Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

Ndiyo na ni ukweli kabisa, Katiba tunayojaribu kuitafuta kwa jasho jingi na Energy nyingi, nasikitika kusema, haitatusaidia popote kama nchi.

Kama kuna mtu anapingana na mimi, Embu atusaidie kujibu maswali haya

Ni kweli tumekuwa na katiba isiyokidhi matakwa yetu hususani katika mizania ya kisiasa, kwa maana, katiba iliyopo, ilitungwa chini ya Chama kimoja, hivyo kuvifanya vyama vingine kukosa uhalali wa kulindwa na katiba hii tuliyonayo

Kingine, Katiba hii iliyopo, inamfanya Rais wetu kuwa mfalme, ni kama yeye ni mtu wa kwanza na wa mwisho, kwa lugha ys kiyunani, ni Alfa na Omega, n.k

Sasa basi, Ukisikiliza kwa umakini, wengi wa wanaharakati wetu kwenye majukwaa ya kisiasa na majumkwaa mbalimbali mbali, Utasikia wakisema, Tunataka katiba itakayotuwezesha kuwaajibisha wote wanaovunja katiba

Ni jambo jema, maana mtu yeyote anayediriki kuvunja makubaliano yetu na katiba yetu , ni sawa na matusi kwa watu woote kama taifa

Tumeshuhudia katiba yetu ikivunjwa waziwazi na baadhi ya viongozi wetu,

Bahati mbaya ni kwamba, kuna waliovunja katiba hata kwa wale ambao, katiba hailindi ouvu wao kama ilivyo kwa Maraisi wa nchi, lakini wanapovunja, Hasira zetu tunazielekeza kwa kiongozi mkuu, tunamsagia meno, Wakati huohuo, Katiba yetu mbovu tuliyonayo, ni kumlinda Raisi wa nchi na maovu yote kipindi awapo madarakani, na kwamba Hawezi kushitakiwa kwa kosa lolote awapo madarakani

Na bila shaka, shida yetu inaanzia hapo


Okay, Achilia mbali makosa ya Rais kwa mjibu wa katiba mbovu tuliyonayo kwamba, hatoshitakiwa kwa makosa yoyote aliyotenda akiwa madarakani, Hili tunaweza kusema, lipo juu ya mamlaka ya kawaida ya mwananchi kumwajibisha Raisi wao kwa kuwa katiba inamlinda

Upande wa pili kwa kosa hilohilo la kikatiba, Tumeshuhudia Bunge lisilo halali, Ni bunge ambalo wabunge wenginewe waliomo humo bungeni si wabunge halali kwa mjibu wa katiba za vyama vyao pia kwa mjibu wa katiba ya nchi, kwamba hawana uhalali wa kuwa wabunge kwa kuwa, hawatambuliki na vyama vyao na katiba haitambui mtu wa aina hiyo kuwa sehemu ya bunge

Sasa basi

Nionyesheni ni wapi ambapo huyo mkuu wa mhimili huu wa Bunge alipohalalishiwa na katiba hii mbovu tuliyonayo kwamba naye hawezi kuwajibishwa,

Je, sasa, ni nani wa kumwajibisha?
Ni kwa nini tunataka katiba mpya, Je, ni nani atakuwa mbadala wetu wa kusimama na kuwawawjibisha wote wavunja katiba?

Je, katiba hii mbovu ilipokuwa ikivunjwa, ni nani anafahamika ambaye yeye anapaswa kudili na wavunja katiba yetu? Je, alifanya kazi yake?


Na kama alishindwa kuwashughurikia hao waharifu wa kikatiba, Ni kwa vipi anadhani itakuwa rahisi kuwashughurikia kukiwepo katiba mpya?

Ni nani asiyejua kwamba, Watanzania, Watanzania kwao ni wazuri wa kuhamaki mitandaoni pekee ila nje ya hapo ni watu wanafiki na wapole kama maji ya mtungi? na ndiyo maana hata Asiyelindwa na katiba aweza kuvunja katiba na ikawa salama?

Mkinionyesha atakayekuwa zamu ya kuwashughurikia wahalifu wa kikatiba badala yetu, ndipo nitakubali kwamba, Tunataka kweli katiba na tumemaanisha

Katiba haijilimdi, haijipeleki mahakamani, haiandamani na wala haimtishi mvunja katiba, Nionyesheni mlinzi wa katiba

Tanzania hoye?
Nyie ndio mliungana na WAKOLONI " Uhuru Hauwezi kutusaidia" mpaka ilipofika 1961 tukaupata kwa kupewa kama zawadi .
 
