Hili swali inawezekana uliyeuliza ni PhD holder, lkn itoshe kusema tu nchi hii bado ina majitu majinga jinga mengi sana.Kwani katiba inamsaidia nini mtu aliyeko Kijijini zaidi ya wanasiasa kugombania keki ya taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali inawezekana uliyeuliza ni PhD holder, lkn itoshe kusema tu nchi hii bado ina majitu majinga jinga mengi sana.Kwani katiba inamsaidia nini mtu aliyeko Kijijini zaidi ya wanasiasa kugombania keki ya taifa?
Kumbe ww unataka kugombea urais?Jamaa nakuonaga una akili kumbe na wewe ni pimbi tu, haya hata kama sio lissu au mbowe kwanini asishabikie katiba itakayotoa fursa kwa mtz yoyote kupata madaraka kwa njia halali na ya wazi hata kama atakuwa ni yeye mwenyewe au babu yake au Dada yako?
Doh!!
Ni kati ya maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kuhusu usimamiaji wa katiba yetu
Unaona sasa? Kwani mie nikitaka au bibi yako au wewe mwenyewe kuna ubaya gani?Kumbe ww unataka kugombea urais?
Huwa nahisi wewe ni ccm lakini hapa umeandika tofauti na ccm wenzako wanaodhani katiba ni kwaajili ya chadema.
Tudai katiba kwaajili ya nchi ,vyama vipambane vyenyewe kufuata matakwa ya wananchi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu, katiba mpya ni takwa na hitaji la wanasiasa. Sisi huku vijijini mahitaji yetu makuu ni, huduma bora za afya, maji, shule, barabara, masoko ya uhakika ya kuuzia mazao yetu, nk. Hayo yote yanawezekana bila katiba mpya!Haiwezi kwani yanayopiganiwa ni maslahi ya wanasiasa pekee.
Uwe unasoma comments. Elimu kuhusu katiba na umuhimu wake inakuhusu sana wewe. Soma comments kuna elimu inatolewa humo. (Wewe unakwazika na tume huru ya uchaguzi) . Katiba ni zaidi ya tume huru ya uchaguzi.Kweli kabisa mkuu, katiba mpya ni takwa na hitaji la wanasiasa. Sisi huku vijijini mahitaji yetu makuu ni, huduma bora za afya, maji, shule, barabara, masoko ya uhakika ya kuuzia mazao yetu, nk. Hayo yote yanawezekana bila katiba mpya!
Kwanini umlaumu spika na usiwalaumu wale wabunge at the first place?Chanzo cha huyu spika kutowajibishwa ni Katiba yetu mbovu inayompa rais ufalme.
Kwa muktadha huo basi, kama kuwepo kwa Covid-19 bungeni kungekuwa kunamuudhi rais siku nyingi sana wangekuwa washaondolewa.
Lkn kwa kuwa ni Mungu mtu, na kwa kuwa kuwepo kwa Covid-19 bungeni Kuna mnufaisha yeye na chama chake ndiyo maana wapo hadi leo .
Usiulize ananufaikaje. Kuna ka kipengele ka kutoa misaada ya mrengo wa demokrasia kanataka bunge liwe na wabunge wa upinzani
Katiba ambayo wananchi hawawezi kuisimamia unategemea watawala wataifuata kwa hisani yao? Bila sisi wenyewe kuwa na uelewa na atitude ya kuisimamia katiba hata tubadilishe katiba mara mia bado watu wataichezea tu.Hizi ni fikra mfu na za kipumbavu, akina nyerere wkt wanapgania Uhuru haikuwa ajenda ya watz wote Bali ilikuwa ni kakundi kadogo tu, thanks God kwa ilikuwa ni kwa manufaa ya weusi wote bila kujali idadi ya waliokuwa mstari wa mbele kudai, pia ktk hili la katiba hakuna ubaya tukapata katiba bora hata kama alieishupalia ni lissu pekee, make itakuwa ni kwa faida ya watz wote bila kujali kakundi kadogo
Napinga uwanzishwaji wa mchakato wa katiba kwa sasa, Ni hadi wananchi watakapofahamu umhimu wa katiba hiyoKatiba ambayo wananchi hawawezi kuisimamia unategemea watawala wataifuata kwa hisani yao? Bila sisi wenyewe kuwa na uelewa na atitude ya kuisimamia katiba hata tubadilishe katiba mara mia bado watu wataichezea tu.
Kweli tunataka katiba mpya ila wanasiasa wetu hawa wanaopigia kelele katiba mpya wakati hatujawahi kuwasikia wakipush elimu ya uraia na ujumla wake iboreshwe ni wachumia tumbo wanaotaka katiba ya kuwapa madaraka and nothing else.
Kwani kipindi JK anafanya harakati za kupatikana kwa katiba mpya kupitia maoni ya wananchi ,wananchi walikuwa na elimu gani ya uraia kuhusu katiba?Katiba ambayo wananchi hawawezi kuisimamia unategemea watawala wataifuata kwa hisani yao? Bila sisi wenyewe kuwa na uelewa na atitude ya kuisimamia katiba hata tubadilishe katiba mara mia bado watu wataichezea tu.
Kweli tunataka katiba mpya ila wanasiasa wetu hawa wanaopigia kelele katiba mpya wakati hatujawahi kuwasikia wakipush elimu ya uraia na ujumla wake iboreshwe ni wachumia tumbo wanaotaka katiba ya kuwapa madaraka and nothing else.
