Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

Nitaaminije bila kuja na vipengele vya hiyo katiba, vifungu ambavyo vinaonyesha eti sipika naye amewekewa zuwio la kushitakiwa akivunja katiba pindi awapo kwenye kiti

Mkuu una taarifa zozote kuhusu haya kuwa yalisha pitishwa?


Hudhani labda ungeanzia level hizi kuweza kupata japo picha kwanza ya hali iko vipi?

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Ndio uelewe kuwa inafikia wakati mitazamo lazma itofautiane na kutofautiana na mtazamo wa mtu akuhalalishi ubongo wako kumuona mwenzio hana akili.

Unaweza kuwa na hoja ila kwangu pia nikaziona utopolo tu!
Kwa hiyo wewe kwa akili yako unaona swala la katiba mpya ni kwa ajili ya Mbowe na Lissu tu.
Watanzania tuna safari ndefu sana
 
Hivi mkuu kipindi Tume ya jaji warioba ilitumika kukusanya maoni kwa wananchi kuhusu katiba mpya wananchi walikuwa hawana elimu kuhusu katiba?
Ilivuma tu paap, tayari ikawa ya wanasiasa, na ndiyo maana mpango ulikuwa ni katiba ya Wananchi, lakini kukazaliwa umoja wa kisiasa, Ukawa

Maana yake, Elimu kuhusu Katiba bado haijawafikia walengwa, zaidi sana ipo kisiasa

Na watakapofahamu kwamba, Katiba siyo jambo la kisiasa, Tutatengeneza Katiba

Hata sasa Mh Raisi akikubali kwamba mchakato wa katiba uendelee bila kupewa elimu kwa wananchi kufahamu nini maana ya kuwa na katiba

nakwambia hilo bunge la katiba watatwangana makonde makundi ya chama fulani na chama fulani kwa sababu hata hao wanasiasa hawaamini kuwa Katiba na siasa ni vitu viwili tofauti
 
Watanzania vigeu vigeu wanafikiri katiba mpya ndio mwisho wa umasikini wao.

Tuchape kazi wajameni
You embrace stupidity of the highest order, you make generalizations which are bias and unrealistic,in a very simple language, you are an idiot
 
Kwa hiyo wewe kwa akili yako unaona swala la katiba mpya ni kwa ajili ya Mbowe na Lissu tu.
Watanzania tuna safari ndefu sana
Hata mimi naamini hilo mkuu.. kwa sababu

Kitendo cha chama kubeba dhana nzima jambo la kitaifa ni siasa katika jambo lisilohitaji siasa

Na hiyo furusa ikipatikana kwenda kuundwa hiyo katiba, bado sura ya uvyama itajitokeza, kiasi ambacho ni makosa kwa kitu ambacho kinawaunganisha watu wote hata wasiokuwa na chama,

Tukitaka Katiba, waanzilishi wa harakati hizi wanatakuwa wawe watu huru wasioegemea chama chochote, hapo ndo tutapata katiba nzuri
 
You embrace stupidity of the highest order, you make generalizations which are bias and unrealistic,in a very simple language, you are an idiot
Why do you think a fool should not be you?

Do you have any reasons to object to that?

Do you think your idea is very important and that it should be supported by everyone?

Changia tu mkuu mwenye kukuelewa na akuelewe, usilazimishe kutukana maoni ya mtu mwingine
 
Kwanini umlaumu spika na usiwalaumu wale wabunge at the first place?
Mm lawama zangu ni kwa rais. Ambaye ametumia hii katiba mbovu kuwashinikiza hao Covid-19 kwenda bungeni (nadhani unajua kwamba walilazimishwa na watu wa mwendazake). Halafu spika akaelekezwa awakumbatie.

Kwahiyo kiini Cha yote haya ni katiba
 
Ilivuma tu paap, tayari ikawa ya wanasiasa, na ndiyo maana mpango ulikuwa ni katiba ya Wananchi, lakini kukazaliwa umoja wa kisiasa, Ukawa

Maana yake, Elimu kuhusu Katiba bado haijawafikia walengwa, zaidi sana ipo kisiasa

Na watakapofahamu kwamba, Katiba siyo jambo la kisiasa, Tutatengeneza Katiba

Hata sasa Mh Raisi akikubali kwamba mchakato wa katiba uendelee bila kupewa elimu kwa wananchi kufahamu nini maana ya kuwa na katiba

nakwambia hilo bunge la katiba watatwangana makonde makundi ya chama fulani na chama fulani kwa sababu hata hao wanasiasa hawaamini kuwa Katiba na siasa ni vitu viwili tofauti
Kama wananchi walikuwa hawana elimu kuhusu katiba kwanini walishiriki katika kutoa mchango kupitia tume ya jaji warioba? Ina maana walikwenda kutoa maoni kwa kitu wasicho fahamu?na unaweza vipi kutoa maoni kwa kitu usicho kifahamu?
 
Mkuu, ili uwe mwanajeshi unahitaji upite wapi na wapi, au unahitaji upewe amri pekee??