Mwelevu maana yake nini wewe kisimi? sasa mtu hata kuandika hujui unataka kubishana na mimi, kiufupi una akili ya kukuwezesha kunya tuu, am done with you ***** sana.
Nitakufuatilia mpaka mwisho, niuone ufundi wa matusi yako
 
Kichwa cha habari kina tosha, haina haja ya kusoma ulicho andika, yatosha kusema wewe ni mpumbavu wa kutupwa.

Kama umetumwa kuteste mitambo, waambie waliokutuma kwamba, mpaka wavuta bange wa vijiweni wanaujua umuhimu wa KATIBA MPYA hivyo hilo jambo mutalichelewesha tu, lakini mutatupatia.
 
Hoja ni nzuri ila kwa mtazamo wangu hakuna katiba yoyote Duniani ambayo hujilinda au kijitete yenyewe. Je katiba ni nini ni mkataba baina ya mtawala na mtawaliwa. Kwa ukweli huu basi mtu yeyote atakaevunja mkataba huu anaweza kuhoji kwa njia mbalimbali. Kwa upande wa serikali itakupeleka mahakamani na utafungwa. Kwa mwananchi njia zipo nyingi ikiwemo ya kwenda mahakamani, kuandamana na kupiga kelele. Na kelele hizi ndizo unazosikia, njia moja ikishindikana wananchi watatafuta njia njingine hadi wafike mwisho hadi kutokutii serikali iliyo madarakani kama Arab springs. Hiki kilio sio cha kufumbia macho au kukitolea utatuzi wenye kebehi kwani wananchi watatufanya nini ni hatari. Majeshi hayataweza kuzuia nguvu ya umma, serikali isitoe kisingizio cha kujenga uchumi this is cheap politics zenye dalili za kudharau mwananchi ni hatari sana.
 
Hoja ni nzuri ila kwa mtazamo wangu hakuna katiba yoyote Duniani ambayo hujilinda au kijitete yenyewe. Je katiba ni nini ni mkataba baina ya mtawala na mtawaliwa. Kwa ukweli huu basi mtu yeyote atakaevunja mkataba huu anaweza kuhoji kwa njia mbalimbali. Kwa upande wa serikali itakupeleka mahakamani na utafungwa. Kwa mwananchi njia zipo nyingi ikiwemo ya kwenda mahakamani, kuandamana na kupiga kelele. Na kelele hizi ndizo unazosikia, njia moja ikishindikana wananchi watatafuta njia njingine hadi wafike mwisho hadi kutokutii serikali iliyo madarakani kama Arab springs. Hiki kilio sio cha kufumbia macho au kukitolea utatuzi wenye kebehi kwani wananchi watatufanya nini ni hatari. Majeshi hayataweza kuzuia nguvu ya umma, serikali isitoe kisingizio cha kujenga uchumi this is cheap politics zenye dalili za kudharau mwananchi ni hatari sana.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Baada sasa ya kusoma ninaouita ujinga wako, twende nikuambie kitu.

Sio wa Tanzania wote ni wafuatiliaji wa hiyo Siasa yenu, hayo mambo uliyo ya orodhesha hapo hayana tija yeyote kwenye KATIBA MPYA.

Mfano mimi, tangu nimetimiza umri wa kuchagua kiongozi nimeshiriki mala moja tu 2005, baada ya hapo sikuwahi chagua kiongozi yeyote yule.

Lakini nina ham na swala la uraia wa nchi mbili, sababu nina watoto nchi jirani natamani wanangu waruhusiwe kuwa na Uraia pacha.

Natamani niione Tanzania yenye serkali moja tu, sio kama ilivyo sasa, mara Zanzibar ina Rais Tanzania kuna Rais, wakati Tanganyika sio haina Rais tu bali haipo kabisa.

Na hauwezi amini kila mtu ana mambo yake ambayo yanamfanya ahitaji KATIBA MPYA.
 
Baada sasa ya kusoma ninaouita ujinga wako, twende nikuambie kitu.

Sio wa Tanzania wote ni wafuatiliaji wa hiyo Siasa yenu, hayo mambo uliyo ya orodhesha hapo hayana tija yeyote kwenye KATIBA MPYA.

Mfano mimi, tangu nimetimiza umri wa kuchagua kiongozi nimeshiriki mala moja tu 2005, baada ya hapo sikuwahi chagua kiongozi yeyote yule.

