Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

Nasisitiza; Binti usizae kabla hajakuoa(Epuka kuwa single Mother)

Family failures inaletwa na single mother pekee? Failures zinaletwa na wazazi irresponsible, wanaume na wanawake
Ndio maana nikasema kama mwanamke anajiweza kiuchumi na anaweza kumtunza mwanae yupo huru kuzaa...kuna familia ya single mother zinafanya vizuri kuliko za wazazi wawili

Hakuna familia ya single mother ikafanya vizuri dunia ingalipo.
Ukiona hivyo ujue kuna nguvu ya kiume inaratibu shughuli zote za kimaadili, kiuchumi, kiakili, maarifa n.k.

Mama Hana uwezo wa kumfanya mtoto wa kiume kuwa Mwanaume KAMWE
 
Kinachowaponza mabinti wa kisasa katika hili la usingle mother ni Tamaa, wanawake skuiz wanapenda maisha mazuri mnoo ndani ya muda mfupi, kwaiyo akitokea mwamba akasuka uongo wake vzr binti anatanua mapaja chap. Ni ngumu sana kuliepuka hili wacha wakomae na watoto wao tuu!
 
Kinachowaponza mabinti wa kisasa katika hili la usingle mother ni Tamaa, wanawake skuiz wanapenda maisha mazuri mnoo ndani ya muda mfupi, kwaiyo akitokea mwamba akasuka uongo wake vzr binti anatanua mapaja chap. Ni ngumu sana kuliepuka hili wacha wakomae na watoto wao tuu!

Tunayohaja ya kuwasaidia binti zetu. Bila kuwasimamia na kuwaongoza hawawezi
 
Kama binti ana kazi na anaweza kumlea mtoto wake mwenyewe asizae asubirie kuja kuolewa anaweza akazekea nyumbani.

Vijana wa siku hizi hawa ambao role model wao ni akina Diamond na Harmonize? wapenda Singeli ndio waje kuoa?

Kila mtu aishi anavyotaka ili mradi asiwe kikwazo kwa wengine
Kuoa ama kuolewa ni overrated mnoo..huyu jamaa anasahau ni ndoa ngap zinavunjika kila siku? Tena mwanamke anarud kwao na mtoto akiwa bado mchanga,
 
Aisee, attack on women. Sadism at work. Waacheni watu na maisha yao. Mnajua wamepitia mangapi. Yaani wengine wawepo kwenye ndoa uchwara kisa usingo mother. Fyuuuu
 
Hii yote inaletwa na kutoitii katiba kuu ya Muumba (Biblia)

Uzinzi kukatazwa na maandiko ilikuwa sahihi.
 
Hakuna familia ya single mother ikafanya vizuri dunia ingalipo.
Ukiona hivyo ujue kuna nguvu ya kiume inaratibu shughuli zote za kimaadili, kiuchumi, kiakili, maarifa n.k.

Mama Hana uwezo wa kumfanya mtoto wa kiume kuwa Mwanaume KAMWE
Tena hao watoto wa kiume wengi wanaolelewa na single mother huwa wanaishia kuwa mashoga kutokana na kukosa maadili ya kiume ktk malezi yake. Naunga mkono kauli yako kwamba single mother hawezi lea mtoto wa kiume ktk maadili ya kiume, never!
 
Kuoa ama kuolewa ni overrated mnoo..huyu jamaa anasahau ni ndoa ngap zinavunjika kila siku? Tena mwanamke anarud kwao na mtoto akiwa bado mchanga,
Nyuzi zake nyingi huonyesha jinsi alivyokariri maisha, Kuna single mothers wengi ni matokeo ya ndoa kuvunjika
 
Kuoa ama kuolewa ni overrated mnoo..huyu jamaa anasahau ni ndoa ngap zinavunjika kila siku? Tena mwanamke anarud kwao na mtoto akiwa bado mchanga,
Ndoa kuvunjika, hapo usingle mother haupo.
Watoto huwa huru kupata huduma ya wazazi wote wawili, watoto hutambulika kwa ndugu wote,
Ila ukizaa na mme wa mtu aisee,..
Pasua kichw sana,
Kwanza mtoto hufichw kama ARVs...
 
Kuna jamaangu ana ndoa ya kanisan, RC,
Katia mimba wapo watoto kadhaa nje ya ndoa.
Jamaa analalamika yaan kila akiweka mipango sawa kuwasaidia wale watoto anaishia kupoteza pesa kienyeji enyeji tu,na anaishia kukwama,
Na ikitokea akaweza kupeleka mahitaji, basi ataishia kupigika sana kwa muda ,yaan atayumba mno kiuchum.
Mara nyingi amekuwa hana raha kutokan kushindw kuhudumia.
Hilo limekaaje wandug?

Note: nakazia UZINZI ni hasara sana.
 
Back
Top Bottom