Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
- Thread starter
- #81
Soma Tena mada uelewe hoja mkuu..Ccm mnawashinda wenzenu kwasababu mmeng'ang'ania madaraka ya kuteua Tume ya Uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma Tena mada uelewe hoja mkuu..Ccm mnawashinda wenzenu kwasababu mmeng'ang'ania madaraka ya kuteua Tume ya Uchaguzi.
Soma Tena hoja na kuangalia maoni yaliyopitaAnzeni mwanza chama chakavu mchape form 2 Kisha njooni mtoe mfano Kwa Chadema mtasikika vinginevyo kamanda wa anga MITANO TENA 5
Nauliza tena, nchi za wanaoingia madarakani kwa kupindua na kuongoza nchi bila hiyo mifumo inakuwaje? Au unataka kutuaminisha kuongoza nchi ni jambo gumu sana linalohitaji hizi hofu unazoleta? Au unadhani kuongoza nchi ni lazima utumie wanachama wa chama chako tu? Au hiyo nchi itakuwa haina wataalam?Soma Tena hoja na kuangalia maoni yaliyopita
Uelewe kwanza hoja kamanda
Usitake kutoonyesha ujinga wako wote mkuu
Hapana inawauma nyie bawacha maana mmetishwa mkaloa Hadi ndaniUWT hiyo kauli inawauma sn
Tatizo vyama vingi vya siasa havijitambuiInasikitisha Sana mkuu
Miaka 30 ya vyama vingi tulipaswa tuwe vyama vya upinzani vyenye Mifumo imara Sana ya Ndani
Kwani sasa tunatumia mfumo wa CCM?Habari wakuu
Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo
Ni moja ya watu tunatamani kuona tunakuwa na vyama vya siasa imara vinavyoweza kubadilishana madaraka Kila wakati pale kilichopo kinaposhindwa kufikia matarajio ya wananchi
Pia nikiri wananchi wanatamani Sana mabadiliko kwenye maeneo mengi hata ikibidi chama kilichopo kiwekwe pembeni kwanza na waone
Lakini Naomba niandike kwa masikitiko makubwa kwamba Mfumo wa Chama kikuu Cha upinzani Chadema Hauna uwezo wa kubeba uongozi wa nchi na taifa kwa ujumla
Yako madhaifu mengi kwenye mfumo wa Chadema, Kwa Leo aomba nielezee udhaifu wa chadema kwenye
Demokrasia ya NDANI
Chadema inaonyesha udhaifu mkubwa haswa kwenye nafasi ya juu ya chama
MFumo wa Chadema unaruhusu nafasi ya juu ya uongozi, MTU mmoja kuweza kugombea mara nyingi atakavyo hata maisha
Hii inaonyesha hata wakipewa nchi wanaweza wakabadili Mfumo wa nchi kuwa hivyo na Pengine kuwa madikteta haswa,
maana kile wanachofanya Sasa ndo picha ya kile watachofanya wakipewa serikali
Pia hapa tuona tatizo kubwa lingine la Chadema kutegemea MTU badala ya Mfumo na Hili ni hatari Sana Kama tulivyoona kwa awamu Fulani waliacha kuimarisha Mifumo wakategemea Mtu ,
Nafikiri tuliona hatari yake pale yule mtu anapoondoka pasipo kutarajiwa
lazima Chadema kabla ya kupewa Serikali washughulikie hili.
Mbaya zaidi hili tatizo liko Hadi kwenye viongozi waandamizi wa juu kabisa wa Cdm kuamini MTU mmoja
Kwamba MTU Fulani akishachukua fomu ya nafasi Fulani Basi mwingine anakiri kutokuchukua hiyo fomu
Alafu mnataka mpewe nchi Muongoze kidemokrasia kweli
Pili Mfumo wa Chadema umeonyesha udhaifu mkubwa wa kubeba watu smart au maarufu wanajiunga na chama chao
Hiii inaweza kuchangiwa pia na udhaifu wa demokrasia ya Ndani
Tatu ni Mfumo wa Chadema kushindwa kubeba au kuhandle watu wenye mawazo tofauti na wale wanaokihama chama hicho
Neno usaliti limetumika kuwa kashifu na kuwatuhumu wale wanatofautiana na baadhi ya viongozi wa chama hicho au msimamo bila kujali hoja zao
Kama kuhama chama kwa kutofoutiana hoja au msimamo ni usaliti kwa chadema
Inakuwaje wanawapokea waliohama chama lingine kwa hoja zile zile na wengine wanakuja kwa kutaka kugombea tu nafasi Tena za Cdm
Je Cdm ikipewa serikali Leo itawachukuliaje wale wanaotofautiana na serikali yao ?
