Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Basi kama una familia linapokuja wazo la kujiua jaribu kufikiria familia hasa watoto wako watatu.Mkuu nina watoto watatu na mke na kila kitu financial kipo poa...
But nina tatizo la ulevi uliopindukia mkuu...
Wa pombe kali kali
Oky mkuuBado una options, kuna hizi za online hakuna ulazima wa kufahamiana na therapist wako, ipo Wazi | Online therapy | Mental health | Tele-counseling | Kenya ya wakenya.
Pambana mzee, mimi nakushauri usizingatie chochote amabcho hakijawa proven to work(makanisa, vitabu nk) tafuta suluhisho la moja kwa moja
Na vile umesema ulikua junkie, duh, take this seriously
Mkuu unamwamini rabon, ngoja sisi Akina Tomaso tusubiri tuone Kama kweli Dar itashugulikiwaNi kweli mkuu
Maombi hayajibiwi hata tukitia sadaka!!
Tunajaribu kuwakusanya tuwapendao Ili tubarikiwe wake zetu wanatibua furaha yetu ili kutulazimisha tukimbie mbio ndefuu za marathon Ili kukidhi mahitaji ya wengine!!
Hai hai wake zetu wakipata shida kama Sasa wanataka tushiriki kwa asilimia mia moja!!
Chanzo Cha yote ni kutaka kuwaridhisha wanawake ambao hawaridhiki ndani ya familia zetu!!
Siku hizi mahitaji matatu hayatoshi kumtuliza mkeo wamebuni mahitaji mengine na kutu transform kuwa mitambo ya robots ya money maker,chakula,malazi na mavazi hayatoshi Tena kuitwa rijali!ole wako kama na ajira hamna aiseh!!!
Angalau wengine tumezifanya akili zetu kuwa dormant Ili yasonge huku tukiangaza macho kama Kuna bahati nyingine!!!
MJI WA DAR UTAANGAMIA KAMA UNA MALI UZA UHAMIE HATA KANDA YA KATI!
MUNGU AKUBARIKI UMALIZE SAFARI YAKO SALAMA!!!
Hizo clinic tatizo wanatunanga sana wakijua huko nyuma tulikuaga wabwia heroin na molly
Mkuu mda huu nipo hapa Kisangani kwenye mishemishe...Sababu Nini kama hela unayo mkuu? Demu au? Ulishawahi kufika Rwanda?
Umesema kweli! Changamoto za kiuchumi ulizonazo nyuma yake yako mashetani yaliyotumwa kukutesa! Wachawi! Wenye wivu, mizimu ya kwenu kwasababu hujaenda kuisujudia. N.k. Okoka! Mtafute Yesu ili uyashinde! Au nenda kwa waganga wakupatie mashetani makubwa kuliko hayo yayanyamzishe! maana ndivyo wafanyavyo hao waganga! Vinginevyo Utajiua kweli!Sauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Ushakufaasijunyingiiii nakuonaaa umebakii kashatu .mkuuu teteanafsiyakokwenyemaombii elseeushaendaaSauti inakuja kichwani jiue....!!!
Sielewi ila napambana nayo kweli. Biashara zikigoma inaniambia jiue. Mahusiano yakigoma inaniambia jiue.
Maisha yakibana jiue.....
Matarajio yakifutika jiue....
Makwazo yakitokea jiue...
NA HII SAUTI IKISHINDA BASI MTU HUJIUA KWELI BILA SABABU YOYOTE YA MSINGI KIROHO NA KIMWILI.
Mimi nawakilisha vijana wengi ambao kutokana na changamoto za maisha na matokeo yake, tunasumbuliwa na sauti za ushawishi wa kujiua.
Machoni pa watu tupo very smart na hali zetu za kiuchumi sio mbaya. Ila rohoni tuna mizigo ya maumivu na hatuwezi kuonyesha in public sababu jamii haituruhusu vijana wa kiume kuonyesha changamoto zetu hadharani.
Sasa hapa ndipo sauti za kujiua zinapoanza kutuandama. Mimi ni muwazi nimesema ila vijana wengi hawasemi wanaishia kujiua.
Na ndio maana siku hizi kuna wimbi la vijana wengi kujikatisha uhai wao.
Tatizo mda wote nalewa mkuu..Utanangwa, hiyo inaitwa "fear of unknown". Tambua tatizo nenda ukamwone mwanasaikolojia, hakuna wa kukunanga atakusaidia kwenye mapito yako. Ukifika ujitahidi kutumia vyema muda wako kuelezea ulikopita mpaka ulipo. Kuna sehemu kuna sintofahahamu. Utasaidiwa jinsi ya kuenenda vyema ukiwa ume-balance.
Ahsante ndugu ProvedRabbon pitia hapa....
Nakuelewa mkuu, hayo mambo yanakuwa na 'roho' ovu na inahitaji jitihada hasa kiroho ili kuishinda hii hali.
Mkuu sijafa bhana na nimeleta huu uzi kutokea kisangani hapa...DRCUshakufaasijunyingiiii nakuonaaa umebakii kashatu .mkuuu teteanafsiyakokwenyemaombii elseeushaendaa
Mkuu umefumbua fumbo,,,,big upAhsante ndugu Proved
Mwandishi wa thread ndiye aliyeandika thread ya " Utafiti juu ya Mungu wa walokole".
Naamini ameandika thread hii Kwa tukio la Msanii Nisher aliyejiua wakati kwao pesa halikuwa tatizo.
Jambo muhimu hapo ni kuhakikisha muda wote connection na Roho mtakatifu inakuwepo muda wote Ili kufukuza sauti za Pepo wa MAUTI na kubakiza sauti ya Roho wa Yesu aitwaye Roho MTAKATIFU.
Ulevi ndo unasababisha utake kujiua?Mkuu nina watoto watatu na mke na kila kitu financial kipo poa...
But nina tatizo la ulevi uliopindukia mkuu...
Wa pombe kali kali
Ndo nilichotoka kumwambia! Bila Yesu utajiua kweli!Okoka, muamini Yesu Kristo, sauti ya mauti haikuwa na nguvu
MpwaanafurahikusikiaukohaitenaMkuu sijafa bhana na nimeleta huu uzi kutokea kisangani hapa...DRC
Huyo ni mlokole mwenzioOkoka, muamini Yesu Kristo, sauti ya mauti haikuwa na nguvu
Si ulinibwaga wewe,pambana na hali yako🐒Pesa ninazo na uchumi upo oky,,,but deep inside i feel emotion less towards life...
The same as Wanaojiua wanavyokua wanahisi!!!Life seem empty and nothing
Weee Bwana ule uzi wako wa "Mungu wa walokole ana nguvu" uliishia wapi?Nimepiga K vant hapa na ndizi za kuchoma...mitaa ya kitambaa cheupe sinza