Nasikitika kusema kwamba, Katiba Mpya tunayoitafuta kwa nguvu nyingi haiwezi kutusaidia

Shida sio kuandikwa katiba ingine,, shida ni implementation za hyo mpya,, kama ya zaman inawashindwa mtaweza mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] #allpoliticiansarefilthyliers

..mimi nadhani tuandike mpya, tena bora.

..baada ya hapo ndio tutajua kwamba tuna uwezo wa kuilinda au hapana.
 
..mimi nadhani tuandike mpya, tena bora.

..baada ya hapo ndio tutajua kwamba tuna uwezo wa kuilinda au hapana.
Sawa tuandike,, but tambua kuwa duniani tanzania ndio nchi ya kwanza inayopenda #kitonga cheap things are our style,,na hakuna kitu kilicho expensive as having katiba inayosimamia virtue za kuwa responsible na kuwa held accountable kwa kazi zinazofanyika na hao #liers
A good example ni curriculum yetu,, in terms of a a written document na aims zake ni best in east Africa,, when it comes to implementation,, [emoji28][emoji28][emoji28] God only knows,,,
A piece of advice ,, don't trust em
 
Shida sio kuandikwa katiba ingine,, shida ni implementation za hyo mpya,, kama ya zaman inawashindwa mtaweza mpya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] #allpoliticiansarefilthyliers
Ndiyo maswali nayojiuliza mkuu, Ningeshauri hawa wenzetu hasa chadema, Maskini wee, wangejitahidi sana kushawishi na kuwaelimisha wananchi ili angalu kuonekane ile Sura ya Kitaifa kwamba, tunataka katiba kweli

Sasa unakuta ni wao tu wanaimba wimbo wa katiba ili hali wengine wengi wako tu hawana habari hata kidogo

Ni bora hizi fedha za kukodisha kumbi kwa ajili ya makongamano haya, wasekeze kwenye eneo lingine
 
Hata kama Katiba mpya inahitajika, haiwezi kulazimishwa na handfuls walioko mitandaoni na ughaibuni. Katiba mpya italetwa na Watanzania.
 
Hata kama Katiba mpya inahitajika, haiwezi kulazimishwa na handfuls walioko mitandaoni na ughaibuni. Katiba mpya italetwa na Watanzania.
Unajua sana mkuu haya mambo!

Katiba siyo ya kikundi fulani, ni ya kitaifa
 
Unajua sana mkuu haya mambo!

Katiba siyo ya kikundi fulani, ni ya kitaifa
Umeonaee! Watu wanafikiri Katiba ni kitu kidogo! Wamarekani wana kamsemo kazuri,"...We the People... !" Sijui kama vijana wa mtandaoni wanaelewa maana yake!
 
Unaweza ukawa na kitu kipya lakini sio bora.sasa ni mjinga peke yake atakayefikiri kwamba sisi kama watanzania hatuna akili zakutengeneza kitu kizuri na bora kwa ajili ya maendeleo yetu ya sasa na vizazi vijavyo
 
Kama hadi sasa unawaza katiba ni kwa ajili ya wanasiasa itakua una tatizo la kufikiri.
Nikikuuliza wewe hio katiba iliyopo inakusaidia nini so far? Unaweza kunijibu kwa ufasaha labda! Inakunufaisha in what ways mpaka utake nyingine as if you have stakes on it!?
 
Lakini we Jamaa, Nimesomaaa nikarudia tena, na sasa nimekuelewa saaana, Ingawa umeandika kimasikhala sikhala, lakini ndani yake mna ujumbe mkubwa sana

Jambo hili la katiba tunawapa wananchi matumaini makubwa mno, tunasahau kwamba, Katiba haizuii uhalisia wa mambo, Katiba haitafuti wala kuandaa viongozi bora

Katiba, haina ufahamu wowote wa kujua mgombea atayegombea atakuwa ni muungwana ama laah!!
 