Lakini nina ham na swala la uraia wa nchi mbili, sababu nina watoto nchi jirani natamani wanangu waruhusiwe kuwa na Uraia pacha.

Natamani niione Tanzania yenye serkali moja tu, sio kama ilivyo sasa, mara Zanzibar ina Rais Tanzania kuna Rais, wakati Tanganyika sio haina Rais tu bali haipo kabisa.

Na hauwezi amini kila mtu ana mambo yake ambayo yanamfanya ahitaji KATIBA MPYA.
Mkuu, katiba ni imebeba masuala mengi mhimu, utaanzaje kuita ujinga kwenye suala ambalo wewe haligusii sehemu yako na wakati wewe sehemu yako ya umhimu wa katiba ni kuona inaruhusu uraia pacha pekee?

Umeshindwa kabisa kuelewa kwamba, hiyo ni sehemu ndoogo sana kati ya vitu vingi vitakavyingia kwenye katiba?

Hata hivyo, mashaka ya huu uzi ni kwa namna ipi itakuwa rahisi kuisimamia katiba na kuwajibishwa wale wote watakakuwa wakivunja katiba

Nimesema hivyo kwa sababu kuu moja tu, Karibu vipindi vingi vya uongozi vilivyopita vimewahi kuvunja katiba, lakini ni nani anayewashughurikia hao wavunja katiba, hawaonekani, isipokuwa wanakuwepo tu Mitandaoni wakiandamana

ni miaka karibu sita sasa, mikutano ya siasa imezuwiwa kinyume kabisa cha katiba yetu,

Tuna bunge lisilo halali kwa madai ya chama cha Chadema, kwamba, wapo wabunge wanaojiita ninwabunge wa kuteuliwa kutokea chadema ili hali chama hakuwatambui, huko ni kuvunja katiba ya nchi, maana katiba yetu inamtambua mbunge anayetokana na chama pekee

Hata hivyo, hakuna aliyesima kupinga na kwa kuonyesha kukasirishwa na Jambo hilo, na hakuna aliyeonyesha kumwajibisha mvunja katiba

Na kwa kuwa, Katiba haiwezi kuandamana, haiwezi kuwashitaki wavunja katiba, haiwezi kujisimamia, Je sasa, ni nani atakayekuwa jasiri wa kuandamana, au kuwapeleka mahakamani wavunja katiba, nakumbuka, sisi watanzania kwenye mambo ya kuandamana kudai haki zetu ni sawa na Mtu na C -19, mtu yuko tayari kumwona kipngozi wake akifanya atakavyo na yeye kushangilia na kupiga vigelegele hata anaponyang'anywa watoto wake ila sio kuandamana,

unalisemeaje hili mkuu
 
Ndiyo na ni ukweli kabisa, Katiba tunayojaribu kuitafuta kwa jasho jingi na Energy nyingi, nasikitika kusema, haitatusaidia popote kama nchi.

Kama kuna mtu anapingana na mimi, Embu atusaidie kujibu maswali haya

Ni kweli tumekuwa na katiba isiyokidhi matakwa yetu hususani katika mizania ya kisiasa, kwa maana, katiba iliyopo, ilitungwa chini ya Chama kimoja, hivyo kuvifanya vyama vingine kukosa uhalali wa kulindwa na katiba hii tuliyonayo

Kingine, Katiba hii iliyopo, inamfanya Rais wetu kuwa mfalme, ni kama yeye ni mtu wa kwanza na wa mwisho, kwa lugha ys kiyunani, ni Alfa na Omega, n.k

Sasa basi, Ukisikiliza kwa umakini, wengi wa wanaharakati wetu kwenye majukwaa ya kisiasa na majumkwaa mbalimbali mbali, Utasikia wakisema, Tunataka katiba itakayotuwezesha kuwaajibisha wote wanaovunja katiba

Ni jambo jema, maana mtu yeyote anayediriki kuvunja makubaliano yetu na katiba yetu , ni sawa na matusi kwa watu woote kama taifa

Tumeshuhudia katiba yetu ikivunjwa waziwazi na baadhi ya viongozi wetu,

Bahati mbaya ni kwamba, kuna waliovunja katiba hata kwa wale ambao, katiba hailindi ouvu wao kama ilivyo kwa Maraisi wa nchi, lakini wanapovunja, Hasira zetu tunazielekeza kwa kiongozi mkuu, tunamsagia meno, Wakati huohuo, Katiba yetu mbovu tuliyonayo, ni kumlinda Raisi wa nchi na maovu yote kipindi awapo madarakani, na kwamba Hawezi kushitakiwa kwa kosa lolote awapo madarakani

