Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

we jamaa acha hizo fix, katiba tuliyo nayo inampa rais mamlaka ya kutowajibika kwa uovu intricle down hata kwa watu wa chini maana baba akiwa mbaya usitegemee mtoto awe tofauti
 
Sisi wananchi

I
Do you see tunavyofail. Wewe unawezaje kumuwajibisha Ndugai?

Mahakama ndio ilipaswa kuwa na uwezo wa kuwawajibisha hawa wote wanaovunja sheria moja kwa moja. Lakini kwa sababu iko mfukoni mwa serikali ndio maana inakuwa ngumu.

Kwa katiba ya sasa mihimili inaonekana imetenganishwa lakini je kiuhalisia ipo hivyo?

Mihimili imetenganishwaje ikiwa Raisi anapangua na kupanga safu ya majaji akiamua?

Raisi anachagua M/kiti wa tume ya uchaguzi ambao yenye mwenyewe ni mshiriki, Hivi kwa akili za kawaida eti leo simba sc wachague Refa ambayo atachezesha match kati yao na yanga halafu utegemee hiyo match itakuwa fair?

Katiba ni muhimu sana, kuliko wengi mnavyodhani.
 
Do you see tunavyofail. Wewe unawezaje kumuwajibisha Ndugai?

Mahakama ndio ilipaswa kuwa na uwezo wa kuwawajibisha hawa wote wanaovunja sheria moja kwa moja. Lakini kwa sababu iko mfukoni mwa serikali ndio maana inakuwa ngumu.

Kwa katiba ya sasa mihimili inaonekana imetenganishwa lakini je kiuhalisia ipo hivyo?

Mihimili imetenganishwaje ikiwa Raisi anapangua na kupanga safu ya majaji akiamua?

Raisi anachagua M/kiti wa tume ya uchaguzi ambao yenye mwenyewe ni mshiriki, Hivi kwa akili za kawaida eti leo simba sc wachague Refa ambayo atachezesha match kati yao na yanga halafu utegemee hiyo match itakuwa fair?

Katiba ni muhimu sana, kuliko wengi mnavyodhani.
Ndio tatizo, binafsi tunapaswa kujilaumu wananchi kwanza kabla yote. Hizi harakati za mitandao naona zina nguvu ndogo sana.
 
Nadhani pia, utaratibu wa upatika aji wa katiba ukifanikiwa, kuwekwe kipengele kingine kitakachoondoa sauti ya Raisi kwamba, Wananchi watakapoona Katiba yao inamapungufu na wanataka katiba iundwe upya tena, kusihitajike sauti ya Raisi kuamua iandikwe au la, Ni kuachwe kipengele cha kupiga kura kuanzishwa katiba nyingine, wananchi watapiga kura, na hizo kura zikifikia kiwango kitakachoruhusiwa kuandikwa katiba zikitimia, mtu yeyote asiseme eti achwe ajenge sjui nini ndio aone katiba kama itaandikwa
Wenye maamuzi wanapaswa kuwa wananchi na sio kiongozi Kuna ule msemo wa kijinga kabisa na nadhani upo Tanzania tu kuwa"kauli ya rais ni sheria" katika taifa la watu wanao jitambua huwezi kuta ujinga wa namna hii na ndio maana kila kitu hata Kama kina maslahi makubwa kwa taifa lazima fulani aseme hapana hatuwezi fika kabisa
 
Labda leo kungelikuwa na vikao na makongamano ya kudai katiba kwenye mikoa yote ya nchi yetu, labda ingesaidia
 
Nani kasema anataka katiba mpya ili kuondoa umasikini? Watu wengine mpaka kero, alafu unakuta jitu lenyewe ni jitu zima lakini la hovyo sana.
Watu wa mtwara na lindi wameshalipwa korosho zao? The answer is no,nani kawajibishwa ?hakuna .watu wamerudishwa kwenye umasikini kwasababu ya katiba mbuvu
 
Watu wa mtwara na lindi wameshalipwa korosho zao? The answer is no,nani kawajibishwa ?hakuna .watu wamerudishwa kwenye umasikini kwasababu ya katiba mbuvu
Hivi mkuu, Solutions za matatizo yaliyopo ni ujio wa katiba pekee??

Kiukweli mkuu, kaa ukijua wazi wazi kuwa, hiyo siyo kweli kabisa

kwa sababu gani, Vyama vyetu hivi tulivyonavyo, vinakatiba madhubuti lakini matatizo ni mengi kuliko tunavyotaka kujiamisha kwamba katiba mpya itamaliza matatizo yetu yote
 
Hivi mkuu, Solutions za matatizo yaliyopo ni ujio wa katiba pekee??

Kiukweli mkuu, kaa ukijua wazi wazi kuwa, hiyo siyo kweli kabisa

kwa sababu gani, Vyama vyetu hivi tulivyonavyo, vinakatiba madhubuti lakini matatizo ni mengi kuliko tunavyotaka kujiamisha kwamba katiba mpya itamaliza matatizo yetu yote
Na uhakika itapunguza zaidi ya 50%
 
Hata ikipatikana Haitatusaidia, kwa sababu, wote wanaoitaka kwa nguvu hii katiba, Katiba zao zimewashinda kuzitendea haki
 
Kenya Uganda na Afrika kusini Zina katiba Bora kabisa lkn changamoto haziishi.Kinachosumbua hapa ni kuwa wapinzani wanataka kutumia hiki kuleta vurugu sambamba na kuamini katiba mpya itawafanya wao kuingia madarakani kirahisi Kisha wafanye yao
 
Kenya Uganda na Afrika kusini Zina katiba Bora kabisa lkn changamoto haziishi.Kinachosumbua hapa ni kuwa wapinzani wanataka kutumia hiki kuleta vurugu sambamba na kuamini katiba mpya itawafanya wao kuingia madarakani kirahisi Kisha wafanye yao
Tunaweka matumaini makubwa mno kwenye katiba badala ya kuandaa viongozi ili wawe waadirifu

Katiba ni mwongozo tu, na ndiyo maana huwa inabadirishwa badirishwa kila mara kulimgana na uhitaji
 
Back
Top Bottom