Pre GE2025 Nasikitika kusema mfumo wa CHADEMA bado hauna uwezo wa kupewa uongozi wa nchi, labda waufanyie marekebisho au tuwape muda zaidi miaka 10 au 15 ijayo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

..ukawa wangeongoza serikali mwaka 2015 kwa maana yake ni kwamba dola ingeanza kufanya kazi kwa niaba ya ukawa kuhujumu Ccm.
 
Naendelea kusikitika kusema

Kwa poor organization ya Cdm kwenye zoezi hili la serikali za mitaa bado Sana kupewa nchi
Gharama za kurusha chopa na bajeti zingine zisizo na mashiko zingeelekezwa kwenye zoezi hili
kuhakikisha kunakuwa na watu wao wa kufuatilia Kila kituo
Ni ngumu kushinda uchaguzi mkuu wakati umeshindwa uchaguzi wa serikali za mitaa wapiga kura ni wale wale
 
Nachokiona pengine viongozi wa juu wa Cdm wanawaza nafasi zao kugombea ubunge na ngazi za juu za chama ili wapate zao Posho
 
CHADEMA imewahi kuongoza Manispaa na majiji kadhaa baada ya kushinda uchaguzi.

Sasa ikiwa waliweza kuongoza majiji Dar ikiwemo,

Washindwe vp kuongoza Nchi?
 
CHADEMA imewahi kuongoza Manispaa na majiji kadhaa baada ya kushinda uchaguzi.

Sasa ikiwa waliweza kuongoza majiji Dar ikiwemo,

Washindwe vp kuongoza Nchi?
Hii nguvu mnayoitumia kuitetea ndio mnawalemaza
 
Nachokiona pengine viongozi wa juu wa Cdm wanawaza nafasi zao kugombea ubunge na ngazi za juu za chama ili wapate zao Posho
Hivi vyama vya upinzani vinashida sana kwenye kuuza ilani yao kupata tu ilani zao ni mtihani
 
Chama Cha siasa kinachoamini kwa MTU badala ya mifumo yake ni aibu kubwa sana
 
Mfumo wa CCM kutawala unawezekana Tanzania pekee ambako tupo usingizini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…