Umeandika mada yako kishabiki sana na inaonyesha unafanya tu makusudi kujifanya hujui katiba bora ikoje .ila nataka nikupe jambo ulitafakari.Hivi hii nidhamu ya hali ya juu unayoiona kwenye jeshi la wananchi wa Tanzania(Jwtz) unadhani ni nani anaisimamia?.Majibu utakayoyapata yatafakari.
 
wewe unalinganisha kitu kinaitwa Amri na katiba, katiba siyo amri,

Katiba siyo amri kwa sababu inaweza kubadirishwa, lakini Amri haibadiriki, ukiambiwa usizini utauwawa, hauhitajiki kupelekwa mahakamani, ni papo kifo kinakuhusu, halafu ulinganishe na katiba ambapo mtu baada ya kuivunja anatafuta na wanasheria wa kumtetea mvunjaji?

Unajua maana ya Amri lakini?
 
Watanzania hawajui kuandamana, hawajui kudai haki yao, wao wanaamini tu kwamba, Mungu ndiyo kila kitu

Hivi kwa nini kweli tunahangaishana kudai katiba?
Katiba Mpya ni muhimu... Sema watanzania wengi ukiwapa uchaguzi kati ya Katiba na peremende basi watachukua peremende!
 
Nikikuuliza wewe hio katiba iliyopo inakusaidia nini so far? Unaweza kunijibu kwa ufasaha labda! Inakunufaisha in what ways mpaka utake nyingine as if you have stakes on it!?
Wewe ndio hujui umuhimu wa katiba na jinsi inavyofanya kazi.jielimishe kwanza ndo urudi kwenye mjadala.
 
Mnakuwa na viongozi na Rais ovyo kabisa hapa chini ya jua halafu mnakuwa na Katiba bora zaidi duniani. Tutatoboa?

Mnakuwa na Rais na wasaidizi wake bora zaidi lakini katiba ndo hii hii. Tutatoboa?

China tuijuayo haipigi kasi ya maendeleo sababu ya katiba bora zaidi duniani. Hapana. Ni timu tu ya watu wenye uwezo na nia ya kuipeleka China mbele ndio msingi wa kasi ya maendeleo ya China

Hata sisi tukipata vichwa vizuri vya viongozi vikakaa pamoja na kufanya kazi lazima tutoboe. Katiba ni miongozo Fulani ambayo inaweza isifuatwe au ikakanyagwa makusudi na mkanyagaji asifanywe chochote

MNA katiba Bomba lakini viongozi wenu kutwa kucha kuwapigia magoti wazungu, wachina, waarabu, wahindi na nk mtatoboa kweli?
 
Hii kwangu ndio hoja ya msingi! Unashabikia katiba ili Mbowe anufaike na kumuingiza Lissu madarakani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ni akili au matope hayo!
Wanaoshabikia katiba mpya ni wabinafsi na wapigaji kama majambazi wengine, mimi nawaza ajira bado wapumbavu wanataka tuandamane juu ya katiba mpya.
 
Wewe ndio hujui umuhimu wa katiba na jinsi inavyofanya kazi.jielimishe kwanza ndo urudi kwenye mjadala.
Ningeona umuhimu wa katiba na mimi ningepigania, nyie mnataka katiba mpya ili mpate njia nyepesi ya kupata uongozi wa nchi, pambaneni na hali yenu na mm napambana na njaa yangu.
 
Hiyo amri iliwekwa na nani na inasimamiwa na nani?.Maana wewe umeuliza ni nani atakayeisimamia hiyo katiba na mimi nimekupa mfano rahisi sana kuuelewa.kwamba kama jeshini inawezekana kujiwekea utaratibu na wakazisimamia wenyewe ata sisi kama wananchi tunaweza kuweka utaratibu kupitia andiko linaloitwa katiba na tukaisimamia wenyewe.Ayo unayoyaona yamefanyika uko nyuma nikwasababu kama wananchi hatukuamua tuwe na kitu bora chakutusimamia ndo maana viongozi wachache wakaamua kuitumia hiyo nafasi kwa maslahi yao binafsi ila haimaanishi kwamba hatuwezi kua na katiba nzuri na ikajisimamia yenyewe.ata uko jeshini sheria zipo ni kazi ya askari kuifwata basi kinyume na hapo inakugharimu.
 
Ningeona umuhimu wa katiba na mimi ningepigania, nyie mnataka katiba mpya ili mpate njia nyepesi ya kupata uongozi wa nchi, pambaneni na hali yenu na mm napambana na njaa yangu.
Endelea kua na njaa kwasababu ujielewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…