Na bila shaka, shida yetu inaanzia hapo


Okay, Achilia mbali makosa ya Rais kwa mjibu wa katiba mbovu tuliyonayo kwamba, hatoshitakiwa kwa makosa yoyote aliyotenda akiwa madarakani, Hili tunaweza kusema, lipo juu ya mamlaka ya kawaida ya mwananchi kumwajibisha Raisi wao kwa kuwa katiba inamlinda

Upande wa pili kwa kosa hilohilo la kikatiba, Tumeshuhudia Bunge lisilo halali, Ni bunge ambalo wabunge wenginewe waliomo humo bungeni si wabunge halali kwa mjibu wa katiba za vyama vyao pia kwa mjibu wa katiba ya nchi, kwamba hawana uhalali wa kuwa wabunge kwa kuwa, hawatambuliki na vyama vyao na katiba haitambui mtu wa aina hiyo kuwa sehemu ya bunge

Sasa basi

Nionyesheni ni wapi ambapo huyo mkuu wa mhimili huu wa Bunge alipohalalishiwa na katiba hii mbovu tuliyonayo kwamba naye hawezi kuwajibishwa,

Je, sasa, ni nani wa kumwajibisha?
Ni kwa nini tunataka katiba mpya, Je, ni nani atakuwa mbadala wetu wa kusimama na kuwawawjibisha wote wavunja katiba?

Je, katiba hii mbovu ilipokuwa ikivunjwa, ni nani anafahamika ambaye yeye anapaswa kudili na wavunja katiba yetu? Je, alifanya kazi yake?


Na kama alishindwa kuwashughurikia hao waharifu wa kikatiba, Ni kwa vipi anadhani itakuwa rahisi kuwashughurikia kukiwepo katiba mpya?

Ni nani asiyejua kwamba, Watanzania, Watanzania kwao ni wazuri wa kuhamaki mitandaoni pekee ila nje ya hapo ni watu wanafiki na wapole kama maji ya mtungi? na ndiyo maana hata Asiyelindwa na katiba aweza kuvunja katiba na ikawa salama?

Mkinionyesha atakayekuwa zamu ya kuwashughurikia wahalifu wa kikatiba badala yetu, ndipo nitakubali kwamba, Tunataka kweli katiba na tumemaanisha

Katiba haijilimdi, haijipeleki mahakamani, haiandamani na wala haimtishi mvunja katiba, Nionyesheni mlinzi wa katiba

Tanzania hoye?
Suala la kuwashtaki wanaovunja katiba linaweza kutimimia tu endapo mihimili itatenganishwa. Hasa kama mhimili wa mahakama utakuwa huru.

Likitimia hilo hakutakuwa na huu upumbavu unaoendelea sasa.
 
Jamaa anakubaliana na wewe, ila anauliza, Mbona wanaoivunja katiba ni wengi tu na hata wale ambao katiba haiwalindi nao kwa nini hawadhughulikiwi?

Anasema, Je katiba mpya tunayoitaka, Itajipeleka mahakamani yenyewe kushitaki kwa nini inavunjwa?

Je, Itajiandamanisha kupinga kwa nini inavunjwa?

Au ni kwa namna gani hao wavunja katiba watashughurikiwa ikiwa Watanzania hawajui kudai haki zao na kama wakijua, sana sana wataandamana Mitandaoni na kudai haki hizo Mitandaoni?
Hawawajibishwi kwa sababu ya mhimili mmoja uliojichimbia chini.

Mihimili yote mitatu ikiwa independent huu ujinga hautakaa utokee.
 
naona nyote ni wavuta bangi tu ivi ndio hamuelewe au ndio bangi zimekolea wee kijana wacha ujinga ikiwepo katiba yenye mashiko Mahkama itakuwa huru majaji watapata kazi zao za ujaji kwa merit sio kwa ajili ya kuisaidia CCM wewe chukuwa mfano wa wanaoshikwa halafu wanawekwa jela miaka 20 eti upepelesi haujakamilika engekuwa kweli kuna katiba ya maana sio hii ya kipuuzi majaji wengekuwa wanajiamini kwasababu kazi hawakupewa na ccm wengemwambia jamuhuri nakupa miezi mitatu ukamilishe upepelezi vyenginevyo ukija tena na upuuzi wako eti upelelzi haujakamilika nakupiganayo ya uso kesi yako usinipotezee time yangu vipi kwanza unamshika mtu wakati huna ushahidi.
Mkuu, jifunze kuvumilia ujinga wa wenzako kama na wao wanavyovumila upumbavu wako!
 