Hao achana nao, kwani wao wanapitia mafunzo kwanza kabla ya kila kitu

Sasa wewe, unaenda kudai tu katiba bila ya kuwafundisha wananchi namna ya kuilinda hiyo katiba, na ndiyo maana hatutapata anayewajibika kuilinda kwa sababu kila mmoja anajua hiyo katiba ni ya watu fulani na fulani
Mafunzo yakijeshi wala hayahusiani na swala la nidhamu.mafunzo ni kwa ajili ya ukakamavu ila misingi ya nidhamu iko ndani ya taratibu za kijeshi.Na nidhamu ni utaratibu tu ambao ata wewe unaweza kuuweka nyumbani kwako na ukafuatwa.Nilikupa huo mfano ili ujue kua ata sisi tunaweza kua na mfumo wakinidgamu ndani ya nchi yetu na ukafuatwa kama ambavyo wanajeshi wetu wanafuata mfumo wao wa kinidhamu.Na ziko ofisi au taasisi nyingi tu zenye taratibu zakinidhamu za hali ya juu.kwahiyo inawezekana tukiamua.
 
Kwani katiba inamsaidia nini mtu aliyeko Kijijini zaidi ya wanasiasa kugombania keki ya taifa?
Kama hujui umuhimu wa katiba kwa kila mwananchi na umekalia kufikiria mambo ya wanasiasa na madaraka utakua una tatizo kubwa.Yoa kwanza hayo mawazo kwa kusoma katiba iliyopo alafu jiulize ni mambo gani yanayomhusu mwananchi wa kule kijijini.
 
Why do you think a fool should not be you?

Do you have any reasons to object to that?

Do you think your idea is very important and that it should be supported by everyone?

Changia tu mkuu mwenye kukuelewa na akuelewe, usilazimishe kutukana maoni ya mtu mwingine
Kwa nini unafanya generalization? huu si ndo upumbavu ndugu yangu
 
Katiba ambayo wananchi hawawezi kuisimamia unategemea watawala wataifuata kwa hisani yao? Bila sisi wenyewe kuwa na uelewa na atitude ya kuisimamia katiba hata tubadilishe katiba mara mia bado watu wataichezea tu.
Kweli tunataka katiba mpya ila wanasiasa wetu hawa wanaopigia kelele katiba mpya wakati hatujawahi kuwasikia wakipush elimu ya uraia na ujumla wake iboreshwe ni wachumia tumbo wanaotaka katiba ya kuwapa madaraka and nothing else.
Tatizo akili yako umeshai-tune na kuamini kuwa wananchi hawawezi kuwawajibisha wavunja katiba, soln ya wavunja katiba ni maandamano, katiba iweke employment security ya maafisa polisi ngazi zote, halafu igp atangaze kuwa kazi ya police si kutawanya waandamanaji kwa silaha za moto, Bali ni kulinda waandamanaji wasifanye uharifu, nakuhakikishia kabisa haitaihitaji watz nchi nzima waandamane kumngoa spika Bali wanachadema elf20 tu wakilisimika kuzunguka bunge na nakuhakikishia kabisa ndugai anakabidhi ofisi ndani ya siku tatu bwasheee.
 
Huwa najiuliza kwa nini CCM wawaone vyama vingine kuwa na uchu wa madaraka ilhali wenyewe hawako tayari kuyaachia hayo madaraka? Linapokuja suala la uongozi, tuongee kwa nafsi zetu, Viceversa ni unafiki mtupu.
Mwanachamaless
 
Wapumbavu huwa tunaendelea kuwaita ndugu ili mjione mna akili kama sisi werevu kuepuka migongano we puru
Unatumia kipimo kipi kujisema wewe ni mwelevu?

Au ndio nyie wajingawajinga mnaoulinda ujinga wenu kwa matusi kutukana watu pindi mnapoambiwa hamnazo?

Kufunga pingu na ujinga, sio jambo dogo, ukitaka ujiondoe kwenye mnyororo huo uliopo, Acha upumbavu na kiburi cha kijinga kinachokusukuma ujione ni mwelevu na wakati wewe ni kilaza mmoja hivi usiyeelewa chochote

Haya, tumekwambia, Ng'aka tena kwa kuulinda upumbavu wako kwa vijitusi vyako hivyo

Jinga sana wewe
 
Mimi pia huwa nashangaa jinsi watu wanavyoweka mkazo kwenye katiba mpya zaidi ya ubora wa elimu yetu.
Tungekuwa na elimu ya viwango stahili suala la katiba lingekuwa agenda ya wananchi karibia wote na sio sasa ambapo wenye shida nayo ni wanasiasa, wanaharakati na wasomi tu.
Tungekuwa na elimu bora watanzania wasingeruhusu kuvunjwa kwa katiba, kuchezewa uchaguzi na mihimili mingine ya serikali kama ilivyokuwa miaka kadhaa iliyopita.
Tunachohitaji haswa na elimu ya bora kwa ujumla na ya uraia ili tusije hata tukipata katiba mpya watu wakaendelea kuivunja maana watu ni walewale na uelewa ni ule ule na tabia zilizile.
Kwasababu wanasiasa ndio wanatupangia kila kitu, kula tuleje, tutalalaje, tutafanya kazi wapi na tutalipwa vipi n.k Siasa si kusimama tu majukwaani, hata mleta mada ni mwanasiasa, japo hujui umuhimu wa katiba mpya
 
Back
Top Bottom