Kama watawachukulia Kama wasaliti Kama wanavyofanya kwa sasa
je wapinzani wao watakuwa salama ?
Hayo ni machache kwa Leo kwenye mfumo wa Chadema
Naamini bado Wana nafasi ya kufanya madabiliko ya mfumo wao kuweza kubeba dhamana ya juu zaidi katika nchi yetu na sio tu kuwa chama kikuu Cha upinzani
Wao ndo wataamua ni muda Gani kwa haraka au miaka kumi na 15 nayoiona mimi baada ya kuingiza uongozi wenye fikra mpya au waliopo wakubali madhaifu wabadilishe
Hakuna Haja ya kubomoa nyumba ya nyasi Kama huna uhakika wa kujenga au kupata nyumba Bora zaidi ya tofali na mabati au zaidi ya hapo
..Ccm imehodhi uchaguzi tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe.Soma Tena mada uelewe hoja mkuu
Wao walidhani cdm itasambaratika kama cuf na vinginevyo na ndio maana wamekazana na Mbowe aachie ngazi.Chadema wanapunguzwa nguvu na dola,Tume na Rushwa inayopenezwa kutoks CCM vinginevyo wangekuwa wamechukua nchi. wamefungwa,wameuawa , wametishwa, wamehongwa,kuibiwa kura waziwazi 2020, na kupenezwa rushwa kwao kuunga juhudi, zaidi ya viongozi 100 makatibu wakuu, wenyeviti wa mikoa,wilaya,Bawacha,Bavichs nk ni wahanga wa rushwa ya ccm. Lakini chini ya uongozi imara wa Mbowe na Lissu watavuka. Hivyo msiwabeze wamepambana mno kwenye mazingira magumu na wanauwezo wa kuongoza ngoja waendelee kuiva kwenye tanuru. Hiki chama iko siku kitawatoa ccm it is a matter of time.
Tumia muda wako kuwataka viongozi wa CCM waache uroho wa kujaza familia zao kwenye uongozi wa chama na serikali. Inasikitisha sana kuona wewe unafurahia kundi la viongozi na familia zao kuhodhi nchi.Habari wakuu
Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo
Ni moja ya watu tunatamani kuona tunakuwa na vyama vya siasa imara vinavyoweza kubadilishana madaraka Kila wakati pale kilichopo kinaposhindwa kufikia matarajio ya wananchi
Pia nikiri wananchi wanatamani Sana mabadiliko kwenye maeneo mengi hata ikibidi chama kilichopo kiwekwe pembeni kwanza na waone
Lakini Naomba niandike kwa masikitiko makubwa kwamba Mfumo wa Chama kikuu Cha upinzani Chadema Hauna uwezo wa kubeba uongozi wa nchi na taifa kwa ujumla
Yako madhaifu mengi kwenye mfumo wa Chadema, Kwa Leo aomba nielezee udhaifu wa chadema kwenye
Demokrasia ya NDANI
Chadema inaonyesha udhaifu mkubwa haswa kwenye nafasi ya juu ya chama
MFumo wa Chadema unaruhusu nafasi ya juu ya uongozi, MTU mmoja kuweza kugombea mara nyingi atakavyo hata maisha
Hii inaonyesha hata wakipewa nchi wanaweza wakabadili Mfumo wa nchi kuwa hivyo na Pengine kuwa madikteta haswa,
maana kile wanachofanya Sasa ndo picha ya kile watachofanya wakipewa serikali
Pia hapa tuona tatizo kubwa lingine la Chadema kutegemea MTU badala ya Mfumo na Hili ni hatari Sana Kama tulivyoona kwa awamu Fulani waliacha kuimarisha Mifumo wakategemea Mtu ,
Nafikiri tuliona hatari yake pale yule mtu anapoondoka pasipo kutarajiwa
lazima Chadema kabla ya kupewa Serikali washughulikie hili.
