa nataka kurudi tena.
 
Hili nalo neno mkuu...but life seem empty despite i hv almost everything
Afrika ni watu wengi wanaangamia kwa sababu ya mambo kama depression kwa sababu watu wanaona ni kama ugonjwa wa kujitakia na hata diagnosis na treatment yake ipo chini sana. Na vigumu sana kumwelewesha mtu ambaye hajapitia hiyo hali akuelewe. Kuna jamaa mmoja aliugua ugonjwa wa depression akasema kitu alichokuwa anatamani kila siku ni kufa tofauti na alipokuwa na kansa ambapo alikuwa anaomba aishi. Kutegemea na ni nini kinachosababisha hali yako, kuna wakati ambapo kubadilisha sehemu unayoishi na watu wanaokuzunguka na kwenda sehemu kama vijijini inasaidia sana. Kule utakuta watu wenye shida ambazo zitakufanya uone za kwako ni cha mtoto.
 
Sawa mkuu
 
Duuh
 
Joseph Stalin mtawala wa zamani wa Sovieti aliwahi kunukuliwa akisema "Death is a solution of every thing, no man no problem"
Alimaanisha kwamba kifo ndio suruhu ya kila kitu. Matatizo mengi yanasababishwa na binadamu na matatizo yapo kwa ajili ya binadamu.

Bro we endelea na mpango wako wa kujiua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…