Naunga mkono hili wazo japo bado nataka katiba mpya. Kama tumeshindwa kumuwajibisha kiongozi anaevunja katiba ya zamani basi hata mpya ikija itavunjwa tu na hakuna kitakachotokea
 
Naunga mkono hili wazo japo bado nataka katiba mpya. Kama tumeshindwa kumuwajibisha kiongozi anaevunja katiba ya zamani basi hata mpya ikija itavunjwa tu na hakuna kitakachotokea
tuko pa1 mkuu
 
Mimi pia huwa nashangaa jinsi watu wanavyoweka mkazo kwenye katiba mpya zaidi ya ubora wa elimu yetu.
Tungekuwa na elimu ya viwango stahili suala la katiba lingekuwa agenda ya wananchi karibia wote na sio sasa ambapo wenye shida nayo ni wanasiasa, wanaharakati na wasomi tu.
Tungekuwa na elimu bora watanzania wasingeruhusu kuvunjwa kwa katiba, kuchezewa uchaguzi na mihimili mingine ya serikali kama ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita.
Tunachohitaji haswa na elimu ya bora kwa ujumla na ya uraia ili tusije hata tukipata katiba mpya watu wakaendelea kuivunja maana watu ni walewale na uelewa ni ule ule na tabia zilizile.
Huu mchakato uko hijacked na haohao waliokumbatia nchi. On your way ku focus kwenye elimu. Kuna watu watakuja kuwaharibia plan. They know elimu ndo solution. But they choose to ignore
 
Chanzo cha huyu spika kutowajibishwa ni Katiba yetu mbovu inayompa rais ufalme.

Kwa muktadha huo basi, kama kuwepo kwa Covid-19 bungeni kungekuwa kunamuudhi rais siku nyingi sana wangekuwa washaondolewa.

Lkn kwa kuwa ni Mungu mtu, na kwa kuwa kuwepo kwa Covid-19 bungeni Kuna mnufaisha yeye na chama chake ndiyo maana wapo hadi leo .

Usiulize ananufaikaje. Kuna ka kipengele ka kutoa misaada ya mrengo wa demokrasia kanataka bunge liwe na wabunge wa upinzani
Tatizo sio katiba. Hata katiba itungwe na malaika. Viongozi wakiamua kuwa play wanawaplay tu. Cha msingi ni kutafuta njia ya kumbananisha kiongozi akivunja katiba. Hili jambo liko very complicated na linahitaji ufikiriaji wa hali ya juu na kwa kina. Pia linahitaji mwanafalsafa ambaye si mlafi wa hela itakayoweza kumbadilisha mawazo.
 
Tatizo sio katiba. Hata katiba itungwe na malaika. Viongozi wakiamua kuwa play wanawaplay tu. Cha msingi ni kutafuta njia ya kumbananisha kiongozi akivunja katiba. Hili jambo liko very complicated na linahitaji ufikiriaji wa hali ya juu na kwa kina. Pia linahitaji mwanafalsafa ambaye si mlafi wa hela itakayoweza kumbadilisha mawazo.
Shida yetu kuu iko hapo chief, hata tukipata katiba nzuri kiasi gani, kama hatuna ujasiri wa kukabiliana na wavunja katiba, Tunapoteza muda tu
 
Naunga mkono hili wazo japo bado nataka katiba mpya. Kama tumeshindwa kumuwajibisha kiongozi anaevunja katiba ya zamani basi hata mpya ikija itavunjwa tu na hakuna kitakachotokea
Ya zamani imetushinda kuwajibisha viongozi wakikosea. Mpya tutaweza kweli? Cha msingi issue sio katiba. Issue ni tutaweka mfumo gani ambao utafanya kila mtu awajibike na sheria. Lakini mwisho wa siku hata kama tukipata hiyo katiba. Bado kuna swala moja ambalo ni gumu kutatulika "rushwa" kiongozi anaweza kucheza faulo. Lakini marefa( bunge na mahakama) wakapewa rushwa na wakavunga hawajaiona faulo, hata kama wananchi wakiona faulo. Bado kiongozi na timu yake ya jeshi na mahakama wanalindwa na jeshi. So mwisho wa siku wananchi mtabaki kulia tu.
Ndo maana nasema. Cha msingi hii kitu inahitaji ma genius na wana falsafa kuijadili na kutengeneza mfumo utakao kua permanent
 
Back
Top Bottom