Mbaya zaidi hili tatizo liko Hadi kwenye viongozi waandamizi wa juu kabisa wa Cdm kuamini MTU mmoja
Kwamba MTU Fulani akishachukua fomu ya nafasi Fulani Basi mwingine anakiri kutokuchukua hiyo fomu
Alafu mnataka mpewe nchi Muongoze kidemokrasia kweli
Pili Mfumo wa Chadema umeonyesha udhaifu mkubwa wa kubeba watu smart au maarufu wanajiunga na chama chao
Hiii inaweza kuchangiwa pia na udhaifu wa demokrasia ya Ndani
Tatu ni Mfumo wa Chadema kushindwa kubeba au kuhandle watu wenye mawazo tofauti na wale wanaokihama chama hicho
Neno usaliti limetumika kuwa kashifu na kuwatuhumu wale wanatofautiana na baadhi ya viongozi wa chama hicho au msimamo bila kujali hoja zao
Kama kuhama chama kwa kutofoutiana hoja au msimamo ni usaliti kwa chadema
Inakuwaje wanawapokea waliohama chama lingine kwa hoja zile zile na wengine wanakuja kwa kutaka kugombea tu nafasi Tena za Cdm
Je Cdm ikipewa serikali Leo itawachukuliaje wale wanaotofautiana na serikali yao ?
Kama watawachukulia Kama wasaliti Kama wanavyofanya kwa sasa
je wapinzani wao watakuwa salama ?
Hayo ni machache kwa Leo kwenye mfumo wa Chadema
Naamini bado Wana nafasi ya kufanya madabiliko ya mfumo wao kuweza kubeba dhamana ya juu zaidi katika nchi yetu na sio tu kuwa chama kikuu Cha upinzani
Wao ndo wataamua ni muda Gani kwa haraka au miaka kumi na 15 nayoiona mimi baada ya kuingiza uongozi wenye fikra mpya au waliopo wakubali madhaifu wabadilishe
Hakuna Haja ya kubomoa nyumba ya nyasi Kama huna uhakika wa kujenga au kupata nyumba Bora zaidi ya tofali na mabati au zaidi ya hapo
Naongelea Mfumo dhaifu wa chadema mkuu..Ccm imehodhi uchaguzi tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe.
..wapeni nafasi wapinzani wateue tume na wasimamizi wa uchaguzi.
Hoja yangu ni Mfumo dhaifu wa Cdm ambao hauwezi kubeba uongozi wa nchi hata wakipewaTumia muda wako kuwataka viongozi wa CCM waache uroho wa kujaza familia zao kwenye uongozi wa chama na serikali. Inasikitisha sana kuona wewe unafurahia kundi la viongozi na familia zao kuhodhi nchi.
Naongelea Mfumo dhaifu wa chadema mkuu
Jaribu kupitia Tena hoja
Ccm ndo inafanya Mfumo wa Cdm uwe na mwanya wa kiongozi wa juu kuwa mkiti wa kudumu au maisha
Ina maana Hadi katiba za vyama mbadala zinaandaliwa na Chama tawala Hadi kuwa loop hole ya kiongozi wa juu kumiliki chama na kuhodhi madaraka maisha ????..udhaifu wa vyama mbadala vya siasa unatokana na Ccm kuhodhi mifumo ya kidola, kiserikali, na kimahakama, nchi nzima.
..tulipoingia ktk mfumo wa vyama vingi hakukufanyika mabadiliko wezeshi kwa mfumo huo kama ilivyopendekezwa na Tume ya Jaji Mkuu Nyalali.
Ina maana Hadi katiba za vyama mbadala zinaandaliwa na ccm
Pamoja na udhaifu huo lakini bado vyama vya upinzani vimeonyesha udhaifu mkubwa zaidi kwenye mifumo yao ya ndani..hicho sicho nilichomaanisha.
..maana yangu ni kwamba mazingira ya kisiasa tangu tuingie mfumo wa vyama vingi yameifanya Ccm iwe sawa na muamuzi na mchezaji ktk mechi ya mpira.