Hivi mkuu kipindi Tume ya jaji warioba ilitumika kukusanya maoni kwa wananchi kuhusu katiba mpya wananchi walikuwa hawana elimu kuhusu katiba?Napinga uwanzishwaji wa mchakato wa katiba kwa sasa, Ni hadi wananchi watakapofahamu umhimu wa katiba hiyo
Kwani kwa sasa, ni kupoteza fedha za walipa kodi tu na kuwasaidia wanasiasa kuitafuta ikulu kwa manufaa yao
Tunataka kwanza wananchi wajue umhimu na namna bora ya kuilinda katiba na kuhakikisha wataitetea kwa nguvu zote na kwa gharama zote pindi mshenzi mmoja atakapoikanyaga
Hata katiba ya CHADEMA imemfanya Mbowe mfalme na mungu mtu. Hawezi kuibadiliKwa mujibu wa katiba rais ni kama tu Mungu wa nchi
Na hiyo imefanya mihimili yote kuwa chini yake
nadhani viongozi wa hii mihimili wanatokana na rais pia kwahiyo mambo Meusi yanayofanyika huko yana baraka za Mungu wa nchi kwa hiyo hilo shtaka utalipitishia wapi
Rais hana hofu ya kuvunja sheria
Anatoa order tu
Maelekezo kutoka juu
Sasa hii inawahakikishia usalama hawa viongozi wa huku chini na wao wakiwa na mambo yao binafsi yanayoenda kinyume na sheria hawana hofu kwa kuwa ni wanafamilia tu wa bwana mkubwa
Nguvu ya kumshtaki mkuu wa wilaya tu utaitoa wapi kwenye mahakama gani kesi hiyo itapita
Yote hii ni katiba tupunguze mamlaka ya rais kupitia katiba hawa viongozi wengine wapatikane kwa njia nyingine isiyo husiana na connection na rais
Na rais ashtakiwe akienda wrong
Mihimili ijitegemee na rais ashtakiwe hii itasaidia, kesi zitakuwa nyingi tu tofauti na unavyofikiri wewe
Lakini lengo la kubadili katiba siyo hili tu la kuwapunguzia madaraka na kushtaki watu hapana
Lakini kumbuka pia lengo la katiba ni kupunguza madaraka ya viongozi wa serikali ambao ni ccm
Ccm wewe na wenzio hamko tayari kwa hilo kwa namna yoyote ile kwa kuwa madaraka yakipungua hamtakuwa na uhakika wa kulindana na kubaki na madaraka ndiyo mana mnakuja na hoja dhaifu kiasi hichi hapa
Hoja yenye mashiko hamna.
Jambo dogo tu, tuangalie uchaguzi uliopita ni zao la katiba tulio nayo ndiyo maana tunafikiria kuibadilisha,
kuachana na hayo mengine yote hoja na hitaji la katiba mpya ni uchaguzi uliyopita wewe unaongeleaje uchaguzi uliopita ni sahihi kwa kilichotokea?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nitaaminije bila kuja na vipengele vya hiyo katiba, vifungu ambavyo vinaonyesha eti sipika naye amewekewa zuwio la kushitakiwa akivunja katiba pindi awapo kwenye kitiHahaahaaa haa 😂😂😂😂.
"Nionyesheni ni wapi ambapo huyo mkuu wa mhimili huu wa Bunge alipohalalishiwa na katiba hii mbovu tuliyonayo kwamba naye hawezi kuwajibishwa,"
Kwamba hujui ilishapitishwa kuwa wakuu wa mihimili na manaibu wao hawawezi kushitakiwa kwa makosa yoyote yatokanayo na utekelezaji wa majukumu yao na hii sasa ni sehemu ya sheria kwa mujibu wa katiba?
Pia hutambui kuwa mapungufu ya katiba iliyopo ndiyo yanayoyaleta mikanganyiko unayoiongelea sasa?
Kimsingi kama hufahamu hali nzima ni kama hivi:
1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe.
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe.
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu.
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi.
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe.
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi.
7. Kuna utitiri wa vigogo wenye mapato yasiyoakisi tija, wala kuwa na ridhaa ya wananchi na wasiolipa kodi (stahiki) wanaopata uhalali kwenye katiba hii.
8. Nk nk.
Kwenye mazingira haya asiyewajibishwa kwa mujibu wa katiba atawajibika vipi kwa katiba hiyo?
Hadi hapo bado huoni umuhimu wa katiba muafaka zaidi tena katika hali ya dharura inayowezekana?
Unadhani ni mazingira yapi yalitufikisha tulikofika na awamu ya ile?
Katiba mpya yenye kuyaangazia kikamilifu mapungufu yote yaliyomo ni suluhisho kwa haki, usawa, na uhuru wetu, watoto wetu na hata watoto wa watoto wetu.
Hili ni hitajio sahihi na la msingi ambalo si sawa kupuuzwa.
Yawezekana mkuuHivi mkuu kipindi Tume ya jaji warioba ilitumika kukusanya maoni kwa wananchi kuhusu katiba mpya wananchi walikuwa hawana elimu kuhusu katiba?
Mnajua kabisa umuhimu wa katiba mpya yenye kujenga taasisi imara Ila kwa maksudi mnapinga kwa maslahi yenu na kuzidi kuwapumbaza Watanzania.Katiba inamsaidia nini mwanachi ambaye anahangaika kutafuta mlo mmoja kwa siku!?
Wewe jamaa sikujua kama kichwani ni mtupu kiasi hiki. Daah!!Hii kwangu ndio hoja ya msingi! Unashabikia katiba ili Mbowe anufaike na kumuingiza Lissu madarakani 😂😂😂 ni akili au matope hayo!