Juma duni alisema hicho ni chama cha makambare wote wana ndevu!Habari wakuu
Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo
Ni moja ya watu tunatamani kuona tunakuwa na vyama vya siasa imara vinavyoweza kubadilishana madaraka Kila wakati pale kilichopo kinaposhindwa kufikia matarajio ya wananchi
Pia nikiri wananchi wanatamani Sana mabadiliko kwenye maeneo mengi hata ikibidi chama kilichopo kiwekwe pembeni kwanza na waone
Lakini Naomba niandike kwa masikitiko makubwa kwamba Mfumo wa Chama kikuu Cha upinzani Chadema Hauna uwezo wa kubeba uongozi wa nchi na taifa kwa ujumla
Yako madhaifu mengi kwenye mfumo wa Chadema, Kwa Leo aomba nielezee udhaifu wa chadema kwenye
Demokrasia ya NDANI
Chadema inaonyesha udhaifu mkubwa haswa kwenye nafasi ya juu ya chama
MFumo wa Chadema unaruhusu nafasi ya juu ya uongozi, MTU mmoja kuweza kugombea mara nyingi atakavyo hata maisha
Hii inaonyesha hata wakipewa nchi wanaweza wakabadili Mfumo wa nchi kuwa hivyo na Pengine kuwa madikteta haswa,
maana kile wanachofanya Sasa ndo picha ya kile watachofanya wakipewa serikali
Pia hapa tuona tatizo kubwa lingine la Chadema kutegemea MTU badala ya Mfumo na Hili ni hatari Sana Kama tulivyoona kwa awamu Fulani waliacha kuimarisha Mifumo wakategemea Mtu ,
Nafikiri tuliona hatari yake pale yule mtu anapoondoka pasipo kutarajiwa
lazima Chadema kabla ya kupewa Serikali washughulikie hili.
Mbaya zaidi hili tatizo liko Hadi kwenye viongozi waandamizi wa juu kabisa wa Cdm kuamini MTU mmoja
Kwamba MTU Fulani akishachukua fomu ya nafasi Fulani Basi mwingine anakiri kutokuchukua hiyo fomu
Alafu mnataka mpewe nchi Muongoze kidemokrasia kweli
Pili Mfumo wa Chadema umeonyesha udhaifu mkubwa wa kubeba watu smart au maarufu wanajiunga na chama chao
Hiii inaweza kuchangiwa pia na udhaifu wa demokrasia ya Ndani
Tatu ni Mfumo wa Chadema kushindwa kubeba au kuhandle watu wenye mawazo tofauti na wale wanaokihama chama hicho
Neno usaliti limetumika kuwa kashifu na kuwatuhumu wale wanatofautiana na baadhi ya viongozi wa chama hicho au msimamo bila kujali hoja zao
Kama kuhama chama kwa kutofoutiana hoja au msimamo ni usaliti kwa chadema
Inakuwaje wanawapokea waliohama chama lingine kwa hoja zile zile na wengine wanakuja kwa kutaka kugombea tu nafasi Tena za Cdm
Je Cdm ikipewa serikali Leo itawachukuliaje wale wanaotofautiana na serikali yao ?
Kama watawachukulia Kama wasaliti Kama wanavyofanya kwa sasa
je wapinzani wao watakuwa salama ?
Hayo ni machache kwa Leo kwenye mfumo wa Chadema
Naamini bado Wana nafasi ya kufanya madabiliko ya mfumo wao kuweza kubeba dhamana ya juu zaidi katika nchi yetu na sio tu kuwa chama kikuu Cha upinzani
Wao ndo wataamua ni muda Gani kwa haraka au miaka kumi na 15 nayoiona mimi baada ya kuingiza uongozi wenye fikra mpya au waliopo wakubali madhaifu wabadilishe
Hakuna Haja ya kubomoa nyumba ya nyasi Kama huna uhakika wa kujenga au kupata nyumba Bora zaidi ya tofali na mabati au zaidi ya hapo
Wekweli boya Kwa akili Yako unadhani ukawa ingeshindwq kuongoza ki nchi kama tanzania chenye watu million 60 na kuleta maendeleo tofauti na anachofanya chura kiziwiPamoja na udhaifu huo lakini bado vyama vya upinzani vimeonyesha udhaifu mkubwa zaidi kwenye mifumo yao ya ndani
Angalia kuanzia mfano wa vyama vikuu tangu 1995 ukianza na Nssr, Cuf, na kule Chadema inakolekea kwa Sasa Hali ZAO kwa sasa
Pia piga picha ya Mfumo wa UKAWA wa 2015 Kama wangeongoza serikali Leo Mfumo wa uongozi wa nchi yetu ingekuwa katika Hali gani ????